-
UN: Milima ya Golan ni ardhi ya Syria, Wazayuni wanaikalia kwa mabavu
Dec 24, 2018 04:29Kwa mara nyingine tena, Baraza Kuu la Umoja wa Maraifa limepasisha kwa wingi wa kura azimio linalosisitiza kuwa, milima ya Golan inayokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel ni ardhi isiyotenganishika na ardhi nyingine za Syria.
-
Hizbullah Iraq: Kuondoka Marekani syria ni ishara ya kushindwa Washington
Dec 22, 2018 21:39Harakati ya Hizbullah ya Iraq imetangaza kuwa, kuondoka kwa majeshi ya Marekani nchini Syria kuna maana ya kushindwa stratijia za jeshi la nchi hiyo.
-
Shambulio la muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani laua raia 30 nchini Syria
Dec 22, 2018 04:33Raia wasiopungua 30 wakiwemo watoto wanane wameuliwa katika shambulio lililofanywa na ndege za kivita za muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani katika mkoa wa Deir ez-Zor mashariki mwa Syria.
-
Karibu raia 11,000 wa Tunisia walijiunga na magaidi katika nchi za Iraq na Syria
Dec 21, 2018 23:31Kituo kimoja cha utafiti cha Marekani kimetangaza kuwa, karibu raia 11,000 wa Tunisia walijiunga na magenge ya kigaidi katika nchi za Iraq na Syria.
-
Russia: Marekani inawapa hifadhi magaidi katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu Syria
Dec 21, 2018 05:10Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema Marekani inakwamisha juhudi za kutatua mgogoro wa Syria kwa kuendelea kuyakalia kwa mabavu baadhi ya maeneo ya nchi hiyo na kwamba magaidi wanapewa hifadhi katika maeneo yanayodhibitiwa na Marekani.
-
Bashar al Jaafari: Jamii ya kimataifa iisaidie Damascus kutokomeza ugaidi
Dec 21, 2018 04:48Mwakilishi wa Kudumu wa Syria katika Umoja wa Mataifa ameitolea wito jamii ya kimataifa kusaidia kukomesha mashambulizi ya kigaidi nchini kwake.
-
Uamuzi wa Trump wa kuondoka askari wa Marekani nchini Syria
Dec 20, 2018 07:06Baada ya kuanza mgogoro wa Syria mwaka 2011, Marekani kama kinara wa nchi za Magharibi ikishirikiana na Italia na Ufaransa katika jitihada za kutimiza malengo ya Magharibi na baadhi ya nchi za Kiarabu ya kutaka kuangamiza kambi ya mapambano Mashariki ya Kati na kuiondoa madarakani serikali halali ya Syria, ilijikita zaidi katika suala la kuyasaidia makundi ya kigaidi na waasi wanaobeba silaha kwa ajili ya eti kuiondoa madarakani serikali ya Rais Bashar Assad.
-
Daesh yafanya mauaji mengine ya kimbari, yaua wafungwa 700
Dec 19, 2018 23:10Kundi la kigaidi la Daesh limefanya mauaji mengine ya kutisha huko mashariki mwa Syria kwa kuua wafungwa mia saba karibu na eneo lililoko kwenye mpaka wa nchi hiyo na Iraq.
-
Kukiri Marekani kushindwa siasa zake za kuipindua serikali ya Syria
Dec 18, 2018 23:18Mgogoro wa Syria na vita vya ndani vya nchi hiyo vilivyoanza mwaka 2011 vimeitumbukiza nchi hiyo ya Kiarabu katika mgogoro mkubwa. Suala hilo linatumiwa vibaya pia na madola ya kibeberu ya Magharibi yakiongozwa na Marekani kwa kushirikiana na vibaraka wake wa nchi za Kiarabu kama vile Saudi Arabia kumalizia hasira zao kwa taifa hilo.
-
Mazungumzo ya Iran, Russia na Uturuki kuhusu katiba ya Syria
Dec 18, 2018 04:06Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran leo ameelekea Geneva, Uswisi kwa lengo la kushiriki katika kikao cha pande tatu kuhusu katiba ya Syria