-
Serikali ya Tanzania yaamuru watoto ombaomba kukamatwa na kushtakiwa mahakamani
Sep 12, 2018 09:37Serikali ya Tanzania imetoa agizo la kukamatwa na kufikishwa mahakamani, watoto wa mitaani, maarufu kama ombaomba, kwa kutumia sharia inayozuia utoro mashuleni.
-
Watu 28 waaga dunia na kujeruhiwa katika ajali ya barabarani Tanzania
Sep 08, 2018 22:17Kwa akali watu 15 wamepoteza maisha na wengine 13 kujeruhiwa katika ajali mbaya ya barabarani iliyotokea katika mkoa wa Mbeya, kusini mwa Tanzania.
-
Upinzani nchini Tanzania wapinga wakurugenzi wa Tume ya uchaguzi NEC kuwa wanachama wa CCM
Sep 04, 2018 09:21Wabunge wa upinzani nchini Tanzania wamelalamikia hatua ya wajumbe na wasimamizi wa uchaguzi kutoka Tume ya Uchaguzi (NEC) kuwa wanachama wa chama tawala CCM.
-
Waziri wa Mambo ya Ndani Tanzania, akemea ongezeko la utumiaji nguvu wa mgambo na walimu nchini humo
Sep 03, 2018 09:34Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi wa Tanzania, Kangi Lugola amelaani vitendo vya utumiaji nguvu vya mgambo wa nchi hiyo hususan wa jiji la Dar es salaam na kuvitaja vitendo hivyo kuwa vya kihuni, kishenzi na kinyama.
-
LHRC: Ubakaji watoto umeongezeka Tanzania
Sep 01, 2018 09:35Shirika moja la haki za binadamu nchini Tanzania limesema kumeshuhudiwa ongezeko kubwa la vitendo vya ubakaji nchini humo.
-
SAUTI, Balozi wa Iran Tanzania: Iddi ya Ghadir ni kwa ajili ya Waislamu wote si kwa Waislamu wa Shia peke yao
Aug 30, 2018 12:30Balozi wa Jamuhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Tanzania, Mousa Farhang, amesema kuwa, Sikukuu ya Ghadir sio kwa ajili ya Waislamu wa Shia pekee, bali Waislamu wa madhehebu yote duniani.
-
Mbowe: Viongozi wa Chadema Tanzania, tunatengenezewa kesi ili tufungwe
Aug 24, 2018 00:13Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, Freeman Mbowe, amesema kuwa, viongozi wa chama hicho wanatengenezewa kesi ili wafungwe jela na kusisitiza kuwa, pamoja na hayo wao hawaogopi kwenda jela.
-
Tanzania yakabiliwa na hatari kubwa ya mlipuko wa homa ya Ebola
Aug 22, 2018 03:09Waziri wa afya wa Tanzania Bibi Ummy Mwalimu amesema, Tanzania inakabiliwa na hatari kubwa ya kutokea kwa mlipuko wa ugonjwa wa Ebola, ambao umesababisha vifo vya watu 50 kati ya wagonjwa 91 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC
-
SAUTI, Sheikh Jalala: Nchi zilizowakoloni Waafrika zilipe fidia kwa nchi za bara hilo, sambamba na kutupiliwa mbali mitaala yao
Aug 17, 2018 11:43Kiongozi wa Chuo cha Imam Swadiq (as) cha jijini Dar es Salaam, Tanzania Sheikh Hemed Jalala, ameonya tabia ya nchi za Kiafrika kuendelea kukumbatia mitaala na maelekezo ya nchi za kikoloni na kibeberu kwa kuwa mabeberu hao hawana nia njema na bara la Afrika.
-
SAUTI, Waziri wa Sheria na Katiba Tanzania: Serikali imeamua kuyaweka mashirika yote ya umma chini ya Mwanasheria Mkuu
Aug 16, 2018 11:07Waziri wa Katiba na Sheria nchini Tanzania Prof. Palamagamba Kabudi amesema, serikali imeamua kuyaweka mashirika yote ya umma kuanzia Tanesco, mifuko ya hifadhi ya jamii na bandari chini ya usimamizi wa Mwanasheria Mkuu wa serikali kwa lengo la kuzuia mashirika hayo kuendelea kupata hasara.