-
NATO yatafakari kuingia vitani Syria, Iraq
Feb 12, 2016 12:10Shirika la Kijeshi la NATO linatafakari kuingia katika vita vinavyoendelea katika nchi za Syria na Iraq.
-
Russia: Kutuma vikosi vamizi Syria kutachochea Vita vya Dunia
Feb 12, 2016 04:38Waziri Mkuu wa Russia ametahadharisha juu ya kutumwa vikosi vya kigeni nchini Syria na kusema kuwa hatua hiyo haitakuwa na tija nyingine ghairi ya kuchochea "Vita Vipya vya Dunia".
-
Majeshi ya Syria yazidi kupata ushindi Latakia
Feb 09, 2016 04:16Jeshi la Syria likisaidiwa na wananchi limefanikiwa kuwatimua wapiganaji wa makundi ya kigaidi katika vijiji vinne muhimu katika eneo la Latakia karibu na mpaka wa nchi hiyo na Uturuki.
-
UN yakosoa takwa la kuondolewa Assad madarakani
Feb 08, 2016 05:53Kamati ya Kimataifa inayofanya uhakiki kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Syria imetangaza kuwa, msimamo unaosisitiza juu ya udharura wa kuondoka madarakani Rais Bashar Assad kabla ya kuanza mazungumzo ya amani, ni kizuizi katika njia ya kupambana na ugaidi.
-
Salami: Habari ya kutumwa askari wa Saudia nchini Syria ni utani wa kisiasa
Feb 07, 2016 04:30Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (SEPAH) amesema habari ya uwezekano wa Saudi Arabia kutuma majeshi ya nchi kavu nchini Syria ni kichekesho na utani wa kisiasa.
-
Al- Muallem: Watakaoivamia Syria watarejeshwa makwao wakiwa kwenye majeneza
Feb 06, 2016 11:31Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria Walid al-Muallem amesema watakaoivamia ardhi ya Syria watarejeshwa makwao wakiwa kwenye majeneza.
-
Bahrain nayo yasema iko tayari kutuma askari Syria
Feb 06, 2016 04:22Utawala wa Aal-Khalifa umesema Bahrain iko tayari kutuma askari wake wa nchi kavu nchini Syria, eti kupambana na wanamgambo wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.
-
Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran mjini London
Feb 04, 2016 08:51Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Mohammad Javad Zarif leo yuko mjini London, kufuatia mwaliko rasmi wa mwenzake wa Uingereza Phillip Hammond, kushiriki katika kikao cha kimataifa cha kuisaidia Syria na Mashariki ya Kati.
-
Zarif asisitiza umuhimu wa kuzingatia kadhia ya wakimbizi wa Syria
Feb 04, 2016 03:23Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametaka kuzingatiwa kadhia ya wakimbizi wa Syria na hali ngumu ya kibinadamu nchini humo.
-
Lavrov: Mashambulizi ya anga Syria yataendelea hadi kushindwa kikamilifu magaidi
Feb 03, 2016 23:58Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa Moscow itaendeleza mashambulizi yake ya anga huko Syria hadi pale makundi ya kigaidi yatakaposhindwa kikamilifu.