-
Wapinzani nchini Kuwait washinda karibu nusu ya viti vya Bunge
Nov 27, 2016 10:34Wapinzani nchini Kuwait wameshinda karibu nusu ya viti vya Bunge la nchi hiyo kufuatia matokeo yaliyotangazwa leo.
-
Baraza la Taifa la Haki za Binadamu la Morocco lasifu uchaguzi wa bunge
Oct 10, 2016 02:44Baraza la Taifa la Haki za Binadamu la Morocco limesema kuwa kutokuwepo malalamiko na misimamo hasi kutoka kwa wapinzani kuhusu uchaguzi wa bunge wa hivi majuzi nchini humo ni ishara kwamba uchaguzi huo ulikuwa wa wazi na wa haki.
-
Bunge la 10 la Iran lazinduliwa rasmi
May 28, 2016 16:01Awamu ya 10 ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, imezidnuliwa rasmi leo mjini Tehran kwa Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu na kuhudhuriwa na maafisa wa ngazi za juu serikalini.
-
Chama tawala cha Baath chashinda viti vingi uchaguzi wa bunge Syria
Apr 17, 2016 15:18Chama tawala cha Baath kimeshinda aghalabu ya viti katika uchaguzi wa bunge uliofanyika nchini Syria hivi karibuni.
-
Wananchi wa Syria wajitokeza kushiriki uchaguzi wa Bunge
Apr 13, 2016 07:16Wananchi wa Syria waliotimiza mashari ya kupiga kura wameelekea kwenye masanduku ya kupigia kura mapema leo, kushiriki uchaguzi wa Bunge la nchi hiyo.
-
Mamilioni ya Wairani wamejitokeza kupiga kura
Feb 26, 2016 16:18Mamillioni ya wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wamejitokeza kupiga kura katika chaguzi mbili muhimu Ijumaa hii.
-
Iran iko tayari kwa ajili ya uchaguzi
Feb 21, 2016 02:46Waziri wa Mambo ya Ndani Iran amesema mipango ya imekamilika kwa ajili ya uchaguzi wa Bunge na Baraza la Wataalamu wiki hii.
-
Tume: Uchaguzi nchini CAR umefanyika kwa amani
Feb 15, 2016 15:26Uchaguzi Mkuu nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati umefanyika katika mazingira ya utulivu na amani.