Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Watunisia waandamana kuonyesha uungaji mkono wao kwa Wapalestina

    Watunisia waandamana kuonyesha uungaji mkono wao kwa Wapalestina

    Oct 02, 2020 10:21

    Kwa mara nyingine tena wananchi na shakhsia mbalimbali wa Tunisia wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo Tunis, kutangaza uungaji mkono wao kwa wananchi madhulumu wa Palestina.

  • Watunisia wasisitiza kuhuishwa uhusiano na Syria

    Watunisia wasisitiza kuhuishwa uhusiano na Syria

    Sep 26, 2020 02:54

    Jumuiiya ya Kitaifa ya Kuunga mkono Muqawama na kupambana na utawala wa Kizayuni ya Tunisia imefanya maandamano na kusisitiza kuanzishwa tena uhusiano kati ya nchi hiyo na Syria.

  • Rais wa Tunisia: Baraza la Usalama la UN limekuwa

    Rais wa Tunisia: Baraza la Usalama la UN limekuwa "kibogoyo" kutokana na kutawaliwa na mivutano

    Sep 25, 2020 06:37

    Rais wa Tunisia amesema kwa mivutano ya kisiasa imelifanya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa liwe "kibogoyo" na kupunguza uwezo wake wa kutatua migogoro mbalimbali.

  • Rais wa Tunisia ahimiza kulindwa ipasavyo haki za Wapalestina

    Rais wa Tunisia ahimiza kulindwa ipasavyo haki za Wapalestina

    Sep 22, 2020 11:45

    Rais wa Tunisia ametoa mwito kwa walimwenguni kushirikiana kuhakikisha kuwa Wapalestina wanakombolewa kutoka kwenye makucha ya utawala wa Kizayuni na wanapata haki zao.

  • Mwakilishi wa kudumu wa Tunisia UN afutwa kazi ghafla

    Mwakilishi wa kudumu wa Tunisia UN afutwa kazi ghafla

    Sep 12, 2020 00:42

    Mwakilishi wa kudumu wa Tunisia katika Umoja wa Mataifa ambaye hajatimiza hata miezi sita tangu ateuliwe kushika nafasi hiyo, amefutwa kazi ghafla tena bila ya kupewa taarifa mapema.

  • Bunge la Tunisia lapasisha baraza jipya la mawaziri

    Bunge la Tunisia lapasisha baraza jipya la mawaziri

    Sep 03, 2020 04:10

    Baada ya karibu mwezi mmoja tangu Rais Kais Saied alipomteuwa Hisham El-Mechishi kuwa Waziri Mkuu wa Tunisia, El-Mechishi amewasilisha baraza lake la mawaziri bungeni ambalo limepasishwa kwa wingi wa kura.

  • Wananchi wa Tunisia waandamana kulaani mapatano ya Imarati na utawala wa Kizayuni

    Wananchi wa Tunisia waandamana kulaani mapatano ya Imarati na utawala wa Kizayuni

    Aug 24, 2020 02:28

    Wananchi wa Tunisia wamefanya maandamano makubwa kupinga mapatano yaliyofikiwa kati ya Imarati na utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia kati ya pande mbili hizo.

  • Bunge la Tunisia limelaani mapatano kati ya Imarati na utawala wa Kizayuni

    Bunge la Tunisia limelaani mapatano kati ya Imarati na utawala wa Kizayuni

    Aug 18, 2020 06:57

    Bunge la Tunisia limelaani mapatano yaliyofikiwa ya kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia kati ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) na utawala ghasibu wa Israel.

  • Rais wa Tunisia: Msingi wa mirathi katika Uislamu ni uadilifu na insafu

    Rais wa Tunisia: Msingi wa mirathi katika Uislamu ni uadilifu na insafu

    Aug 17, 2020 07:38

    Rais Kais Saied wa Tunisia ameamsha hasira za jumuiya za wanawake za kiliberali baada ya kusisitiza kwamba msingi wa mirathi katika dini ya Uislamu ni uadilifu na insafu na kwamba suala hilo limeshapewa ufumbuzi katika aya za Qu'ani tukufu ambao hauhitajii tena tafsiri wala taawili.

  • Waziri Mkuu mteule wa Tunisia: Nitaunda serikali ya mateknokrati watupu

    Waziri Mkuu mteule wa Tunisia: Nitaunda serikali ya mateknokrati watupu

    Aug 11, 2020 11:20

    Waziri Mkuu mteule wa Tunisia amesema kuwa ataunda serikali ya mateknokrati watupu bila ya kuvishirikisha vyama vingine kufuatia mivutano iliyopo baina vyama vya siasa kuhusu uundaji wa serikali mpya nchini humo. 

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS