Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Tunisia yatangaza rasmi tarehe ya uchaguzi wa Rais

    Tunisia yatangaza rasmi tarehe ya uchaguzi wa Rais

    Aug 01, 2019 02:57

    Viongozi wa Tunisia wametangaza rasmi tarehe 15 mwezi Septemba kuwa siku ya kufanyika uchaguzi wa rais nchini humo kufuatia kuaga dunia Rais wa nchi hiyo, Beji Caid Essebsi.

  • Kuaga dunia rais wa Tunisia na matukio ya usoni

    Kuaga dunia rais wa Tunisia na matukio ya usoni

    Jul 27, 2019 04:15

    Kufutia kifo cha Rais Beji Caid Essebsi wa Tunisia, Mohamed Ennaceur (an-Nasir) spika wa bunge la nchi hiyo, ameteuliwa kushikilia kwa muda nafasi hiyo.

  • Beji Caid Essebsi Rais wa kwanza kuchaguliwa kidemokrasia nchini Tunisia  afariki dunia

    Beji Caid Essebsi Rais wa kwanza kuchaguliwa kidemokrasia nchini Tunisia afariki dunia

    Jul 25, 2019 13:08

    Rais Beji Caid Essebsi wa Tunisia amefariki dunia leo akiwa na umri wa miaka 92.

  • Al Ghannouchi kushiriki uchaguzi wa bunge Tunisia

    Al Ghannouchi kushiriki uchaguzi wa bunge Tunisia

    Jul 22, 2019 02:33

    Kiongozi wa chama cha Kiislamu cha An Nahdhah cha nchini Tunisia ametangaza rasmi kuwa atashiriki katika uchaguzi ujao wa bunge wa nchi hiyo.

  • Viwiliwili vya wahajiri 79 waliozama baharini Tunisia vyapatikana

    Viwiliwili vya wahajiri 79 waliozama baharini Tunisia vyapatikana

    Jul 13, 2019 12:36

    Siku kumi zilizopita, mtumbwi mmoja uliokuwa umejaza wahajirii ulizama karibu na fukwe za Tunisia. Hadi hivi sasa miili 79 ya wahajirii hao imeshaopolewa kutoka baharini.

  • Hilali Nyekundu: Walioaga dunia katika ajali ya boti Tunisia wamepindukia 70

    Hilali Nyekundu: Walioaga dunia katika ajali ya boti Tunisia wamepindukia 70

    Jul 12, 2019 15:01

    Shirika la Hilali Nyekundu la Tunisia limeripoti kuwa, idadi ya watu walioaga dunia katika ajali ya boti iliyotokea katika pwani ya nchi hiyo siku chache zilizopita imeongezeka na kufikia watu 72.

  • Omar Sahabou: Imarati ina woga wa wimbi la demokrasia

    Omar Sahabou: Imarati ina woga wa wimbi la demokrasia

    Jul 07, 2019 02:23

    Mwanasiasa mashuhuri wa Tunisia kutoka chama cha Nidaa Tunis amesema kuwa serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu ina woga wa kupenya demokrasia na kuingia nchini humo; kwa sababu hiyo inafanya jitihada za kuangamiza demokrasia nchini Tunisia.

  • Makumi wahofiwa kufa maji baada ya boti yao kuzama pwani ya Tunisia

    Makumi wahofiwa kufa maji baada ya boti yao kuzama pwani ya Tunisia

    Jul 05, 2019 02:34

    Makumi ya wahajiri wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali ya boti iliyotokea katika pwani ya Tunisia.

  • Vitendo vya ugaidi Tunisia, mada za miripuko zapatikana msikitini kabla ya kuripuka

    Vitendo vya ugaidi Tunisia, mada za miripuko zapatikana msikitini kabla ya kuripuka

    Jul 04, 2019 09:57

    Maafisa usalama wa Tunisia wamegundua mada kadhaa za miripuko katika msikiti mmoja nchini humo na kuzitegua kabla ya kuripuka.

  • Bunge la Tunisia lachunguza njama ya mapinduzi nchini humo

    Bunge la Tunisia lachunguza njama ya mapinduzi nchini humo

    Jul 03, 2019 12:47

    Spika wa Bunge la Tunisia ametangaza kuwa kumeundwa kamati ya kuchunguza njama ya kufanya mapinduzi nchini humo kufuatia hali mbaya ya kiafya ya Rais Beji Caid al Sebsi wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS