-
Watunisia waandamana kuonyesha uungaji mkono wao kwa Wapalestina
Oct 02, 2020 10:21Kwa mara nyingine tena wananchi na shakhsia mbalimbali wa Tunisia wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo Tunis, kutangaza uungaji mkono wao kwa wananchi madhulumu wa Palestina.
-
Watunisia wasisitiza kuhuishwa uhusiano na Syria
Sep 26, 2020 02:54Jumuiiya ya Kitaifa ya Kuunga mkono Muqawama na kupambana na utawala wa Kizayuni ya Tunisia imefanya maandamano na kusisitiza kuanzishwa tena uhusiano kati ya nchi hiyo na Syria.
-
Rais wa Tunisia: Baraza la Usalama la UN limekuwa "kibogoyo" kutokana na kutawaliwa na mivutano
Sep 25, 2020 06:37Rais wa Tunisia amesema kwa mivutano ya kisiasa imelifanya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa liwe "kibogoyo" na kupunguza uwezo wake wa kutatua migogoro mbalimbali.
-
Rais wa Tunisia ahimiza kulindwa ipasavyo haki za Wapalestina
Sep 22, 2020 11:45Rais wa Tunisia ametoa mwito kwa walimwenguni kushirikiana kuhakikisha kuwa Wapalestina wanakombolewa kutoka kwenye makucha ya utawala wa Kizayuni na wanapata haki zao.
-
Mwakilishi wa kudumu wa Tunisia UN afutwa kazi ghafla
Sep 12, 2020 00:42Mwakilishi wa kudumu wa Tunisia katika Umoja wa Mataifa ambaye hajatimiza hata miezi sita tangu ateuliwe kushika nafasi hiyo, amefutwa kazi ghafla tena bila ya kupewa taarifa mapema.
-
Bunge la Tunisia lapasisha baraza jipya la mawaziri
Sep 03, 2020 04:10Baada ya karibu mwezi mmoja tangu Rais Kais Saied alipomteuwa Hisham El-Mechishi kuwa Waziri Mkuu wa Tunisia, El-Mechishi amewasilisha baraza lake la mawaziri bungeni ambalo limepasishwa kwa wingi wa kura.
-
Wananchi wa Tunisia waandamana kulaani mapatano ya Imarati na utawala wa Kizayuni
Aug 24, 2020 02:28Wananchi wa Tunisia wamefanya maandamano makubwa kupinga mapatano yaliyofikiwa kati ya Imarati na utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia kati ya pande mbili hizo.
-
Bunge la Tunisia limelaani mapatano kati ya Imarati na utawala wa Kizayuni
Aug 18, 2020 06:57Bunge la Tunisia limelaani mapatano yaliyofikiwa ya kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia kati ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) na utawala ghasibu wa Israel.
-
Rais wa Tunisia: Msingi wa mirathi katika Uislamu ni uadilifu na insafu
Aug 17, 2020 07:38Rais Kais Saied wa Tunisia ameamsha hasira za jumuiya za wanawake za kiliberali baada ya kusisitiza kwamba msingi wa mirathi katika dini ya Uislamu ni uadilifu na insafu na kwamba suala hilo limeshapewa ufumbuzi katika aya za Qu'ani tukufu ambao hauhitajii tena tafsiri wala taawili.
-
Waziri Mkuu mteule wa Tunisia: Nitaunda serikali ya mateknokrati watupu
Aug 11, 2020 11:20Waziri Mkuu mteule wa Tunisia amesema kuwa ataunda serikali ya mateknokrati watupu bila ya kuvishirikisha vyama vingine kufuatia mivutano iliyopo baina vyama vya siasa kuhusu uundaji wa serikali mpya nchini humo.