Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Lebanon na Syria katika mkondo wa kuimarisha uhusiano

    Lebanon na Syria katika mkondo wa kuimarisha uhusiano

    Nov 25, 2017 02:38

    Saad Zakhia, balozi mpya wa Lebanon nchini Syria alionana na Rais Bashar al Assad siku ya Alkhamisi na kukabidhi hati zake za utambulisho.

  • Rais Rouhani: Natija ya kikao cha Sochi ni kuundwa Kongamano la Kitaifa Syria

    Rais Rouhani: Natija ya kikao cha Sochi ni kuundwa Kongamano la Kitaifa Syria

    Nov 23, 2017 00:59

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, natija kuu katika kikao cha Sochi ni kuundwa kongamano la kitaifa la mazungumzo baina ya Wasyria ili kwa njia hiyo, Wasyria kutoka kaumu, dini na madhehebu zote, wakiwemo wapinzani na waungaji mkono wa serikali wakujumuike pamoja kujadili mustakbali wa nchi yao.

  • Rais wa Russia akutana na Rais wa Syria na kumpongeza kufuatia mafanikio dhidi ya magaidi

    Rais wa Russia akutana na Rais wa Syria na kumpongeza kufuatia mafanikio dhidi ya magaidi

    Nov 21, 2017 04:38

    Rais Vladimir Putin wa Russia amempongeza Rais Bashar al-Assad wa Syria kufuatia ushindi mkubwa wa jeshi la Syria dhidi ya magaidi.

  • Hizbullah: Marekani imeisadia Daesh huko al Bukamal

    Hizbullah: Marekani imeisadia Daesh huko al Bukamal

    Nov 21, 2017 00:09

    Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa Marekani imeilisaidia kundi la kigaidi la Daesh katika mapigano ya hivi majuzi katika mji wa al Bukamal nchini Syria hatua ambayo inakadhibisha madai ya Washington kwamba inapambana na ugaidi

  • Zarif: Iran, Russia na Uturuki zimeazimia kulinda amani endelevu huko Syria

    Zarif: Iran, Russia na Uturuki zimeazimia kulinda amani endelevu huko Syria

    Nov 19, 2017 12:48

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Iran, Uturuki na Russia zikiwa ni nchi zinazosimamia mazungumzo ya Astana kwa ajili ya amani nchini Syria ziko tayari kuandaa mazingira ya kudumisha amani na usalama endelevu.

  • Kupigiwa kura ya turufu azimio dhidi ya Syria katika Baraza la Usalama la UN; pigo jengine kwa Marekani

    Kupigiwa kura ya turufu azimio dhidi ya Syria katika Baraza la Usalama la UN; pigo jengine kwa Marekani

    Nov 17, 2017 23:28

    Sambamba na kuendelea kupata ushindi jeshi la Syria na waitifaki wake katika mapambano dhidi ya ugaidi, baadhi ya wanachama wa kudumu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wamefanya juu chini ili kuyatia doa mafanikio hayo lakini wamegonga mwamba.

  • Russia: Marekani ni dola vamizi, halikualikwa nchini Syria

    Russia: Marekani ni dola vamizi, halikualikwa nchini Syria

    Nov 17, 2017 00:33

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa kuwepo wanajeshi wa Marekani katika ardhi ya Syria ni uvamizi na ni kinyume cha sheria.

  • Assad akosoa uingiliaji wa baadhi ya nchi za Kiarabu katika masuala ya nchi nyingine

    Assad akosoa uingiliaji wa baadhi ya nchi za Kiarabu katika masuala ya nchi nyingine

    Nov 16, 2017 12:16

    Rais Bashar Assad wa Syria amesema kuwa sera za baadhi ya nchi za Kiarabu na Jumuiya ya Nchi hizo za kuingilia masuala ya ndani ya nchi nyingine zimezidisha migogoro ya eneo la Mashariki ya Kati na kuzichochea nchi nyingine.

  • Algeria: Magaidi wa Daesh wanakusudia kuweka kambi katika nchi za kaskazini mwa Afrika

    Algeria: Magaidi wa Daesh wanakusudia kuweka kambi katika nchi za kaskazini mwa Afrika

    Nov 16, 2017 04:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria ametahadharisha kwamba, wanachama wa kundi hatari la kigaidi na kitakfiri la Daesh, wanakusudia kuweka kambi na kujizatiti katika nchi za kaskazini mwa Afrika.

  • Syria yaitaka UN izuie mashambulio ya anga ya muungano unaoongozwa na Marekani

    Syria yaitaka UN izuie mashambulio ya anga ya muungano unaoongozwa na Marekani

    Nov 13, 2017 04:45

    Syria imeutaka Umoja wa Mataifa usimamishe mashambulio ya anga yanayofanywa na muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani baada ya makumi ya raia kuuawa katika mashambulio tofauti yaliyofanywa na muungano huo katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS