-
Polisi ya Tanzania yamtia mbaroni Sheikh Ponda kwa tuhuma za uchochezi
Jul 12, 2020 03:21Jeshi la Polisi la Tanzania limemtia mbaroni Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini humo, Sheikh Ponda Issa Ponda kwa madai ya uchochezi.
-
Waislamu Tanzania wataka uchaguzi huru na wa haki, wataja sifa za wagombea
Jul 09, 2020 11:02Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania ametoa mwito wa kufanyika uchaguzi huru na wa haki mwezi Oktoba mwaka huu nchini humo.
-
Tanzania yafunga vituo vya COVID-19 kwa kukosa wagonjwa wapya
Jul 04, 2020 03:21Wizara ya Afya ya Tanzania imetangaza habari ya kufunga vituo 74 kati ya 85 vilivyokuwa vimetengwa makhsusi kwa ajili ya wagonjwa wa COVID-19 baada ya kukosa kupokea wagonjwa wapya, huku ikisisitiza kuwa janga la corona limepungua kwa kiasi kikubwa nchini humo.
-
Ajali ya boti yaua watu Ziwa Tanganyika nchini Tanzania
Jun 26, 2020 11:33Watu wasiopungua tisa wamefariki na wengine 51 wamejeruhiwa baada ya meli kuzama katika Ziwa la Tanganyika nchini Tanzania.
-
Magufuli achukua fomu Kuwania urais 2020, Hussein Mwinyi naye ajitosa katika kinyang'anyiro Zanzibar
Jun 17, 2020 09:25Rais John Magufuli wa Tanzania ambaye ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) asubuhi leo Jumatano amechukua fomu ya kuwania kinyang’anyiro cha urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwaka huu.
-
Rais wa Tanzania: Shule zote zifunguliwe Juni 29, aruhusu harusi
Jun 16, 2020 07:54RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli ameagiza shule zote nchini humo zifunguliwe tarehe 29 Juni 2020 baada ya kuwepo kwa mwenendo mzuri wa maambukizi machache ya ugonjwa wa Corona.
-
SAUTI, Mufti wa Tanzania Abubakar Zubeir atoa mwongozo kuhusu Corona, Waislamu Kenya walaani mauaji ya polisi wa nchi hiyo dhidi ya baba na watoto wake wawili
Jun 05, 2020 11:35Ripoti ya matukio ya Kiislamu inahusu mwongozo uliotolewa na Mufti wa Tanzanua Sheikh Abubakar Zubeir Ali leo Ijumaa kuhusiana na ugonjwa wa Corona ambapo amemshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kuitikia Dua za watanzania.
-
Tanzania yamuita Kaimu Balozi wa Marekani ajieleze kuhusu taarifa za corona
May 27, 2020 03:34Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ya Tanzania imemuita Kaimu Balozi wa Marekani nchini humo, Dakta Imni Patterson atoe ufafanuzi kuhusu taarifa ambazo amekuwa akiziandika kwenye mitandao yake ya kijamii bila uthibitisho.
-
Waziri wa Afya wa Tanzania: Mashine moja ya kupima Corona ilikuwa na matatizo
May 23, 2020 11:14Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto wa Tanzania Ummy Mwalimu ametoa taarifa kuhusu uchunguzi uliofanywa kuilenga maabara ya taifa ambapo ameeleza mambo kadhaa yaliyogunduliwa na kamati teule ya uchunguzi huo.
-
Tanzania yafungua anga na kuruhusu ndege kuendelea kuingia na kutoka nchi hiyo
May 18, 2020 11:07Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetangaza rasmi kufungua anga yake na kuruhusu ndege zote kuendelea kutua au kupita katika anga ya nchi hiyo baada ya kufungwa kuanzia tarehe 7 Mei mwaka huu katika jitihada za kukabiliana na kuenea kwa virusi vya Corona.