Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Syria yatungua makombora ya Israel yaliyoelekezwa Damascus

    Syria yatungua makombora ya Israel yaliyoelekezwa Damascus

    Jan 12, 2019 04:16

    Jeshi la Syria limetoa jibu kali kwa uvamizi mpya wa Israel, baada ya utawala huo wa Kizayuni kuanzisha mashambulizi ya makombora viungani mwa mji mkuu wa nchi hiyo, Damascus.

  • Russia yatilia shaka tangazo la Marekani la kuanza kuondoa askari wake Syria

    Russia yatilia shaka tangazo la Marekani la kuanza kuondoa askari wake Syria

    Jan 11, 2019 12:37

    Russia imetilia shaka tamko la Marekani kwamba imeanza mchakato wa kuondoa vikosi vyake nchini Syria.

  • Jordan yaitaka Israel iondoke kwenye Miinuko ya Golan ya Syria

    Jordan yaitaka Israel iondoke kwenye Miinuko ya Golan ya Syria

    Jan 09, 2019 13:29

    Jordan imeutaka utawala wa Kizayuni wa Israel uheshimu sheria za kimataifa na uondoke haraka iwezekanavyo katika Miinuko ya Golan ya Syria.

  • Kuanza kazi mjumbe maalumu mpya wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Syria

    Kuanza kazi mjumbe maalumu mpya wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Syria

    Jan 09, 2019 04:05

    Geir Pedersen, mwanadiplomasia mkongwe wa Norway ambaye hivi karibuni aliteuliwa kuchukua mikoba ya Staffan de Mistura aliyekuwa mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Syria, Jumatatu ya juzi alianza rasmi kazi yake hiyo.

  • Malalamiko ya Syria kutokana na kuendelea jinai za muungano vamizi wa Marekani

    Malalamiko ya Syria kutokana na kuendelea jinai za muungano vamizi wa Marekani

    Jan 07, 2019 04:50

    Kwa mara nyingine Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imewatumia barua mbili tofauti Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Rais wa Baraza la Usalama la umoja huo, ikilalamikia jinai zinazofanywa na muungano vamizi unaojiita eti dhidi ya Daesh (ISIS) unaoongozwa na Marekani huko katika jimbo la Deir ez-Zor nchini humo.

  • Makundi yanayoungwa mkono na Saudia yakasirishwa na nchi za Kiarabu kuanzisha uhusiano tena na Syria

    Makundi yanayoungwa mkono na Saudia yakasirishwa na nchi za Kiarabu kuanzisha uhusiano tena na Syria

    Jan 07, 2019 04:17

    Makundi ya wanamgambo nchini Syria yanayoungwa na mkono na Saudi Arabia yamekasirishwa na hatua ya mataifa ya Kiarabu ya kuanzisha tena uhusiano wao na serikali ya Syria inayoongozwa na Rais Bashar al-Assad.

  • Magaidi Syria wakutwa na silaha za Marekani na utawala haramu wa Israel

    Magaidi Syria wakutwa na silaha za Marekani na utawala haramu wa Israel

    Jan 07, 2019 00:56

    Wanajeshi wa serikali ya Syria wamenasa silaha zilizotegenezwa Marekani na katika utawala haramu wa Israel ambazo zilikuwa zinatumiwa na magaidi wakufurishaji katika mkoa wa Dara'a kusini maghairbi mwa nchi hiyo.

  • Turathi za kihistoria zilizoibiwa Iraq na Syria zakutwa kwenye makumbusho ya utawala wa Kizayuni wa Israel

    Turathi za kihistoria zilizoibiwa Iraq na Syria zakutwa kwenye makumbusho ya utawala wa Kizayuni wa Israel

    Jan 06, 2019 00:23

    Turathi na athari kadhaa za kihistoria za Iraq na Syria zilizoibiwa wakati wa uvamizi na machafuko yaliyotokea miaka ya karibuni katika nchi hizo zimekutwa kwenye makumbusho ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

  • Kulegeza msimamo Trump kuhusiana na Syria

    Kulegeza msimamo Trump kuhusiana na Syria

    Jan 03, 2019 22:55

    Baada ya kupita miaka saba tangu Syria ikumbwe na mgogoro uliosababishwa na uingiliaji wa Marekani pamoja na waitifaki wake wa Ulaya wa Kiarabu katika masuala ya ndani ya nchi hiyo kwa kuyaunga mkono makundi ya kigaidi ili kuipindua serikali halali ya nchi hiyo; hivi sasa mlingano wa nguvu umebadilika kikamilifu kwa maslahi ya serikali ya Syria na waitifaki wake.

  • Trump akiri wameshindwa Syria, asema, Iran ina satua ya kufanya chochote nchini humo

    Trump akiri wameshindwa Syria, asema, Iran ina satua ya kufanya chochote nchini humo

    Jan 03, 2019 04:19

    Rais wa Marekani, Donald Trump amekiri kushindwa njama za Marekani na vibaraka wake nchini Syria na kusema kuwa, Iran ina ushawishi wa kufanya wanalopenda katika nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS