Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Taiwan

  • Sisitizo la Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kuhusu kuunga mkono sera ya China Moja

    Sisitizo la Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kuhusu kuunga mkono sera ya China Moja

    Aug 05, 2022 07:10

    Hossein Amirabdollahian, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza uungaji mkono wa Iran kwa sera ya "China Moja" na kusema: 'Hatua za kichochezi za Marekani zimekuwa tishio kubwa kwa amani na uthabiti wa kimataifa.'

  • China yafanya maneva ambayo hayajawahi kushuhudiwa karibu na Taiwan

    China yafanya maneva ambayo hayajawahi kushuhudiwa karibu na Taiwan

    Aug 04, 2022 10:49

    China imefyatua makombora kadhaa ya balestiki kuelekea maji yanayoizunguka Taiwan katika mazoezi makubwa ya kijeshi kuwahi kushuhudiwa, likiwa ni jibu kwa ziara iliyofanywa na Spika wa Baraza la Wawakilishi la Marekani Nancy Pelosi katika kisiwa hicho.

  • Radiamali ya Iran, China kwa safari ya Pelosi katika kisiwa cha Taiwan

    Radiamali ya Iran, China kwa safari ya Pelosi katika kisiwa cha Taiwan

    Aug 03, 2022 12:14

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa safari ya Nancy Pelosi, Spika wa Kongresi ya Marekani katika kisiwa cha Taiwan na kubainisha kuwa, ziara hiyo ni muendelezo wa mienendo ya kichokozi na kichokezi ya Washington.

  • Taiwan kuimarisha ushirikiano wa kijeshi na US licha ya onyo la China

    Taiwan kuimarisha ushirikiano wa kijeshi na US licha ya onyo la China

    Jul 30, 2022 03:44

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya eneo lenye mamlaka ya ndani la Taiwan imesisitiza kuwa Taipei itaimarisha uhusiano wa ushirikiano wake wa kijeshi na Marekani licha ya onyo kali lililotolewa hivi karibuni na Rais Xi Jinping wa China.

  • China na Taiwan kwenye mzingo wa mivutano iliyoibuliwa na Washington

    China na Taiwan kwenye mzingo wa mivutano iliyoibuliwa na Washington

    Jul 25, 2022 11:31

    Ziara iliyopangwa kufanywa na Spika wa Baraza la Wawakilishi la Marekani na misaada ya silaha Washington kwa Taiwan vimezidisha hali ya wasiwasi katika Bahari ya China.

  • Onyo la China kwa Marekani iwapo Spika Pelosi atazuru Taiwan

    Onyo la China kwa Marekani iwapo Spika Pelosi atazuru Taiwan

    Jul 20, 2022 02:19

    China imeionya vikali Washington na kusisitiza kuwa itachukua 'hatua za nguvu' iwapo Spika wa Kongresi ya Marekani Nancy Pelosi atafanya safari ya kuitembelea Taiwan mwezi ujao wa Agosti.

  • China: Kuwepo kijeshi Marekani katika Ghuba ya Taiwan ni tishio kwa amani ya dunia

    China: Kuwepo kijeshi Marekani katika Ghuba ya Taiwan ni tishio kwa amani ya dunia

    Jun 26, 2022 02:27

    Afisa mmoja wa jeshi la China amesema, kuruka ndege za kivita na za ugunduzi za Marekani katika anga ya Ghuba ya Taiwan ni kitendo cha kichochezi na tishio kwa amani ya dunia.

  • China yawaasa viongozi wa Marekani wachunge kauli zao kuhusiana na Taiwan

    China yawaasa viongozi wa Marekani wachunge kauli zao kuhusiana na Taiwan

    May 24, 2022 07:18

    China imetoa jibu kali dhidi ya uingiliaji wa waziwazi wa Marekani katika masuala ya ndani ya nchi hiyo. Beijing imewaasa viongozi wa Washington wachunge kauli wanazotoa kuhusiana na Taiwan.

  • China yalaani uchokozi wa meli ya kivita ya Marekani katika Njia Bahari ya Taiwan

    China yalaani uchokozi wa meli ya kivita ya Marekani katika Njia Bahari ya Taiwan

    Feb 27, 2022 08:04

    China imeutaja kuwa ni "uchochezi" hatua ya kupita meli ya kivita ya Marekani katika Lango Bahari la Taiwan ambalo ni nyeti kimkakati, kwani inatenganisha eneo la Taipei ya China (Taiwan) linalojitawala na China Bara.

  • Rais wa Russia: China haihitaji kutumia nguvu za kijeshi ili kuungana tena na Taiwan

    Rais wa Russia: China haihitaji kutumia nguvu za kijeshi ili kuungana tena na Taiwan

    Oct 14, 2021 12:58

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, chaguo la kijeshi halihitajiki kuwa mbadala wa njia ya amani ili kuiwezesha China kuungana na Taiwan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS