Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Zitto Kabwe aufikisha mgogoro wa Spika wa Bunge la Tanzania na CAG katika ngazi ya kimataifa

    Zitto Kabwe aufikisha mgogoro wa Spika wa Bunge la Tanzania na CAG katika ngazi ya kimataifa

    Jan 10, 2019 12:28

    Mgogoro ulioibuka kati ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad, umezidi kuwa mkubwa baada ya kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe kumuandikia barua Katibu Mkuu wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola (CPA), Akbar Khan akimtaka kuingilia kat.

  • Mufti wa Tanzania ataka mahujaji wa nchi hiyo watumie Air Tanzania + Sauti

    Mufti wa Tanzania ataka mahujaji wa nchi hiyo watumie Air Tanzania + Sauti

    Jan 05, 2019 02:50

    Viongozi wanaosimamia misafara ya Hija nchini Tanzania wametakiwa kutumia ndege za Shirika la Ndege la Air Tanzania katika msimu wa Hija kama njia ya kuunga mkono jitihada za rais wa nchi hiyo za kuliletea maendeleo Taifa. Ammari Dachi na ripoti kamili kutoka Dar es Salaam.

  • Msumbiji: Raia wa Tanzania na Afrika Kusini ndio wanaoongoza 'al-Shabaab'

    Msumbiji: Raia wa Tanzania na Afrika Kusini ndio wanaoongoza 'al-Shabaab'

    Jan 01, 2019 04:46

    Waendesha Mashitaka nchini Msumbiji wamewataja raia wawili wa Tanzania na mmoja wa Afrika Kusini kuwa miongoni mwa makamanda wa kundi la kigaidi la al-Shabaab ambalo hapo awali lililikuwa linajiita Ahlu Sunna Wal Jamaa, linalofanya hujuma za umwagaji damu katika mkoa wa Cabo Delgado, kaskazini mwa nchi.

  • Wahajiri 14 wa Ethiopia waaga dunia katika mazingira ya kutatanisha Tanzania

    Wahajiri 14 wa Ethiopia waaga dunia katika mazingira ya kutatanisha Tanzania

    Jan 01, 2019 04:42

    Polisi ya Tanzania imetangaza habari ya kuaga dunia wahamiaji 14 waliothibitishwa kuwa raia wa Ethiopia mkoani Morogoro, mashariki mwa Tanzania.

  • Kamati ya amani Tanzania inayojumuisha Waislamu na Wakristo yaadhimisha mazazi ya Nabii Isa AS + Sauti

    Kamati ya amani Tanzania inayojumuisha Waislamu na Wakristo yaadhimisha mazazi ya Nabii Isa AS + Sauti

    Dec 29, 2018 14:57

    Kamati ya amani nchini Tanzania ambayo inajumuisha viongozi wa Kiislamu na Kikristo wa madhehebu mbalimbali, imefanya sherehe maalumu za kuadhimisha mazazi ya Nabii Isa AS na mwaka mpya wa Milaadia. Maelezo zaidi yamo kwenye ripoti ya mwandishi wetu Ammar Dachi...

  • Tanzania yawataka wanahabari kutekeleza vyema majukumu yao + Sauti, Video

    Tanzania yawataka wanahabari kutekeleza vyema majukumu yao + Sauti, Video

    Dec 24, 2018 03:31

    Dk Hassan Abbas, msemaji mkuu wa serikali ya Tanzania amewataka waandishi wa habari nchini humo kutambua haki na kutimiza vyema wajibu wao.

  • Mkutano wa marais wa EAC wafutwa tena

    Mkutano wa marais wa EAC wafutwa tena

    Dec 20, 2018 11:34

    Mkutano wa wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki ambao ulikuwa umepangwa kufanyika Arusha Tanzania umefutwa kwa mara ya pili ndani ya wiki tatu.

  • Vyama 6 vya siasa Tanzania vyajadili demokrasia katika mkutano wa Zanzibar+SAUTI

    Vyama 6 vya siasa Tanzania vyajadili demokrasia katika mkutano wa Zanzibar+SAUTI

    Dec 18, 2018 14:58

    Viongozi na wanachama waandamizi wa Vyama sita vya siasa katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamekutana visiwani Zanzibar hii leo na kujadili juu ya dira ya taifa.

  • Bakwata yaadhimisha miaka 50 ya kuasisiwa kwake+SAUTI

    Bakwata yaadhimisha miaka 50 ya kuasisiwa kwake+SAUTI

    Dec 18, 2018 13:10

    Huku Baraza Kuu la Waislamu Tanzania BAKWATA likitimiza miaka 50 tangu kuasisiwa kwake, MUFTI Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar bin Zubeir amewataka waalimu wa elimu ya dini kujifunza elimu zinazoendana na mazingira yao, ikiwemo sayansi na teknolojia.

  • Tanzania na Misri zasaini Mkataba wa Ujenzi wa Mradi wa Stieglers Gorge+SAUTI

    Tanzania na Misri zasaini Mkataba wa Ujenzi wa Mradi wa Stieglers Gorge+SAUTI

    Dec 13, 2018 12:31

    Rais Dkt John Pombe Magufuli wa Tanzania na mgeni wake, Waziri Mkuu wa Misri, Mostafa Madbouly, wameshiriki utiaji saini wa Mkataba wa Ujenzi wa Mradi wa kuzalisha umeme kwenye Mto Rufiji (Stieglers Gorge).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS