Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Msumbuji yachukua uwenyekiti wa SADC

    Msumbuji yachukua uwenyekiti wa SADC

    Aug 17, 2020 23:07

    Tanzania imekabidhi Msumbiji uwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika, SADC huku jumuiya hiyo ikiadhimisha miaka 40 tangu kuasisiwa kwake.

  • Zoezi la kupiga kura uchaguzi mkuu Zanzibar kufanyika siku mbili

    Zoezi la kupiga kura uchaguzi mkuu Zanzibar kufanyika siku mbili

    Aug 02, 2020 04:54

    Wananchi wa visiwa vya Zanzibar nchini Tanzania wanatarajiwa kupiga kura kwa siku mbili katika uchaguzi mkuu utakafanyika Oktoba mwaka huu.

  • Tanzania yazuia safari za Kenya Airways nchini humo

    Tanzania yazuia safari za Kenya Airways nchini humo

    Jul 31, 2020 23:33

    Tanzania imesimamisha shirika la ndege la Kenya (KQ) kufanya safari za kwenda Tanzania kuanzia leo tarehe Mosi Agosti, siku moja baada ya Kenya kutangaza kuwa itafungua anga zake kwa usafiri wa kimataifa isipokuwa kutoka baadhi ya nchi ikiwemo Tanzania.

  • Rais mstaafu wa Tanzania, Benjamin Mkapa, anazikwa leo

    Rais mstaafu wa Tanzania, Benjamin Mkapa, anazikwa leo

    Jul 29, 2020 03:10

    Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Benjamin William Mkapa anazikwa leo katika kijiji alichozaliwa cha Lupaso katika Wilaya ya Masasi, mkoa wa Mtwara Kusini mwa nchi hiyo.

  • Lissu awasili Tanzania, apokewa na wafuasi na viongozi wa Chadema

    Lissu awasili Tanzania, apokewa na wafuasi na viongozi wa Chadema

    Jul 27, 2020 08:35

    Mwanasheria na mwanasiasa mashuhuri wa kambi ya upinzani nchini Tanzania Tundu Antipas Lissu amewasili nchini humo baada ya kuwa nje ya nchi kwa matibabu kwa zaidi ya miaka miwili, baada ya kunusurika kifo kwa shambulio la risasi akiwa Dodoma.

  • Majaliwa: Mwili wa Mkapa kuagwa Uwanja wa Taifa, Kenya yatuma salamu za rambirambi

    Majaliwa: Mwili wa Mkapa kuagwa Uwanja wa Taifa, Kenya yatuma salamu za rambirambi

    Jul 24, 2020 06:41

    Waziri Mkuu wa Tanzania ametangaza kuwa mwili wa rais wa zamani wa nchi hiyo, Benjamin Mkapa aliyeaga dunia mapema leo, utaagwa Uwanja wa Taifa na kwamba siku ya kuuaga itatangazwa hapo baadaye.

  • Rais mstaafu wa Tanzania Benjamin Mkapa afariki dunia, serikali yatangaza siku saba za maombolezo

    Rais mstaafu wa Tanzania Benjamin Mkapa afariki dunia, serikali yatangaza siku saba za maombolezo

    Jul 23, 2020 22:33

    Rais mstaafu wa awamu ya tatu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Benjamin William Mkapa amefariki dunia.

  • Wataalamu wa UN waitaka Tanzania isitishe ukandamizaji

    Wataalamu wa UN waitaka Tanzania isitishe ukandamizaji

    Jul 22, 2020 23:00

    Wataalamu wa haki za binadamu katika Umoja wa Mataifa wameitaka Tanzania isitishe hatua zinazobinya uhuru wa umma, hususan wakati huu ambapo nchi hiyo ya Afrika Mashariki inajiandaa kwa ajili ya uchaguzi mkuu mwezi Oktoba mwaka huu.

  • Tanzania yatangaza tarehe ya uchaguzi mkuu mwaka huu

    Tanzania yatangaza tarehe ya uchaguzi mkuu mwaka huu

    Jul 21, 2020 22:01

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania (NEC) imetangaza tarehe rasmi ya Uchaguzi Mkuu wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki pamoja na ratiba rasmi ya kuanza kwa mikutano ya kampeni.

  • EABC yazitaka nchi zote za Afrika Mashariki kufungua anga zao, kuruhusu utalii na biashara

    EABC yazitaka nchi zote za Afrika Mashariki kufungua anga zao, kuruhusu utalii na biashara

    Jul 14, 2020 08:38

    Baraza la Biashara la Nchi za Afrika Mashariki (EABC), limezisihi nchi zote za kanda hiyo kufuata mfano wa Tanzania kwa kufungua anga zao ili kuruhusu safari za kimataifa kuingia na kutoka katika nchi zote za kanda hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS