Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Mfumo wa ulinzi wa Syria watungua makombora ya Israel

    Mfumo wa ulinzi wa Syria watungua makombora ya Israel

    Nov 20, 2019 04:12

    Mfumo wa ngao ya ulinzi ya jeshi la Syria umefanikiwa kutungua makombora ya utawala haramu wa Israel viungani mwa mji mkuu wa nchi hiyo ya Kiarabu, Damascus.

  • Mgombea urais Algeria: Syria inabidi irejee Arab League

    Mgombea urais Algeria: Syria inabidi irejee Arab League

    Nov 11, 2019 23:28

    Abdel Qadir bin Qrina, mgombea urais katika uchaguzi ujao wa Algeria amesema kuwa iwapo atashinda uchaguzi huo, basi atafanya juhudi kuhakikisha Syria inarudi kwenye Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League).

  • Sisitizo la jeshi la Marekani la kuendelea kuwepo kijeshi katika eneo la Asia Magharibi

    Sisitizo la jeshi la Marekani la kuendelea kuwepo kijeshi katika eneo la Asia Magharibi

    Nov 11, 2019 23:26

    Licha ya Rais Donald Trump kukariri mara chungu nzima kwamba, Washington itaondoa wanajeshi wake katika eneo la Asia Magharibi hususan katika nchi za Syria na Afghnaistan, lakini hali ya mambo ilivyo inaonyesha kuwa, Marekani imeazimia kubakisha na hata kuongeza idadi ya wanajeshi wake pamoja na zana za kijeshi katika eneo hili ikiwa ni katika kusukuma mbele gurudumu la siasa zake za kibabe.

  • Rais Bashar Al Assad: Yumkini Marekani haijamuua Baghdadi, bali imemficha

    Rais Bashar Al Assad: Yumkini Marekani haijamuua Baghdadi, bali imemficha

    Nov 11, 2019 07:50

    Rais Bashar al-Assad wa Syria ametilia shaka madai ya Marekani kuwa imemuua kinara wa kundi la kigaidi la Daesh, Abu Bakr Baghdadi, na kusisitiza kwamba huenda kiongozi huyo wa ISIS amejificha au amefichwa sehemu fulani na serikali ya Washington.

  • Sisitizo jingine la Uturuki la kuendeleza operesheni za kijeshi kaskazini mwa Syria

    Sisitizo jingine la Uturuki la kuendeleza operesheni za kijeshi kaskazini mwa Syria

    Nov 10, 2019 07:56

    Licha ya makubaliano ya hivi karibuni kati ya Uturuki na Russia juu ya kuhitimishwa uvamizi wa kijeshi katika maeneo ya kaskazini na kaskazini mashariki mwa Syria, Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki hajakanusha suala la nchi yake kuendeleza operesheni za kijeshi kaskazini mwa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Juhudi za Ulaya za kujipapatua kutoka kwenye kinamasi cha shari za

    Juhudi za Ulaya za kujipapatua kutoka kwenye kinamasi cha shari za "Madaesh" wake

    Nov 06, 2019 05:21

    Nchi kubwa za barani Ulaya kama vile Uingereza na Ufaransa zina mchango mkubwa wa kuundwa na kupata nguvu magenge mbalimbali ya kigaidi kama vile Daesh (ISIS) na lengo lao kubwa lilikuwa ni kuwatumia magaidi hao kuipindua serikali halali ya Syria. Hata hivyo nchi hizo zimefeli vibaya.

  • Uturuki yasema imemtia mbaroni dadake Abu Bakr Baghdadi

    Uturuki yasema imemtia mbaroni dadake Abu Bakr Baghdadi

    Nov 05, 2019 03:57

    Uturuki imetangaza habari ya kumtia mbaroni dada ya Abu Bakr al-Baghdadi, kinara wa kundi la kigaidi la Daesh (ISIS) aliyejiua katika operesheni ya Marekani hivi karibuni.

  • UN: Rasimu ya katiba mpya ya Syria kuanza kuandikwa Jumatatu

    UN: Rasimu ya katiba mpya ya Syria kuanza kuandikwa Jumatatu

    Nov 03, 2019 04:27

    Umoja wa Mataifa umesema Kamati ya Katiba ya Syria itaanza kuandika rasimu ya katiba mpya ya nchi hiyo ya Kiarabu kesho Jumatatu.

  • Sisitizo la Lavrov juu ya mchango wa Marekani katika kudhihiri al Baghdadi na Daesh

    Sisitizo la Lavrov juu ya mchango wa Marekani katika kudhihiri al Baghdadi na Daesh

    Nov 02, 2019 23:02

    Baada ya kuanza mgogoro wa Syria hapo mwaka 2011 na vita vilivyosababishwa na mgogoro huo, Marekani ilikuwa na nafasi muhimu na kuu katika kuundwa na kujitokeza makundi ya kigaidi nchini humo hususan kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh; suala ambalo Washington imefanya jitihada kubwa za klificha kwa kuanzisha kile ilichodai ni muungano wa kupambana na Daesh.

  • Sisitizo la Rais Bashar al-Assad la kulindwa ardhi yote ya Syria

    Sisitizo la Rais Bashar al-Assad la kulindwa ardhi yote ya Syria

    Nov 02, 2019 00:47

    Rais Bashar al-Assad wa Syria ameionya Uturuki na kuikosoa Marekani na kuzungumzia uwezekano wa Washington wa kuliunda tena kundi la kigaidi la Daesh na akasisitiza juu ya kulindwa ardhi yote ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS