Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Ennahdha: Kunafanyika njama za kutaka kumuua Rais Essebsi wa Tunisia

    Ennahdha: Kunafanyika njama za kutaka kumuua Rais Essebsi wa Tunisia

    Jul 02, 2019 08:19

    Mwenyekiti wa chama cha Kiislamu cha al Ennahdha nchini Tunisia amesema kuwa kunafanyika jitihada za kumuua Rais Beji Caid Essebsi wa nchi hiyo.

  • Watunisia waandamana dhidi ya Israel, waiunga mkono Palestina

    Watunisia waandamana dhidi ya Israel, waiunga mkono Palestina

    Jun 16, 2019 06:59

    Makumi ya wanaharakati wa kisiasa na kijamii wa nchini Tunisia kwa mara nyingine wamefanya maandamano katika barabara za mji mkuu Tunis, kulaani mpango wowote wa kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel, sambamba na kuonyesha uungaji mkono wao kwa wananchi madhulumu wa Palestina.

  • Hali ya hatari yatangazwa katika mpaka wa kusini mashariki mwa Tunisia

    Hali ya hatari yatangazwa katika mpaka wa kusini mashariki mwa Tunisia

    May 31, 2019 02:49

    Serikali ya Tunisia imewaweka tayari askari jeshi wake wa ulinzi waliotumwa katika mipaka ya kusini mashariki mwa nchi hiyo na Libya.

  • Makumi ya wahajiri wa Kiafrika waghariki katika pwani ya Tunisia

    Makumi ya wahajiri wa Kiafrika waghariki katika pwani ya Tunisia

    May 11, 2019 03:00

    Makumi ya wahajiri wamepoteza maisha katika ajali ya kuzama boti katika pwani ya Tunisia, wakitokea pwani ya Libya.

  • Hasira za Watunisia zamfanya rais wa Misri aghairi kushiriki kikao cha viongozi wa Arab League

    Hasira za Watunisia zamfanya rais wa Misri aghairi kushiriki kikao cha viongozi wa Arab League

    Mar 30, 2019 15:52

    Malalamiko na upinzani mkubwa wa wananchi wa Tunisia dhidi ya Rais Abdel Fattah el Sisi wa Misri umemfanya kiongozi huyo aghairi kuhudhuria kikao cha viongozi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) kilichopangwa kufanyika mji mkuu wa Tunisia, Tunis.

  • Nchi za Kiarabu zatakiwa kuchukua hatua za kivitendo kuilinda Golan ya Syria

    Nchi za Kiarabu zatakiwa kuchukua hatua za kivitendo kuilinda Golan ya Syria

    Mar 30, 2019 07:53

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Tunisia amesema nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika itaziongoza nchi nyingine za Kiarabu na jamii ya kimataifa katika kutoa radimali kwa hatua ya kichochezi ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuitambua rasmi Miinuko ya Golan kuwa ni mali ya utawala haramu wa Israel.

  • Chuo Kikuu cha kwanza katika Ulimwengu wa Kiislamu chakataa kumtunukia shahada ya heshima mfalme wa Saudia

    Chuo Kikuu cha kwanza katika Ulimwengu wa Kiislamu chakataa kumtunukia shahada ya heshima mfalme wa Saudia

    Mar 27, 2019 16:09

    Mkuu wa Chuo Kikuu cha Az-Zaitunah nchini Tunisia amesema, chuo hicho kimeghairi kumtunukia shahada ya heshima ya Uzamivu Mfalme Salman bin Abdulaziz wa Saudi Arabia.

  • Magaidi kadhaa wa Daesh wauawa na maafisa usalama wa Tunisia

    Magaidi kadhaa wa Daesh wauawa na maafisa usalama wa Tunisia

    Mar 20, 2019 07:45

    Maafisa usalama wa Tunisia wamefanikiwa kuwaangamiza wanachama watatu wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) karibu na mpaka wa nchi hiyo na Algeria.

  • Waziri wa Afya Tunisia ajiuzulu baada ya watoto 11 kufa hospitalini

    Waziri wa Afya Tunisia ajiuzulu baada ya watoto 11 kufa hospitalini

    Mar 10, 2019 07:37

    Waziri wa Afya wa Tunisia Abdel-Raouf El-Sherif amejiuzulu Jumamosi baad aya watoto 11 kufariki hospitalini bila sababu maalumu katika hospitali moja mjini Tunis.

  • Imarati yashutumiwa kufanya njama za kurejesha utawala wa kidikteta Tunisia

    Imarati yashutumiwa kufanya njama za kurejesha utawala wa kidikteta Tunisia

    Mar 02, 2019 02:47

    Waziri Mkuu wa zamani wa Tunisia amefichua kuwa, Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) unafanya njama za kufelisha juhudi za kuimarisha demokrasia nchini humo kupitia hilo za kuyafelisha mapinduzi ya wananchi wa nchi hiyo na kuurejesha madarakani utawala wa kidikteta.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS