-
Spika wa Bunge la Tunisia asisitiza ushirikiano zaidi na Uturuki
Aug 02, 2020 22:59Spika wa Bunge la Tunisia amefanya mazungumzo na mwenzake wa Uturuki ambapo ametoa wito wa kuimarishwa uhusiano wa nchi hizo mbili.
-
Spika wa Bunge la Tunisia aponea chupuchupu kuuzuliwa
Jul 30, 2020 21:57Spika wa Bunge la Tunisia ameponea chupuchupu kupigiwa kura ya kutokuwa imani naye baada ya wabunge wanaompinga kushindwa kutimiza idadi ya kura 107 zilizohitajika ili kuweza kumuuzulu wadhifa huo.
-
Tunisia yaiunga mkono Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa nchini Libya
Jul 29, 2020 22:48Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Tunisia imetangaza kuwa, nchi hiyo itaendelea kuiunga mkono Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya.
-
Waziri Mkuu mpya ateuliwa nchini Tunisia
Jul 26, 2020 20:59Kufuatia kuendelea mgogoro wa kisiasa nchini Tunisia baada ya kujiuzulu Waziri Mkuu Elyes Fakhfakh, rais wa nchi hiyo Kais Saied, amemteua waziri wa mambo ya ndani Hichem Mechichi kuwa waziri mkuu mpya na kumtaka aunde baraza jipya la mawaziri.
-
Waziri Mkuu wa Tunisia ajiuzulu na kuitumbukiza nchi katika mgogoro wa kisiasa
Jul 15, 2020 23:23Waziri Mkuu wa Tunisia ametangaza kujiuzulu, hatua ambayo imeitumbukiza nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika katika mgogoro mwingine wa kisiasa.
-
Iran na Tunisia zatilia mkazo ulazima wa kustawishwa ushirikiano wa pande mbili
Jul 07, 2020 06:33Balozi wa Iran nchini Tunisia amefanya mazungumzo na waziri wa biashara wa nchi hiyo na pande mbili zimejadiliana njia za kuimarisha na kustawisha uhusiano wa pande mbili hasa wa kiuchumi.
-
Chama cha al Nahdha Tunisia kuangalia upya msimamo wake kuhusu serikali ya Rais Kais Saied
Jul 06, 2020 03:26Chama cha al Nahdha chenye mielekeo ya Kiislamu nchini Tunisia kimesema kuwa, kinafikiria kuangalia upya msimamo wake kuhusu serikali ya muungano wa vyama kadhaa ya nchi hiyo kutokana na masuala yanayomuhusisha Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Elyes Fakhfakh.
-
Msimamo wa Macron dhidi ya uingiliaji wa Uturuki Libya
Jun 23, 2020 03:04Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema kuwa uingiliaji kijeshi wa Ufaransa nchini Libya ni mchezo hatari.
-
Idadi ya walioaga dunia katika ajali ya boti Tunisia yaongezeka
Jun 12, 2020 23:47Idadi ya wahajiri waliopoteza maisha katika ajali ya boti iliyotokea hivi karibuni katika mji wa pwani wa Sfax nchini Tunisia imeongezeka na kufikia watu 54.
-
Tunisia kufungua mipaka yake mwezi mmoja ujao baada ya corona
Jun 02, 2020 06:56Viongozi wa Tunisia wamefikia uamuzi wa kufungua mipaka yao ili kuokoa sekta ya utalii. Mipaka ya ardhini, angani na majini ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika inatarajiwa kufunguliwa mwezi mmoja ujao.