Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • An-Nahdhah yatangaza kumuunga mkono Kais Saied katika duru ya pili ya uchaguzi wa rais wa Tunisia

    An-Nahdhah yatangaza kumuunga mkono Kais Saied katika duru ya pili ya uchaguzi wa rais wa Tunisia

    Sep 20, 2019 14:54

    Harakati ya Kiislamu ya An-Nahdhah ya nchini Tunisia imetangaza kuwa, itamuunga mgombea wa kujitegemea Profesa Kais Saied katika duru ya pili ya kinyang'anyiro cha uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.

  • Dikteta wa Tunisia afariki dunia ukimbizini Saudia

    Dikteta wa Tunisia afariki dunia ukimbizini Saudia

    Sep 19, 2019 15:31

    Vyombo vya habari vya Tunisia vimetangaza habari ya kufariki dunia dikteta wa zamani wa nchi hiyo, Zine El Abidine Ben Ali akiwa ukimbizini nchini Saudi Arabia

  • Mgombea urais nchini Tunisia apinga uhusiano wa aina yoyote na Israel

    Mgombea urais nchini Tunisia apinga uhusiano wa aina yoyote na Israel

    Sep 17, 2019 12:21

    Watumiaji wa mitandao ya kijamii nchini Tunisia, wameeneza video ya mgombea urais katika uchaguzi wa sasa nchini humo ambaye ameelezea kupinga kuboreshwa uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Uchaguzi wa Tunisia na mustakbali usiojulikana wa nchi hiyo

    Uchaguzi wa Tunisia na mustakbali usiojulikana wa nchi hiyo

    Sep 17, 2019 06:28

    Wananchi wa Tunisia juzi Jumapili, Septemba 15, 2019 walishiriki kwenye uchaguzi muhimu sana wa Rais ambao ulikuwa wa pili huru baada ya wananchi hao kumpindua dikteta wa muda mrefu wa nchi hiyo, Zine el Abidine Ben Ali mwaka 2011.

  • Uchaguzi wa rais nchini Tunisia waingia duru ya pili

    Uchaguzi wa rais nchini Tunisia waingia duru ya pili

    Sep 16, 2019 07:23

    Matokeo ya awali ya kura zilizohesabiwa katika uchaguzi wa rais uliofanyika jana Jumapili nchini Tunisia, yanaonyesha kwamba kinyume na utabiri wa hapo awali, kiongozi wa chama kisicho mashuhuri na mgombea wa chama cha kujitegemea, wameonekana kuingia duru ya pili ya uchaguzi huo.

  • Wananchi Tunisia washiriki katika uchaguzi ulio mgumu kutabiri mshindi

    Wananchi Tunisia washiriki katika uchaguzi ulio mgumu kutabiri mshindi

    Sep 15, 2019 12:24

    Wananchi wa Tunisia leo wameshiriki katika uchaguzi wa rais ambao wataalamu wa mambo wanasema kuwa ni vigumu sana kutabiri mshindi.

  • Uchaguzi wa Rais wa Tunisia na changamoto zake

    Uchaguzi wa Rais wa Tunisia na changamoto zake

    Sep 14, 2019 11:35

    Wananchi wa Tunisia kesho Jumapili wataelekea kwenye masanduku ya kupigia kura katika uchaguzi wa mapema kumchagua rais wao wa baadaye miongoni mwa wagombea 26 wa kiti hicho ikiwa zimepita siku 50 tangu kuaga dunia Rais Beji Caid Essebsi wa Tunisia.

  •  Mgombea urais wa Jumapili ya kesho Tunisia aendelea kushikiliwa mahabusu

    Mgombea urais wa Jumapili ya kesho Tunisia aendelea kushikiliwa mahabusu

    Sep 14, 2019 03:07

    Mahakama ya Rufaa ya Tunisia imekataa ombi la mgombea urais katika kinyang'anyiro cha Jumapili ya kesho, Nabil Karoui la kuachiwa huru kwa ajili ya kushiriki katika uchaguzi huo.

  • Dikteta wa Tunisia Zine El-Abidine Ben Ali yu mahututi hospitalini uhamishoni Saudia

    Dikteta wa Tunisia Zine El-Abidine Ben Ali yu mahututi hospitalini uhamishoni Saudia

    Sep 13, 2019 07:23

    Dikteta wa Tunisia Zine El-Abidine Ben Ali, ambaye yuko uhamishoni nchini Saudi Arabia tangu alipong'olewa madarakani mwaka 2011 amelazwa hospitalini huku hali yake kiafya ikiripotiwa kuwa ni mbaya sana.

  • Rais na Waziri Mkuu wa zamani wa Tunisia kugombea kiti cha urais

    Rais na Waziri Mkuu wa zamani wa Tunisia kugombea kiti cha urais

    Aug 07, 2019 01:24

    Rais na Waziri Mkuu wa zamani wa Tunisia wametangaza kuwa watagombea kiti cha urais katika uchaguzi ujao nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS