Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Russia yakosoa picha na video bandia zinazodai kujiri shambulizi la kemikali Syria

    Russia yakosoa picha na video bandia zinazodai kujiri shambulizi la kemikali Syria

    Apr 27, 2018 23:27

    Mwakilishi wa Russia katika Shirika la Kuzuia silaha za Kemikali, amekosoa kitendo cha kuenezwa picha na video zisizo na ukweli wowote zinazoonyesha kwamba kulijiri shambulizi la silaha za kemikali mjini Douma, Ghouta Mashariki nchini Syria.

  • Syria yagundua silaha za kemikali za magaidi, zimetengenezwa Ujerumani na UK

    Syria yagundua silaha za kemikali za magaidi, zimetengenezwa Ujerumani na UK

    Apr 26, 2018 23:58

    Jeshi la serikali ya Syria limegundua ghala la sihala za kemikali zilizotongenezwa Ujerumani na Uingereza zilizoachwa nyuma na magaidi katika mji wa Douma.

  • Sisitizo la Katibu Mkuu wa UN la kuwepo umoja huko Syria

    Sisitizo la Katibu Mkuu wa UN la kuwepo umoja huko Syria

    Apr 25, 2018 23:20

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa kuwepo umoja na uthabiti nchini Syria ni jambo lenye udharura.

  • Zarif: Uingiliaji wa maajinabi umechelewesha kupatikana suluhu na amani nchini Syria

    Zarif: Uingiliaji wa maajinabi umechelewesha kupatikana suluhu na amani nchini Syria

    Apr 25, 2018 22:51

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesema, uingiliaji wa maajinabi umechelewesha kupatikana suluhu na amani nchini Syria.

  • Saudia: Sharti serikali ya Qatar itume vikosi Syria ili isipinduliwe

    Saudia: Sharti serikali ya Qatar itume vikosi Syria ili isipinduliwe

    Apr 25, 2018 02:57

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia amesema iwapo serikali ya Qatar inataka isiondolewe madarakani na iendelee kudhaminiwa usalama na Marekani, sharti itume wanajeshi wake nchini Syria.

  • Shamkhani: Marekani na Ulaya zikivuka mstari mwekundu wa Iran zitagonga mwamba

    Shamkhani: Marekani na Ulaya zikivuka mstari mwekundu wa Iran zitagonga mwamba

    Apr 24, 2018 22:02

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa nchini Iran amesema kuwa, iwapo Ulaya itafanya makosa ya kistratijia na kusalimu amri mbele ya Marekani na kuvuka mistari mnyekundu ya Iran kwa shabaha ya kutaka kumridhisha Donald Trump, hapana shaka kuwa itakula mweleka na kushindwa.

  • Trump aendelea kukosolewa, bunge la Ujerumani lalaani shambulizi la Marekani dhidi ya Syria

    Trump aendelea kukosolewa, bunge la Ujerumani lalaani shambulizi la Marekani dhidi ya Syria

    Apr 21, 2018 23:16

    Kinyume na serikali ya Ujerumani, bunge la nchi hiyo limelaani shambulizi la Marekani, Ufaransa na Uingereza dhidi ya Syria na kulitaja kuwa ni kukiuka sheria na mikataba ya kimataifa.

  • Jaberi Ansari afanya mazungumzo na mjumbe wa UN katika masuala ya Syria

    Jaberi Ansari afanya mazungumzo na mjumbe wa UN katika masuala ya Syria

    Apr 21, 2018 09:38

    Mjumbe maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Syria leo amekutana na kufanya mazungumzo hapa mjini Tehran na Hossein Jaberi Ansar msaidizi mkuu wa Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran katika masuala ya siasa.

  • Russia: Marekani na washirika wake wanafanya njama nyingi kuigawa Syria

    Russia: Marekani na washirika wake wanafanya njama nyingi kuigawa Syria

    Apr 20, 2018 23:06

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergey Lavrov amekosoa vikali misimamo ya uhasama ya Marekani ya kutaka ya kuisambaratisha nchi ya Syria.

  • Chokochoko za Marekani za kuzifungulia njia tawala za Kiarabu ya kujiingiza moja kwa moja kijeshi nchini Syria

    Chokochoko za Marekani za kuzifungulia njia tawala za Kiarabu ya kujiingiza moja kwa moja kijeshi nchini Syria

    Apr 20, 2018 03:22

    Bouthaina Shaaban, mshauri wa kisiasa na wa masuala ya habari wa Rais Bashar Al-Assad wa Syria ametoa jibu na radiamali kwa wito wa rais wa Marekani Donald Trump wa kutaka muungano wa vikosi vya nchi za Kiarabu ukashike hatamu za udhibiti wa eneo la kaskazini mwa Syria baada ya kuondoka wanajeshi wa Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS