Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Rais Magufuli Tanzania: Watanzania na Wakenya wasikubali kulaghaiwa kwa maneno ya kuwatenganisha

    Rais Magufuli Tanzania: Watanzania na Wakenya wasikubali kulaghaiwa kwa maneno ya kuwatenganisha

    Jul 05, 2019 11:07

    Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania, amesema kuwa, raia wa Kenya na Tanzania wasikubali kulaghaiwa na kupotoshwa kwa maneno yasiyofaa yanayolenga kuwatenganisha.

  • Hatimaye raia wa Kenya aliyesemekana kutekwa nyara Tanzania, apatikana mjini Mombasa

    Hatimaye raia wa Kenya aliyesemekana kutekwa nyara Tanzania, apatikana mjini Mombasa

    Jul 02, 2019 09:32

    Mfanyabiashara wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa nyara na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay jijini Dar es Salaam Tanzania, amepatikana leo akiwa salama mjini Mombasa nchini Kenya.

  • Zitto Kabwe: Serikali ya Tanzania iliangalie kwa uzito suala la kutekwa raia wa Kenya

    Zitto Kabwe: Serikali ya Tanzania iliangalie kwa uzito suala la kutekwa raia wa Kenya

    Jul 01, 2019 08:13

    Zitto Zuberi Kabwe, Mbunge wa Kigoma Mjini kupitia tiketi ya chama cha ACT- Wazalendo nchini Tanzania ameitaka serikali ya nchi hiyo kuliangalia kwa uzito suala la kutekwa nyara raia wa Kenya anayeishi Tanzania, kwa jina la Raphael Ongagi.

  • Mkuu wa Jeshi la Polisi la Tanzania atembelea eneo walipouliwa Watanzania + Sauti

    Mkuu wa Jeshi la Polisi la Tanzania atembelea eneo walipouliwa Watanzania + Sauti

    Jun 30, 2019 12:40

    Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Tanzania (IGP), Simon Sirro amesema imebainika kuwa waliowaua Watanzania 9 kwa kuwapiga risasi na wengine kushambuliwa kwa mapanga ambao ni watu wasiojulikana, walianza chokochoko hizo katika eneo la Kibiti mkoani Pwani baada ya kutimuliwa na na Jeshi la Polisi la Tanzania na wengine wakakimbilia nchi jirani ikiwemo Msumbiji. Maelezo zaidi yamo katika ripoti ya mwandishi wetu wa Dar es Salaam, Ammar Dachi.

  • Lissu kwenda mahakamani kupinga hatua ya kupokonywa Ubunge

    Lissu kwenda mahakamani kupinga hatua ya kupokonywa Ubunge

    Jun 28, 2019 23:31

    Baada ya Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai kusema Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu amepoteza sifa za kuendelea kuwa mbunge, mwanasiasa huyo ambaye anaendelea kuuguza majeraha ya risasi ughaibuni amesema atakwenda mahakamani kupinga uamuzi huo.

  • Zitto Kabwe: Bunge la Tanzania liibane serikali isiendelee kukopa fedha

    Zitto Kabwe: Bunge la Tanzania liibane serikali isiendelee kukopa fedha

    Jun 27, 2019 03:52

    Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), Zitto Zuberi Kabwe amesema kuwa kuna umuhimu wa bunge la nchi hiyo kuipangia serikali ya Dar es Salaam kiasi cha fedha inachotakiwa kukikopa ili kupunguza kuongezeka kwa Deni la Taifa sambamba na mikopo hiyo hutumika kikamilifu katika miradi ya maendeleo iliyokusudiwa.

  • SAUTI, Kazi ya ujenzi wa bwawa la kuzalisha umeme kwenye maporomoko ya Rusumo karibu itakamilika

    SAUTI, Kazi ya ujenzi wa bwawa la kuzalisha umeme kwenye maporomoko ya Rusumo karibu itakamilika

    Jun 24, 2019 13:36

    Nchi za Rwanda, Tanzania na Burundi zimetangaza kwamba kazi ya kuzalisha umeme kwenye maporomoko ya mto Rusumo iko mbioni kukamilika.

  • Serikali ya Tanzania: Marufuku watuhumiwa wanawake kukaguliwa na askari wa kiume

    Serikali ya Tanzania: Marufuku watuhumiwa wanawake kukaguliwa na askari wa kiume

    Jun 24, 2019 08:47

    Serikali ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Waziri wake wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola imesema kuwa, mtuhumiwa mwanamke anayefikishwa katika kituo cha polisi hapaswi kukaguliwa na askari wa kiume na badala yake kazi hiyo inatakiwa kufanywa na askari wa kike, mgambo wa kike au mke wa askari aliyepo karibu na eneo la kituo hicho na si vinginevyo.

  • Homa ya Dengue yaua watu wanne nchini Tanzania

    Homa ya Dengue yaua watu wanne nchini Tanzania

    Jun 21, 2019 09:55

    Serikali ya Tanzania leo Ijumaa imetoa kauli Bungeni kuhusu homa ya Dengue na kubainisha kwamba, tangu mwezi Januari hadi Juni mwaka huu 2019, watu wanne wamefariki dunia huku maelfu ya wengine wakiwa wameugua ugonjwa huo.

  • Watanzania: Ongezeko la Shilingi laki moja kwenye pato la mwananchi lipo kwa wabunge

    Watanzania: Ongezeko la Shilingi laki moja kwenye pato la mwananchi lipo kwa wabunge

    Jun 14, 2019 07:57

    Raia wa Tanzania wameonyesha kushangazwa na kauli ya serikali ya nchi hiyo kwamba pato la mwananchi wa kawaida liliongezeka kwa Shilingi laki moja zaidi mwaka jana ikilinganishwa na mwaka mmoja kabla, na kusisitiza kwamba pato hilo lipo kwa wabunge pekee.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS