-
Profesa Lipumba: Chama cha CUF kimemdekeza sana Maalim Seif, Mazrui amjibu
Mar 19, 2018 04:38Mwenyekiti wa chama cha CUF anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania, Profesa Ibrahim Haruna Lipumba amesema kuwa, chama hicho kilimdekeza kwa kiasi kikubwa Katibu mkuu wake, Maalim Seif Sharif Hamad.
-
ACT Wazalendo: Maeneo ya vijijini nchini Tanzania yametelekezwa na serikali
Mar 18, 2018 13:21Aidha chama hicho kimeitaka serikali kuruhusu wananchi wafanye maandamano ya amani
-
SAUTI. Tanzania yaendelea kutoa indhari kuzuia maandamano tarajiwa, polisi nayo yasema asiyejua kifo aangalie kaburi
Mar 15, 2018 13:06Raia wa Tanzania wameendelea kupewa indhari na serikali ya nchi hiyo ya kutojihusisha na maandamano yanayopangwa kufanyika mwezi April mwaka huu.
-
Mtandao wa wanafunzi Tanzania: Hatuamini uchunguzi uliofanywa na polisi kuhusu Nondo
Mar 14, 2018 04:49Mtandao wa wanafunzi nchini Tanzania (TSNP) umetoa taarifa ukisema kuwa, habari walizo nazo kuhusu kile kilichomsibu mwanafunzi mwenzao, Abdul Nondo, zinakinzana na zile zilizotolewa jana na jeshi la polisi nchini humo hasa baada ya kufanya uchunguzi.
-
Rais Magufuli: Watakaofanya maandamano 'watasimulia' baba zao
Mar 10, 2018 00:45Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli amevionya vyama vya siasa na wananchi ambao wamepanga kufanya maandamo siku za hivi karibuni kwa mujibu wa taarifa ambazo zimekuwa zikisambaa mitandaoni.
-
LHRC yaitaka Tume ya Uchaguzi Tanzania kusikiliza malalamiko ya wadau
Mar 07, 2018 11:02Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu nchini Tanzania (LHRC), kimeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya nchi hiyo (NEC) kufanyia kazi changamoto na malalamiko yaliyoibuliwa na wadau wakati na baada ya uchaguzi mdogo wa ubunge Kinondoni na Siha.
-
Tanzania yazinyoshea kidole nchi za Magharibi kutokana na matukio ya kisiasa ya nchi hiyo
Mar 03, 2018 01:32Serikali ya Tanzania imewataka mabalozi wa kigeni wanaoziwakilisha nchi zao nchini humo, kutambua mazingira yanayolikabili taifa hilo kabla ya kutoa ripoti ambazo hazijathibitishwa na zenye uchochezi.
-
Mbowe aishambulia NEC na polisi, asema polisi inapotosha kuhusu wahusika wa mauaji Tanzania-na sauti
Feb 27, 2018 11:48Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amelituhumu jeshi la polisi na Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini Tanzania (NEC) kuwa imekuwa na miamala mibaya dhidi ya upinzani nchini.
-
Viongozi wa upinzani wahukumiwa kifungo jela kwa kumkashifu Rais nchini Tanzania
Feb 26, 2018 06:45Mahakama moja nchini Tanzania imewahukumu kifungo cha miezi mitano jela mbunge na katibu wa chama cha upinzani cha CHADEMA baada ya kuwapata na hatia ya kumkashifu Rais wa nchi hiyo.
-
Umoja wa Ulaya waitaka serikali ya Tanzania ifanye uchunguzi kuhusu matukio ya mauaji na utekaji nchini
Feb 24, 2018 04:52Umoja wa Ulaya (EU) umetoa tamko kuhusiana na matukio ya utekaji nyara na mauaji ambayo yamekuwa yakitokea nchini Tanzania na umeitaka serikali ya Dar es Salaam kufanya uchunguzi wa kina juu ya matukio hayo.