-
Msumbuji yachukua uwenyekiti wa SADC
Aug 17, 2020 23:07Tanzania imekabidhi Msumbiji uwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika, SADC huku jumuiya hiyo ikiadhimisha miaka 40 tangu kuasisiwa kwake.
-
Zoezi la kupiga kura uchaguzi mkuu Zanzibar kufanyika siku mbili
Aug 02, 2020 04:54Wananchi wa visiwa vya Zanzibar nchini Tanzania wanatarajiwa kupiga kura kwa siku mbili katika uchaguzi mkuu utakafanyika Oktoba mwaka huu.
-
Tanzania yazuia safari za Kenya Airways nchini humo
Jul 31, 2020 23:33Tanzania imesimamisha shirika la ndege la Kenya (KQ) kufanya safari za kwenda Tanzania kuanzia leo tarehe Mosi Agosti, siku moja baada ya Kenya kutangaza kuwa itafungua anga zake kwa usafiri wa kimataifa isipokuwa kutoka baadhi ya nchi ikiwemo Tanzania.
-
Rais mstaafu wa Tanzania, Benjamin Mkapa, anazikwa leo
Jul 29, 2020 03:10Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Benjamin William Mkapa anazikwa leo katika kijiji alichozaliwa cha Lupaso katika Wilaya ya Masasi, mkoa wa Mtwara Kusini mwa nchi hiyo.
-
Lissu awasili Tanzania, apokewa na wafuasi na viongozi wa Chadema
Jul 27, 2020 08:35Mwanasheria na mwanasiasa mashuhuri wa kambi ya upinzani nchini Tanzania Tundu Antipas Lissu amewasili nchini humo baada ya kuwa nje ya nchi kwa matibabu kwa zaidi ya miaka miwili, baada ya kunusurika kifo kwa shambulio la risasi akiwa Dodoma.
-
Majaliwa: Mwili wa Mkapa kuagwa Uwanja wa Taifa, Kenya yatuma salamu za rambirambi
Jul 24, 2020 06:41Waziri Mkuu wa Tanzania ametangaza kuwa mwili wa rais wa zamani wa nchi hiyo, Benjamin Mkapa aliyeaga dunia mapema leo, utaagwa Uwanja wa Taifa na kwamba siku ya kuuaga itatangazwa hapo baadaye.
-
Rais mstaafu wa Tanzania Benjamin Mkapa afariki dunia, serikali yatangaza siku saba za maombolezo
Jul 23, 2020 22:33Rais mstaafu wa awamu ya tatu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Benjamin William Mkapa amefariki dunia.
-
Wataalamu wa UN waitaka Tanzania isitishe ukandamizaji
Jul 22, 2020 23:00Wataalamu wa haki za binadamu katika Umoja wa Mataifa wameitaka Tanzania isitishe hatua zinazobinya uhuru wa umma, hususan wakati huu ambapo nchi hiyo ya Afrika Mashariki inajiandaa kwa ajili ya uchaguzi mkuu mwezi Oktoba mwaka huu.
-
Tanzania yatangaza tarehe ya uchaguzi mkuu mwaka huu
Jul 21, 2020 22:01Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania (NEC) imetangaza tarehe rasmi ya Uchaguzi Mkuu wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki pamoja na ratiba rasmi ya kuanza kwa mikutano ya kampeni.
-
EABC yazitaka nchi zote za Afrika Mashariki kufungua anga zao, kuruhusu utalii na biashara
Jul 14, 2020 08:38Baraza la Biashara la Nchi za Afrika Mashariki (EABC), limezisihi nchi zote za kanda hiyo kufuata mfano wa Tanzania kwa kufungua anga zao ili kuruhusu safari za kimataifa kuingia na kutoka katika nchi zote za kanda hiyo.