Mufti wa Tanzania ataka mahujaji wa nchi hiyo watumie Air Tanzania + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i50646-mufti_wa_tanzania_ataka_mahujaji_wa_nchi_hiyo_watumie_air_tanzania_sauti
Viongozi wanaosimamia misafara ya Hija nchini Tanzania wametakiwa kutumia ndege za Shirika la Ndege la Air Tanzania katika msimu wa Hija kama njia ya kuunga mkono jitihada za rais wa nchi hiyo za kuliletea maendeleo Taifa. Ammari Dachi na ripoti kamili kutoka Dar es Salaam.
(last modified 2023-11-27T08:44:11+00:00 )
Jan 05, 2019 02:50 UTC

Viongozi wanaosimamia misafara ya Hija nchini Tanzania wametakiwa kutumia ndege za Shirika la Ndege la Air Tanzania katika msimu wa Hija kama njia ya kuunga mkono jitihada za rais wa nchi hiyo za kuliletea maendeleo Taifa. Ammari Dachi na ripoti kamili kutoka Dar es Salaam.