Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Rouhani: Nchi na mataifa yote yanapaswa kushirikiana katika kupambana na corona

    Rouhani: Nchi na mataifa yote yanapaswa kushirikiana katika kupambana na corona

    Mar 24, 2020 08:19

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kasi ya maambukizi ya virusi vya corona imekuwa maudhui ya kimataifa na kuongeza kuwa, nchi na mataifa yote yanalazimika kupambana na janga hilo.

  • Waganga wa kienyeji Tunisia wavuna kwa kuuza 'dawa ya Corona'

    Waganga wa kienyeji Tunisia wavuna kwa kuuza 'dawa ya Corona'

    Mar 17, 2020 08:07

    Katika hali ambayo hakuna dawa mjarabu ya kutibu ugonjwa wa Corona iliyotangazwa rasmi au kuidhinishwa na Shirika la Afya Duniani (WHO), lakini waganga wa kienyeji nchini Tunisia wameendelea kupata faida kubwa kutokana na mauzo ya mitishamba na dawa za kiasili wanazodai kuwa zinatibu Corona.

  • Bunge la Tunisia lapasisha serikali mpya ya nchi hiyo

    Bunge la Tunisia lapasisha serikali mpya ya nchi hiyo

    Feb 27, 2020 11:09

    Hatimaye na baada ya vuta nikuvute na malumbano makubwa ya kisiasa, Bunge la Tunisia limepasisha serikali mpya ya nchi hiyo inayoongozwa na Waziri Mkuu, Elyes Fakhfakh kwa kura 129 za diyo mkabala wa kura 77 za upinzani. Serikali mpya ya Tunisia imepasishwa baada ya mjadala mkali ulioendelea kwa muda wa masa 14.

  • Serikali mpya ya Tunisia yapata ridhaa ya Bunge

    Serikali mpya ya Tunisia yapata ridhaa ya Bunge

    Feb 27, 2020 07:26

    Bunge la Tunisia limeipigia kura ya kuwa na imani nayo serikali mpya ya nchi hiyo chini ya uongozi wa Waziri Mkuu Elyes Fakhfakh na hivyo kuhitimisha mkwamo wa uundaji serikali nchini humo.

  • Magaidi kadhaa wauawa magharibi mwa Tunisia

    Magaidi kadhaa wauawa magharibi mwa Tunisia

    Feb 26, 2020 07:29

    Magaidi kadhaa wameuawa katika mapigano na vikosi vya usalama vya Tunisia magharibi mwa nchi hiyo.

  • Rais wa Tunisia: Quds ni mji mkuu wa Palestina, si bidhaa ya kuuzwa

    Rais wa Tunisia: Quds ni mji mkuu wa Palestina, si bidhaa ya kuuzwa

    Feb 25, 2020 07:48

    Rais Kais Saied wa Tunisia amesema Palestina ni milki ya Wapalestina na Quds tukufu inapaswa kuwa mji mkuu wa taifa hilo la Kiarabu.

  • Mkwamo katika kuunda serikali nchini Tunisia

    Mkwamo katika kuunda serikali nchini Tunisia

    Feb 19, 2020 05:55

    Siku moja baada ya Harakati ya al-Nahdha kutangaza kutoshiriki katika serikali ya Waziri Mkuu mpya Elyes Fakhfakh, Rais Kais Saied ametangaza habari ya uwezekano wa kufanyika uchaguzi wa kabla ya wakati endapo Waziri Mkuu huyo mpya atashindwa kuunda baraza la mawaziri.

  • Rais Erdogan wa Uturuki afanya safari ya ghafla Tunisia kujadili usitishaji vita nchini Libya

    Rais Erdogan wa Uturuki afanya safari ya ghafla Tunisia kujadili usitishaji vita nchini Libya

    Dec 26, 2019 07:52

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki jana alifanya safari ya ghafla nchini Tunisia kujadili namna ya kushirikiana na nchi hiyo ili kutafuta uwezekano wa kufanikisha usitishaji vita katika nchi jirani ya Libya, ambapo Ankara ni muungaji mkono wa serikali ya nchi hiyo inayotambuliwa rasmi kimataifa.

  • Vyama viwili Tunisia vyakataa kujiunga na serikali ya Waziri Mkuu mteule

    Vyama viwili Tunisia vyakataa kujiunga na serikali ya Waziri Mkuu mteule

    Dec 07, 2019 02:48

    Vyama vikuu viwili nchini Tunisia vimesema kuwa havitajiunga na serikali ya Waziri Mkuu mteule wa nchi hiyo Habib Jemli; hatua inayomaanisha kuwa serikali yoyote ya mseto itakayoundwa nchini humo itayumba na hivyo kuzidisha hatari ya kuibuka mgogoro wa kisiasa.

  • Wananchi wa Tunisia waandamana kulaani udhalilishaji wa kijinsia

    Wananchi wa Tunisia waandamana kulaani udhalilishaji wa kijinsia

    Dec 01, 2019 07:11

    Mamia ya wananchi wa Tunisia wameshiriki kwenye maandamano ya kulaani udhalilishaji wa kijinsia dhidi ya wanawake na kuwataka viongozi wa nchi hiyo kulinda haki za tabaka hilo la wananchi linalokandamizwa katika jamii.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS