Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

uchokozi

  • Araqchi: Mashambulizi ya kijeshi ya Marekani dhidi ya Yemen yanadhihirisha namna nchi hiyo inavyoshiriki katika uvunjaji wa sheria wa Israel

    Araqchi: Mashambulizi ya kijeshi ya Marekani dhidi ya Yemen yanadhihirisha namna nchi hiyo inavyoshiriki katika uvunjaji wa sheria wa Israel

    Mar 30, 2025 07:04

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amelaani mashambulizi ya kijeshi ya mara kwa mara ya Marekani katika maeneo mbalimbali ya Yemen na kusema: Mashambulizi ya kijeshi ya Marekani huko Yemen sambamba na kushtadi mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza na hujuma zake dhidi ya Lebanon na Syria, yanaonyesha namna Marekani inavyoshiriki katika uvunjaji sheria wa Israel na kwenda sambamba na utawala huo katika kueneza machafuko na hali ya mchafukoge katika eneo.

  • Waasi wa M23 wauteka mji wa Walikale mashariki mwa Kongo DR

    Waasi wa M23 wauteka mji wa Walikale mashariki mwa Kongo DR

    Mar 21, 2025 03:23

    Kundi la waasi la M23, linaloendesha mapigano mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, limeuteka mji wa Walikale unaopatikana katika eneo lenye utajiri mkubwa wa madini huko Kivu Kaskazini.

  • Baqaei: Kuna haja ya kuchukuliwa hatua za haraka kukomesha uvunjaji sheria wa Israel nchini Syria

    Baqaei: Kuna haja ya kuchukuliwa hatua za haraka kukomesha uvunjaji sheria wa Israel nchini Syria

    Feb 27, 2025 11:47

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mwito wa kuchukuliwa hatua za haraka kukomesha uvunjaji sheria wa utawala haramu wa Israel nchini Syria

  • Yemen yasisitiza kukabiliana na hujuma yote ya nchi ajinabi

    Yemen yasisitiza kukabiliana na hujuma yote ya nchi ajinabi

    Dec 19, 2024 03:11

    Muhammad Ali al Houthi mjumbe wa Baraza la Kisiasa la Harakati ya Wananchi ya Ansarullah ya Yemen ametangaza kuwa nchi hiyo iko tayari kikamilifu kukabiliana na uchokozi wowote dhidi ya Yemen.

  • Kulaaniwa na Jumuiya ya NAM uvamizi wa Israel dhidi ya Iran

    Kulaaniwa na Jumuiya ya NAM uvamizi wa Israel dhidi ya Iran

    Nov 06, 2024 02:14

    Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM), imelaani uovu wa utawala wa Kizayuni na hujuma yake ya makusudi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kutangaza kuwa, shambulio hilo ni ukiukaji mkubwa wa mamlaka na umoja wa ardhi ya Iran.

  • Iran yalaani hujuma za kijeshi za Marekani na Uingereza dhidi ya Yemen

    Iran yalaani hujuma za kijeshi za Marekani na Uingereza dhidi ya Yemen

    Oct 06, 2024 07:27

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na Uingereza huko Sana'a, Al Hudaydah na maeneo mengine ya Yemen.

  • Ubakaji waendelea kuongezeka nchini Uingereza

    Ubakaji waendelea kuongezeka nchini Uingereza

    Mar 20, 2023 09:33

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Uingereza imetangaza kuwa zaidi ya malalamiko 70,000 kuhusu unyanyasaji wa kingono yamesajiliwa katika idara za polisi za nchi hiyo.

  • HAMAS yaionya Israel kuhusiana na kushadidisha jinai zake dhidi ya Wapalestina

    HAMAS yaionya Israel kuhusiana na kushadidisha jinai zake dhidi ya Wapalestina

    Aug 25, 2020 03:30

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imeuonya utawala haramu wa Israel kuhusiana na kushadidisha mashambulio na mzingiro wake dhidi ya Ukanda wa Gaza.

  • OIC yatahadharisha kuhusu kuendelea jinai za Israel huko Palestina

    OIC yatahadharisha kuhusu kuendelea jinai za Israel huko Palestina

    Aug 08, 2019 08:03

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetahadharisha kuhusiana na kuendelea hujuma na uvamizi wa wanajeshi wa Israel pamoja na walowezi wa Kizayuni huko Quds inayokaliwa kwa mabavu hususan wito uliotolewa na Wazayuni wa kuvamiwa Msikiti wa al-Aqswa.

  • HAMAS yasisitiza kukomeshwa mashambulio ya Wazayuni dhidi ya Wapalestina

    HAMAS yasisitiza kukomeshwa mashambulio ya Wazayuni dhidi ya Wapalestina

    Jul 21, 2019 04:21

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ametangaza kuwa, adui mzayuni ndiye anayebeba dhima ya kuendelea hujuma na mashambulio dhidi ya Wapalestina yakiwemo mashambulio dhidi ya waandamano wa maandamno ya "Haki ya Kurejea".

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS