-
Safari ya Zarif mjini Damascus; uungaji mkono wa Iran kwa uchaguzi wa Syria
May 13, 2021 23:01Muhammad Jawad Zarif Waiziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameonana na kuzungumza mjini Damascus na Rais Bashar Asad wa Syria kuhusu uhusiano wa pande mbili, matukio ya Asia Magharibi na uchaguzi mkuu wa rais wa nchi hiyo.
-
Moscow: Siasa za Magharibi za kuingilia masuala ya ndani ya Syria hazikubaliki
Apr 29, 2021 05:43Mwakilishi wa kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa siasa za nchi za Magharibi za kuingilia masuala ya ndani ya Syria hazikubaliki na ziinapingana na sheria za kimataifa.
-
Assad: Syria inaiunga mkono Russia katika kukabiliana na uhasama wa Magharibi
Apr 27, 2021 08:31Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema nchi yake inaunga mkono jitihada za Russia za kukabiliana na chokochoko na hatua za uhasama za baadhi ya nchi za Magharibi na nchi wanachama wa shirika la kijeshi la NATO zikiongozwa na Marekani.
-
Pentagon: Wanajeshi wa Marekani wanashambuliwa kwa "nishati na mawimbi yanayoongozwa kutoka mbali"
Apr 25, 2021 06:17Wizara ya Ulinzi ya Marekani, Pentagon, imedai kuwa, wanajeshi wa nchi hiyo wanashambuliwa na nchi za Russia na China kwa kutumia mawimbi na nishati yanayoongozwa kutoka mbali.
-
Damascus: OPCW ni genge la kuwahami wahalifu na magaidi
Apr 22, 2021 02:32Wizara ya Mambo ya Nchi za Mje wa Syria imelaani uamuzi uliotolewa dhidi ya nchi hiyo na Shirika la Kimataifa la Kuzuia Matumizi ya Silaha za Kemikali, (OPCW) ambao rasimu yake imetayarishwa na Ufaransa na kuutaja kuwa unayaunga mkono na kuyahami makundi ya kigaidi.
-
Bashar al-Assad kuwania tena urais Syria katika uchaguzi wa mwezi ujao
Apr 21, 2021 07:08Rais Bashar al-Assad wa Syria leo amekabidhi fomu za kugombea kiti cha urais katika uchaguzi uliopangwa kufanyika tarehe 26 ya mwezi ujao wa Mei.
-
Mwaka wa 75 wa Siku ya Uhuru wa Syria ya Idul-Jalaa
Apr 19, 2021 20:31Mnamo karne ya 20, watu wa Syria walikoloniwa na Wafaransa kwa muda wa miaka 26. Wakoloni wa Kifaransa waliingia katika ardhi ya Syria mwaka 1920.
-
Uchaguzi wa Rais wa Syria kufanyika mwezi ujao wa Mei
Apr 18, 2021 22:16Syria imeanisha Mei 26 mwaka huu kuwa tarehe ya kufanyika uchaguzi wa Rais katika taifa hilo la Kiarabu linalosakamwa na mapigano, hujuma za kigaidi na uingilaji wa kigeni kwa zaidi ya muongo mmoja sasa.
-
Viongozi wa UAE wamtumia salamu za pongezi Rais Assad kwa mnasaba wa siku ya uhuru wa Syria
Apr 18, 2021 01:58Kiongozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), naibu wake na mrithi wa ufalme wa Abu Dhabi, wamemtumia, kwa nyakati tofauti, Rais Bashar al Assad wa Syria salamu za pongezi kwa mnasaba wa kuadhimisha siku ya uhuru na kufikia tamati kukaliwa kwa mabavu nchi hiyo na Wakoloni Wafaransa.
-
Tuhuma za matumizi ya silaha za kemikali dhidi ya Syria; mbinu yenye lengo la kudhoofisha mamlaka ya kujitawala Damascus
Apr 17, 2021 21:58Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imepinga ripoti iliyopewa jina la " Timu ya Uchunguzi na Utambuzi" iliyotolewa na Taasisi ya Kuzuia Silaha za Kemikali (OPCW) kuhusu tukio la Saraqib na kuitaja ripoti hiyo kuwa ni ya upotoshaji na ya uongo.