Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Mgogoro wa kisiasa unaendelea nchini Tunisia

    Mgogoro wa kisiasa unaendelea nchini Tunisia

    Feb 14, 2021 00:16

    Moto za mzozo wa kisiasa umezidi kuwa mkubwa nchini Tunisia baada ya Waziri Mkuu kumtuhumu rais wa nchi hiyo kuwa ndiye anayeikwamisha Serikali.

  • Askari wanne wa jeshi la Tunisia wauawa katika mpaka wa pamoja na Algeria

    Askari wanne wa jeshi la Tunisia wauawa katika mpaka wa pamoja na Algeria

    Feb 04, 2021 00:57

    Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Tunisia ametangaza kuwa askari wanne wa jeshi la nchi hiyo wameuawa katika mripuko wa bomu la kutegwa ardhini uliotokea kwenye mpaka wa pamoja wa Tunisia na Algeria.

  • Israel yatuhumiwa kuhusika na njama ya kumuua Rais wa Tunisia

    Israel yatuhumiwa kuhusika na njama ya kumuua Rais wa Tunisia

    Jan 29, 2021 04:02

    Harakati ya al-Shaab ya Tunisia imesema utawala wa Kizayuni wa Israel ulihusika na njama ya kutaka kumuua Rais Kais Saied wa nchi hiyo kwa kutumia sumu.

  • Kuendelea machafuko nchini Tunisia

    Kuendelea machafuko nchini Tunisia

    Jan 25, 2021 06:08

    Licha ya kupita takriban muongo mzima tangu yalipotokea mapinduzi ya wananchi wa Tunisia na kuchochea mapinduzi mengine katika nchi kadhaa za ulimwengu wa Kiarabu, lakini bado wananchi wa nchi hiyo wanalalamikia matatizo mengi ya kijamii na kisiasa nchini mwao.

  • Machafuko yaendelea Tunisia, jeshi kumiminwa mitaani kuwasaidia polisi

    Machafuko yaendelea Tunisia, jeshi kumiminwa mitaani kuwasaidia polisi

    Jan 18, 2021 23:44

    Vijana wenye hasira wameendelea kukaidi amri ya karantini ya nchi nzima huko Tunisia hasa nyakati za usiku na wameendelea kufanya maandamano licha ya kuweko maambukizi ya kirusi cha corona.

  • Makumi ya wahajiri wafa maji katika pwani ya Tunisia

    Makumi ya wahajiri wafa maji katika pwani ya Tunisia

    Dec 25, 2020 09:35

    Wahajiri wasiopungua 20 wamepoteza maisha katika ajali ya boti iliyotokea jana Alkhamisi katika mji wa pwani wa Sfax nchini Tunisia.

  • Algeria na Tunisia zazuia ndege ya Israel kutumia anga zao

    Algeria na Tunisia zazuia ndege ya Israel kutumia anga zao

    Dec 23, 2020 08:56

    Algeria na Tunisia zimeizuia ndege ya utawala wa Kizayuni wa Israel kuruka katika anga zao ili kuonyesha upinzani wao kwa hatua ya baadhi ya nchi za Kiarabu ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala huo haramu.

  • Wizara ya Mashauri ya Kigeni: Tunisia haina mpango wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni: Tunisia haina mpango wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel

    Dec 23, 2020 04:35

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Tunisia imeashiria juhudi za baadhi ya mataifa ya kieneo za kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel na kusisitiza kwamba, serikali ya Tunis haina mpango wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala huo ghasibu.

  • Vyama na shakhsia wa Tunisia walaani kuuliwa kigaidi Shahidi Fakhrizadeh

    Vyama na shakhsia wa Tunisia walaani kuuliwa kigaidi Shahidi Fakhrizadeh

    Dec 01, 2020 01:02

    Vyama na shakhsia mbalimbali nchini Tunisia wametoa taarifa na kulaani mauaji ya kigaidi ya Shahidi Mohsen Fakhrizadeh, mwanasayansi mkubwa wa nyuklia na masuala ya ulinzi wa Iran.

  • Mkuu wa Harakati ya An Nahdhah  nchini Tunisia ajiengua kugombea nafasi ya mkuu wa chama

    Mkuu wa Harakati ya An Nahdhah nchini Tunisia ajiengua kugombea nafasi ya mkuu wa chama

    Nov 26, 2020 01:06

    Mkuu wa Harakati ya An Nahadhah ya nchini Tunisia amesema hatagombea nafasi ya mkuu wa harakati hiyo kwa duru ya tatu mtawalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS