Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ubaguzi wa rangi

  • Bush akosoa siasa za kibaguzi za Donald Trump huko Marekani

    Bush akosoa siasa za kibaguzi za Donald Trump huko Marekani

    Oct 21, 2017 02:27

    Rais wa zamani wa Marekani George W. Bush amesema siasa za nchi hiyo hazipasi kujengeka kwenye msingi wa kujitenga, ubaguzi na urongo.

  • Taasisi ya Gallup: Ubaguzi wa rangi Marekani umeongezeka sana, hasa kuwalenga weusi

    Taasisi ya Gallup: Ubaguzi wa rangi Marekani umeongezeka sana, hasa kuwalenga weusi

    Aug 30, 2017 03:12

    Uchunguzi wa maoni uliofanyika hivi karibuni nchini Marekani unaonyesha kwamba, uelewa wa wazungu walio wengi na watu wa matabaka ya walio wachache kuhusu suala la ubaguzi wa rangi, unatafuatiana sana.

  • UN yampongeza Muntari kwa kukosoa ubaguzi wa rangi uwanjani

    UN yampongeza Muntari kwa kukosoa ubaguzi wa rangi uwanjani

    May 02, 2017 16:33

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amempongeza Sulley Muntari, mchezaji wa klabu ya Pescara ya Italia kwa kuamua kuondoka uwanjani kulalamikia ubaguzi wa rangi dhidi yake.

  • Katibu Mtendaji wa ESCWA ajiuzulu baada ya UN kufuta ripoti inayoitambua Israel kuwa ni utawala wa Apartheid

    Katibu Mtendaji wa ESCWA ajiuzulu baada ya UN kufuta ripoti inayoitambua Israel kuwa ni utawala wa Apartheid

    Mar 18, 2017 02:49

    Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Katibu Mtendaji wa Kamati ya Kiuchumi na Kijamii ya Asia Magharibi katika Umoja wa Mataifa (ESCWA) amejizulu wadhifa wake baada ya Katibu Mkuu wa UN, Antonio Guterres kutoa amri ya kufutwa ripoti ya kamati hiyo inayoutambua utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa ni utawala wa kibaguzi, Apartheid.

  • Iran: Sera za kibaguzi za Trump zimeirejesha Marekani katika karne za kati

    Iran: Sera za kibaguzi za Trump zimeirejesha Marekani katika karne za kati

    Jan 28, 2017 07:46

    Msemaji wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Nje ya Bunge la Iran amesema kuwa, hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuzuia viza za kuingia Waislamu wakiwemo Wairani katika ardhi ya Marekani ni kielelezo kwamba nchi hiyo imerejea katika zama za karne za kati, kwenye sera za kibaguzi na chuki za kidini na kikaumu.

  • Guterres: Mitazamo inayowabagua Waislamu inahuzunisha sana

    Guterres: Mitazamo inayowabagua Waislamu inahuzunisha sana

    Jan 28, 2017 07:45

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema jumuiya hiyo ya kimataifa ina wasiwasi mkubwa kuhusu ubaguzi unaowalenga wahajiri na jamii za waliowachache.

  • Waingereza wenye asili ya Afrika wanabaguliwa katika kazi za uhandisi

    Waingereza wenye asili ya Afrika wanabaguliwa katika kazi za uhandisi

    Dec 28, 2016 02:50

    Waingereza weusi au wenye asili ya Afrika wanakabiliwa na ubaguzi katika ajira ambapo wengi wananyimwa kazi kutokana na rangi yao.

  • Jordan avunja kimya, akemea mauaji ya Wamarekani weusi

    Jordan avunja kimya, akemea mauaji ya Wamarekani weusi

    Jul 26, 2016 16:56

    Nyota wa zamani wa mchezo wa mpira wa kikapu nchini Marekani, Michael Jordan amevunja kimya chake kuhusu mauaji yanayofanywa na polisi wazungu wa nchi hiyo dhidi ya Wamarekani weusi na taathira mbaya za mauaji hayo ya kibaguzi.

  • Uchunguzi wa Pew: Wamarekani weusi, wahanga wa ubaguzi wa rangi

    Uchunguzi wa Pew: Wamarekani weusi, wahanga wa ubaguzi wa rangi

    Jul 19, 2016 07:59

    Uchunguzi mpya wa maoni unaonesha kuwa, Wamarekani wengi weusi wanaamini kuwa ni wahanga wa ubaguzi wa rangi.

  • Wamarekani waendelea kupinga ubaguzi wa rangi na ukatili wa polisi

    Wamarekani waendelea kupinga ubaguzi wa rangi na ukatili wa polisi

    Jul 10, 2016 03:55

    Marekani imegubikwa na wingu zito la maandamano ya wananchi wanaopinga ukatili na mauaji yanayofanywa na polisi wazungu dhidi ya raia wenye asili ya Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS