Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Profesa Lipumba: Chama cha CUF kimemdekeza sana Maalim Seif, Mazrui amjibu

    Profesa Lipumba: Chama cha CUF kimemdekeza sana Maalim Seif, Mazrui amjibu

    Mar 19, 2018 04:38

    Mwenyekiti wa chama cha CUF anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania, Profesa Ibrahim Haruna Lipumba amesema kuwa, chama hicho kilimdekeza kwa kiasi kikubwa Katibu mkuu wake, Maalim Seif Sharif Hamad.

  • ACT Wazalendo: Maeneo ya vijijini  nchini Tanzania yametelekezwa na serikali

    ACT Wazalendo: Maeneo ya vijijini nchini Tanzania yametelekezwa na serikali

    Mar 18, 2018 13:21

    Aidha chama hicho kimeitaka serikali kuruhusu wananchi wafanye maandamano ya amani

  • SAUTI. Tanzania yaendelea kutoa indhari kuzuia maandamano tarajiwa, polisi nayo yasema asiyejua kifo aangalie kaburi

    SAUTI. Tanzania yaendelea kutoa indhari kuzuia maandamano tarajiwa, polisi nayo yasema asiyejua kifo aangalie kaburi

    Mar 15, 2018 13:06

    Raia wa Tanzania wameendelea kupewa indhari na serikali ya nchi hiyo ya kutojihusisha na maandamano yanayopangwa kufanyika mwezi April mwaka huu.

  • Mtandao wa wanafunzi Tanzania: Hatuamini uchunguzi uliofanywa na polisi kuhusu Nondo

    Mtandao wa wanafunzi Tanzania: Hatuamini uchunguzi uliofanywa na polisi kuhusu Nondo

    Mar 14, 2018 04:49

    Mtandao wa wanafunzi nchini Tanzania (TSNP) umetoa taarifa ukisema kuwa, habari walizo nazo kuhusu kile kilichomsibu mwanafunzi mwenzao, Abdul Nondo, zinakinzana na zile zilizotolewa jana na jeshi la polisi nchini humo hasa baada ya kufanya uchunguzi.

  • Rais Magufuli: Watakaofanya maandamano 'watasimulia' baba zao

    Rais Magufuli: Watakaofanya maandamano 'watasimulia' baba zao

    Mar 10, 2018 00:45

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John  Magufuli amevionya vyama vya siasa na wananchi ambao wamepanga kufanya maandamo siku za hivi karibuni kwa mujibu wa taarifa ambazo zimekuwa zikisambaa mitandaoni.

  • LHRC yaitaka Tume ya Uchaguzi Tanzania kusikiliza malalamiko ya wadau

    LHRC yaitaka Tume ya Uchaguzi Tanzania kusikiliza malalamiko ya wadau

    Mar 07, 2018 11:02

    Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu nchini Tanzania (LHRC),  kimeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya nchi hiyo (NEC) kufanyia kazi changamoto na malalamiko yaliyoibuliwa na wadau wakati na baada ya uchaguzi mdogo wa ubunge Kinondoni na Siha.

  • Tanzania yazinyoshea kidole nchi za Magharibi kutokana na matukio ya kisiasa ya nchi hiyo

    Tanzania yazinyoshea kidole nchi za Magharibi kutokana na matukio ya kisiasa ya nchi hiyo

    Mar 03, 2018 01:32

    Serikali ya Tanzania imewataka mabalozi wa kigeni wanaoziwakilisha nchi zao nchini humo, kutambua mazingira yanayolikabili taifa hilo kabla ya kutoa ripoti ambazo hazijathibitishwa na zenye uchochezi.

  • Mbowe aishambulia NEC na polisi, asema polisi inapotosha kuhusu wahusika wa mauaji Tanzania-na sauti

    Mbowe aishambulia NEC na polisi, asema polisi inapotosha kuhusu wahusika wa mauaji Tanzania-na sauti

    Feb 27, 2018 11:48

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amelituhumu jeshi la polisi na Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini Tanzania (NEC) kuwa imekuwa na miamala mibaya dhidi ya upinzani nchini.

  • Viongozi wa upinzani wahukumiwa kifungo jela kwa kumkashifu Rais nchini Tanzania

    Viongozi wa upinzani wahukumiwa kifungo jela kwa kumkashifu Rais nchini Tanzania

    Feb 26, 2018 06:45

    Mahakama moja nchini Tanzania imewahukumu kifungo cha miezi mitano jela mbunge na katibu wa chama cha upinzani cha CHADEMA baada ya kuwapata na hatia ya kumkashifu Rais wa nchi hiyo.

  • Umoja wa Ulaya waitaka serikali ya Tanzania ifanye uchunguzi kuhusu matukio ya mauaji na utekaji nchini

    Umoja wa Ulaya waitaka serikali ya Tanzania ifanye uchunguzi kuhusu matukio ya mauaji na utekaji nchini

    Feb 24, 2018 04:52

    Umoja wa Ulaya (EU) umetoa tamko kuhusiana na matukio ya utekaji nyara na mauaji ambayo yamekuwa yakitokea nchini Tanzania na umeitaka serikali ya Dar es Salaam kufanya uchunguzi wa kina juu ya matukio hayo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS