-
Azimio dhidi ya Syria na kura ya Veto ya Russia na China ya kulipinga
Dec 22, 2019 23:10Ushindi mtawalia wa jeshi la Syria na washirika wake umepelekea kurejea nyuma makundi ya kigaidi kwenye ngome zao za mwisho yaani katika mkoa wa Idlib.
-
Makumi ya askari wa Ufaransa wajiunga na makundi ya kigaidi Iraq na Syria
Dec 19, 2019 00:36Kituo cha Kuchunguza Ugaidi cha Ufaransa kimetangaza kuwa wanajeshi 30 wa nchi hiyo wamejiunga na makundi ya kigaidi katika nchi za Syria na Iraq.
-
Guterres asisitiza udharura wa kutumwa misaada ya kibinadamu Syria
Dec 17, 2019 03:28Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kutumwa misaada zaidi ya kibinadamu nchini Syria kupitia mipaka ya nchi kavu.
-
Safari ya Lavrov nchini Marekani, kuendelea tofauti kati ya Moscow na Washington
Dec 11, 2019 22:46Uhusiano wa Marekani na Russia hususan baada ya kuibuka mgogoro wa Ukraine mwaka 2014, unashuhudia mivutano mingi ambapo Washington mbali na kukabiliana na Moscow katika uga wa masuala ya kiusalama, kijeshi na kisiasa pia imeiwekea mashinikizo makali Russia katika nyuga tofauti za kisiasa, kidiplomasia, kibiashara, kiuchumi, kijeshi, mauzo ya silaha na nishati.
-
Bashar al Assad: Mustakbali wa Syria unatia matumaini
Dec 10, 2019 04:25Rais wa Syria ameitaja Ulaya, Marekani na baadhi ya nyingine nyingine kuwa pande kuu husika katika kuibua machafuko na ukosefu wa amani huko Syria na kusema mustakbali wa nchi yake unatia matumaini.
-
Sera za undumilakuwili za Marekani nchini Syria
Dec 06, 2019 04:34Tangu mwaka 2014, Marekani imejiingiza kijeshi kinyume cha sheria nchini Syria kwa kisingizio cha kupambana na kundi la kigaidi la Daesh; na hivi sasa pia, licha ya madai ya rais wa nchi hiyo Donald Trump kwamba imejiondoa kijeshi katika ardhi ya Syria, imeshatafuta kisingizio kingine kipya ili kurefusha muda wa kuweko askari wake nchini humo.
-
Jeshi la Syria latungua ndege isiyo na rubani ya Uturuki
Nov 29, 2019 08:08Vyombo vya habari nchini Syria vimetangaza kwamba, jeshi la nchi hiyo limetungua ndege isiyo na rubani ya jeshi la Uturuki katika viunga vya mji wa Qamishli, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Makumi ya raia wa Syria watekwa nyara katika mji wa al Hasakah
Nov 28, 2019 08:01Wanamgambo wenye mfungamano na Uturuki wamewateka nyara makumi ya raia wa Syria katika mji wa al Hasakah kaskazini mashariki mwa Syria.
-
Madai ya kijuba ya Marekani kuwa eti inakalia visima vya mafuta vya Syria kisheria
Nov 24, 2019 04:23Tokea mwaka 2014, Marekani iliingia nchini Syria kinyume cha sheria kwa kisingizio cha kupambana na kundi la ISIS (Daesh). Kinyume na madai ya Rais Donald Trump wa Marekani kuwa ataondoa askari wa Marekani walioko Syria, hivi sasa wanajeshi hao wameongeza muda wa kuwepo kwao katika nchi hiyo ya Kiarabu kwa kisingizio kingine.
-
Uturuki katika muamala wa hila na ujanja wa kupora maliasili za Syria
Nov 21, 2019 04:20Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amesema, amelikataa pendekezo la kugawana utajiri wa mafuta ya Syria lililotolewa na baadhi ya madola ya kigeni.