-
Mgogoro wa kisiasa unaendelea nchini Tunisia
Feb 14, 2021 00:16Moto za mzozo wa kisiasa umezidi kuwa mkubwa nchini Tunisia baada ya Waziri Mkuu kumtuhumu rais wa nchi hiyo kuwa ndiye anayeikwamisha Serikali.
-
Askari wanne wa jeshi la Tunisia wauawa katika mpaka wa pamoja na Algeria
Feb 04, 2021 00:57Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Tunisia ametangaza kuwa askari wanne wa jeshi la nchi hiyo wameuawa katika mripuko wa bomu la kutegwa ardhini uliotokea kwenye mpaka wa pamoja wa Tunisia na Algeria.
-
Israel yatuhumiwa kuhusika na njama ya kumuua Rais wa Tunisia
Jan 29, 2021 04:02Harakati ya al-Shaab ya Tunisia imesema utawala wa Kizayuni wa Israel ulihusika na njama ya kutaka kumuua Rais Kais Saied wa nchi hiyo kwa kutumia sumu.
-
Kuendelea machafuko nchini Tunisia
Jan 25, 2021 06:08Licha ya kupita takriban muongo mzima tangu yalipotokea mapinduzi ya wananchi wa Tunisia na kuchochea mapinduzi mengine katika nchi kadhaa za ulimwengu wa Kiarabu, lakini bado wananchi wa nchi hiyo wanalalamikia matatizo mengi ya kijamii na kisiasa nchini mwao.
-
Machafuko yaendelea Tunisia, jeshi kumiminwa mitaani kuwasaidia polisi
Jan 18, 2021 23:44Vijana wenye hasira wameendelea kukaidi amri ya karantini ya nchi nzima huko Tunisia hasa nyakati za usiku na wameendelea kufanya maandamano licha ya kuweko maambukizi ya kirusi cha corona.
-
Makumi ya wahajiri wafa maji katika pwani ya Tunisia
Dec 25, 2020 09:35Wahajiri wasiopungua 20 wamepoteza maisha katika ajali ya boti iliyotokea jana Alkhamisi katika mji wa pwani wa Sfax nchini Tunisia.
-
Algeria na Tunisia zazuia ndege ya Israel kutumia anga zao
Dec 23, 2020 08:56Algeria na Tunisia zimeizuia ndege ya utawala wa Kizayuni wa Israel kuruka katika anga zao ili kuonyesha upinzani wao kwa hatua ya baadhi ya nchi za Kiarabu ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala huo haramu.
-
Wizara ya Mashauri ya Kigeni: Tunisia haina mpango wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel
Dec 23, 2020 04:35Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Tunisia imeashiria juhudi za baadhi ya mataifa ya kieneo za kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel na kusisitiza kwamba, serikali ya Tunis haina mpango wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala huo ghasibu.
-
Vyama na shakhsia wa Tunisia walaani kuuliwa kigaidi Shahidi Fakhrizadeh
Dec 01, 2020 01:02Vyama na shakhsia mbalimbali nchini Tunisia wametoa taarifa na kulaani mauaji ya kigaidi ya Shahidi Mohsen Fakhrizadeh, mwanasayansi mkubwa wa nyuklia na masuala ya ulinzi wa Iran.
-
Mkuu wa Harakati ya An Nahdhah nchini Tunisia ajiengua kugombea nafasi ya mkuu wa chama
Nov 26, 2020 01:06Mkuu wa Harakati ya An Nahadhah ya nchini Tunisia amesema hatagombea nafasi ya mkuu wa harakati hiyo kwa duru ya tatu mtawalia.