Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Tunisia yatahadharisha kuhusu taathira za ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni

    Tunisia yatahadharisha kuhusu taathira za ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni

    Nov 21, 2019 01:05

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Tunisia imetahadharisha kuhusu taathira hatari za ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Huenda An-Nahdhah ikampendekeza waziri mkuu mpya wa Tunisia nje ya chama hicho

    Huenda An-Nahdhah ikampendekeza waziri mkuu mpya wa Tunisia nje ya chama hicho

    Nov 10, 2019 02:46

    Chama chenye mielekeo ya Kiislamu nchini Tunisia cha An-Nahdhah huenda kikampendekeza mtu wa kushika wadhifa wa uwaziri mkuu na kuongoza serikali nje ya kada yake, wakati kinaendelea kutafuta mwafaka na vyama vingine kwa ajili ya kuunda serikali ya mseto.

  • Rais mpya wa Tunisia ala kiapo na kuanza rasmi kuiongoza nchi

    Rais mpya wa Tunisia ala kiapo na kuanza rasmi kuiongoza nchi

    Oct 23, 2019 12:10

    Kais Saied, Rais mpya wa Tunisia aliyeshinda duru ya pili ya uchaguzi wa Rais iliyofanyika mwezi huu, leo ameapishwa na kuanza rasmi kuiongoza nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Bunge la Tunisia lamjibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Bahrain

    Bunge la Tunisia lamjibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Bahrain

    Oct 20, 2019 12:26

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Uhusiano wa Nje katika Bunge la Tunisia amemwambia Waziri wa Mambo ya Nje wa Bahrain kuwa, uchaguzi wa hivi karibuni nchini humo umeonyesha kuwa wananchi wa nchi hiyo wameamua kujiainishia wenyewe mwenendo wa kisiasa na kiuchumi wa nchi hiyo.

  • Ushindi wa mgombea wa kujitegemea katika uchaguzi wa Rais nchini Tunisia

    Ushindi wa mgombea wa kujitegemea katika uchaguzi wa Rais nchini Tunisia

    Oct 14, 2019 12:34

    Duru ya pili ya uchaguzi wa Rais nchini Tunisia ilifanyika jana Jumapili na matokeo yasiyo rasmi yanaonyesha kuwa, mgombea wa kujitegemea Kais Saied ameibuka na ushindi kwa kujipatia asilimia 75 ya kura.

  • Duru ya pili ya uchaguzi wa rais Tunisia imefanyika leo

    Duru ya pili ya uchaguzi wa rais Tunisia imefanyika leo

    Oct 13, 2019 12:14

    Wananchi wa Tunisia mapema leo wameelekea katika masanduku ya kupigia kura katika duru ya pili ya uchaguzi wa Rais uliowashindanisha tajiri na mmiliki wa televisheni binafsi ya "Nessma" Nabeel Karoui na Wakili Mhafidhina, Kais Saied.

  • Mgombea urais wa Tunisia Nabil Karoui atolewa jela siku chache kabla ya uchaguzi

    Mgombea urais wa Tunisia Nabil Karoui atolewa jela siku chache kabla ya uchaguzi

    Oct 10, 2019 07:28

    Mahakama ya Rufaa ya Tunisia imemwachia huru mgombea urais Nabil Karoui siku chache kabla ya duru ya pili ya uchaguzi wa rais inayotazamiwa kufanyika siku ya Jumapili.

  • Mgombea urais aliyeko jela Tunisia ataka uchaguzi uahirishwe

    Mgombea urais aliyeko jela Tunisia ataka uchaguzi uahirishwe

    Oct 09, 2019 13:39

    Mwenyekiti wa chama cha Qalb Tunes anayefungwa jela ambaye amefanikiwa kuingia duru ya pili ya uchaguzi wa rais wa nchi hiyo ametoa wito wa kuahirishwa zoezi hilo.

  • Chama cha Kiislamu chaongoza matokeo ya awali ya uchaguzi wa Bunge Tunisia

    Chama cha Kiislamu chaongoza matokeo ya awali ya uchaguzi wa Bunge Tunisia

    Oct 07, 2019 07:50

    Matokeo ya awali na yasiyo rasmi ya uchaguzi wa Bunge la Tunisia yanaonesha kuwa chama cha Kiislamu cha al Nahdha kinachoongozwa na Rached Ghannouchi kinaongoza kwa wingi wa viti ikilinganishwa na vyama vingine.

  • Uchaguzi wa bunge nchini Tunisia

    Uchaguzi wa bunge nchini Tunisia

    Oct 06, 2019 12:12

    Mamillioni ya watu wa Tunisia leo wameshiriki katika uchaguzi wa bunge, ambao ni wa tatu tokea mapinduzi ya mwaka 2011 katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS