-
Russia yakosoa picha na video bandia zinazodai kujiri shambulizi la kemikali Syria
Apr 27, 2018 23:27Mwakilishi wa Russia katika Shirika la Kuzuia silaha za Kemikali, amekosoa kitendo cha kuenezwa picha na video zisizo na ukweli wowote zinazoonyesha kwamba kulijiri shambulizi la silaha za kemikali mjini Douma, Ghouta Mashariki nchini Syria.
-
Syria yagundua silaha za kemikali za magaidi, zimetengenezwa Ujerumani na UK
Apr 26, 2018 23:58Jeshi la serikali ya Syria limegundua ghala la sihala za kemikali zilizotongenezwa Ujerumani na Uingereza zilizoachwa nyuma na magaidi katika mji wa Douma.
-
Sisitizo la Katibu Mkuu wa UN la kuwepo umoja huko Syria
Apr 25, 2018 23:20Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa kuwepo umoja na uthabiti nchini Syria ni jambo lenye udharura.
-
Zarif: Uingiliaji wa maajinabi umechelewesha kupatikana suluhu na amani nchini Syria
Apr 25, 2018 22:51Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesema, uingiliaji wa maajinabi umechelewesha kupatikana suluhu na amani nchini Syria.
-
Saudia: Sharti serikali ya Qatar itume vikosi Syria ili isipinduliwe
Apr 25, 2018 02:57Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia amesema iwapo serikali ya Qatar inataka isiondolewe madarakani na iendelee kudhaminiwa usalama na Marekani, sharti itume wanajeshi wake nchini Syria.
-
Shamkhani: Marekani na Ulaya zikivuka mstari mwekundu wa Iran zitagonga mwamba
Apr 24, 2018 22:02Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa nchini Iran amesema kuwa, iwapo Ulaya itafanya makosa ya kistratijia na kusalimu amri mbele ya Marekani na kuvuka mistari mnyekundu ya Iran kwa shabaha ya kutaka kumridhisha Donald Trump, hapana shaka kuwa itakula mweleka na kushindwa.
-
Trump aendelea kukosolewa, bunge la Ujerumani lalaani shambulizi la Marekani dhidi ya Syria
Apr 21, 2018 23:16Kinyume na serikali ya Ujerumani, bunge la nchi hiyo limelaani shambulizi la Marekani, Ufaransa na Uingereza dhidi ya Syria na kulitaja kuwa ni kukiuka sheria na mikataba ya kimataifa.
-
Jaberi Ansari afanya mazungumzo na mjumbe wa UN katika masuala ya Syria
Apr 21, 2018 09:38Mjumbe maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Syria leo amekutana na kufanya mazungumzo hapa mjini Tehran na Hossein Jaberi Ansar msaidizi mkuu wa Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran katika masuala ya siasa.
-
Russia: Marekani na washirika wake wanafanya njama nyingi kuigawa Syria
Apr 20, 2018 23:06Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergey Lavrov amekosoa vikali misimamo ya uhasama ya Marekani ya kutaka ya kuisambaratisha nchi ya Syria.
-
Chokochoko za Marekani za kuzifungulia njia tawala za Kiarabu ya kujiingiza moja kwa moja kijeshi nchini Syria
Apr 20, 2018 03:22Bouthaina Shaaban, mshauri wa kisiasa na wa masuala ya habari wa Rais Bashar Al-Assad wa Syria ametoa jibu na radiamali kwa wito wa rais wa Marekani Donald Trump wa kutaka muungano wa vikosi vya nchi za Kiarabu ukashike hatamu za udhibiti wa eneo la kaskazini mwa Syria baada ya kuondoka wanajeshi wa Marekani.