-
Tunisia yarefusha muda wa hali ya hatari kwa miezi sita zaidi
May 30, 2020 12:03Ofisi ya Rais wa Tunisia imetoa tangazo maalumu la kurefusha hali ya hatari ya nchi nzima kwa muda wa miezi sita mingine.
-
Chama cha al Ghad Tunisia: Kambi ya muqawama ishirikiane vilivyo kukabiliana na Wazayuni
May 23, 2020 02:37Katibu Mkuu wa chama cha al Ghad cha Tunisia amesisitiza kuwa, ni jambo la dharura sana kuimarishwa kambi ya muqawama kadiri inavyowezekana katika kukabiliana na Wazayuni maghasibu.
-
Chama cha Republican cha Tunisia: Umoja na muqawama, njia pekee ya kuikomboa Palestina
May 22, 2020 08:07Katibu Mkuu wa chama cha Republican cha Tunisia amesema utawala ghasibu wa Israel hauelewi lugha nyingine isipokuwa ya mapambano na kusisitiza kuwa, "umoja na muqawama ndiyo njia pekee ya kuikomboa Palestina."
-
Tunisia yaisaidia Uturuki kufikisha misaada Libya
May 09, 2020 00:00Serikali ya Tunisia imeiruhusu ndege ya Uturuki ambayo inasemekana ilikuwa na misaada ya kitiba kwa ajili ya Libyan itue nchini humo.
-
Umoja wa Mataifa watakiwa uunge mkono usitishaji vita katika maeneo ya mapigano
May 07, 2020 00:39Nchi za Tunisia na Ufaransa zimelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuunga mkono na kuafiki azimio la kusimamisha vita haraka katika maeneo ya mapigano duniani kama sehemu ya vita dhidi ya ugonjwa wa COVID-19.
-
Vyama vya Siasa Tunisia vyalaani hatua ya Ujerumani dhidi ya Hizbullah
May 06, 2020 07:55Vyama vitano vya kisiasa nchini Tunisia vimelaani vikali hatua ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Ujerumani ya kuiorodhesha Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon kama kundi la kigaidi.
-
Tunisia yapinga njama za kuigawa vipande vipande Libya
May 01, 2020 13:45Rais wa Tunisia kwa mara nyingine tena ametangaza kuwa nchi yake itaendelea kupinga njama zozote za kujaribu kuigawa vipande vipande nchi jirani ya Libya.
-
Vyama 200 duniani vimesaini taarifa kwa ajili ya kushirikiana dhidi ya virusi vya corona
Apr 23, 2020 03:17Harakati ya An Nahdhah ya Tunisia imetangaza kuwa zaidi ya vyama 200 duniani vimesaini taarifa kwa lengo la kushrikiana katiak mapambano dhidi ya maambukizi ya virusi vya corona.
-
Tunisia yawaachia huru wafungwa 1,420 kufuatia maambukizo ya corona
Apr 01, 2020 08:01Rais wa Tunisia ameagiza kuachiwa huru wafungwa 1,420 kufuatia maambukizi ya virusi vya corona nchini humo.
-
Tunisia yasema iko tayari kuisaidia Palestina kukabiliana na Corona
Mar 28, 2020 11:47Serikali ya Tunisia imetangaza uungaji mkono wake kwa raia wa Palestina katika kukabiliana na virusi vya Corona.