Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

uchumi wa Iran

  • Bunge la Iran lapiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri wa Uchumi

    Bunge la Iran lapiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri wa Uchumi

    Mar 02, 2025 12:46

    Wabunge katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) wamepiga kura ya kumuondoa katika wadhifa wake Waziri wa Masuala ya Uchumi na Fedha wa Jamhuri ya Kiislamu, Abdolnaser Hemmati wakati wa kikao cha kupiga kura ya kutokuwa na imani naye.

  • Iran: Ushindi wa Trump hautakuwa na athari yoyote kwa uchumi wetu

    Iran: Ushindi wa Trump hautakuwa na athari yoyote kwa uchumi wetu

    Nov 10, 2024 06:51

    Gavana wa Benki Kuu ya Iran (CBI), Mohammad-Reza Farzin amesema kuchaguliwa tena Donald Trump kuwa rais wa Marekani hakuna mfungamano wowote na ustawi wa uchumi wa Jamhuri ya Kiislamu.

  • Pezeshkian: Umoja ndio njia bora ya kukabiliana na matatizo ya kiuchumi

    Pezeshkian: Umoja ndio njia bora ya kukabiliana na matatizo ya kiuchumi

    Sep 01, 2024 07:22

    Rais wa Iran Masoud Pezeshkian amesisitiza haja ya kulinda umoja wa kitaifa miongoni mwa mirengo na makundi mbalimbali ya kisiasa ili kuwatumikia vyema zaidi wananchi.

  • Waziri wa Uchumi: Iran imefikia hatua ya ukuaji endelevu wa kiuchumi

    Waziri wa Uchumi: Iran imefikia hatua ya ukuaji endelevu wa kiuchumi

    May 29, 2024 07:23

    Waziri wa Masuala ya Uchumi na Fedha wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Iran imefikia hatua ya ukuaji thabiti wa uchumi.

  • Iran na Saudia zimo kwenye mkondo wa kuimarisha uhusiano wa kiuchumi

    Iran na Saudia zimo kwenye mkondo wa kuimarisha uhusiano wa kiuchumi

    May 13, 2023 10:22

    Waziri wa Uchumi wa Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu na Saudi Arabia hivi sasa zimo kwenye mkondo wa kuimarisha uhusiano wao wa kiuchumi na wameshafikia hatua nzuri.

  • Benki ya Dunia:  Uchumi wa Iran ulistawi kwa asilimia 3.1 mwaka 2021

    Benki ya Dunia: Uchumi wa Iran ulistawi kwa asilimia 3.1 mwaka 2021

    Jan 17, 2022 08:03

    Benki ya Dunia imesema uchumi wa Iran ulistawi kwa asilimia 3.1 mwaka 2021 na hivyo kupiga hatua zaidi ya utabiri wa benki hiyo ambayo ilikuwa imetabiri Juni mwaka jana kuwa ustawi huo ungekuwa kwa asilimia moja.

  • Rouhani: Uchumi wa Iran umeupiku wa Ujerumani wakati wa corona

    Rouhani: Uchumi wa Iran umeupiku wa Ujerumani wakati wa corona

    Oct 04, 2020 03:22

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema uchumi wa Jamhuri ya Kiislamu katika kipindi hiki cha janga la corona umeupiku ule wa Ujerumani na kusisitiza kuwa, uchumi wa taifa hili utastawi zaidi kufikia Machi mwaka ujao 2021.

  • Bunge la 11 la Iran lafunguliwa kwa hotuba ya Kiongozi Muadhamu

    Bunge la 11 la Iran lafunguliwa kwa hotuba ya Kiongozi Muadhamu

    May 27, 2020 08:02

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amelitaka Bunge la 11 la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran lililoanza shughuli zake leo Jumatano kuelekeza darubini na kujikita zaidi katika masuala ya uchumi wa kimuqawama na utamaduni.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; kupatiwa ufumbuzi matatizo ya kiuchumi kwa kuweko ushirikiano

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; kupatiwa ufumbuzi matatizo ya kiuchumi kwa kuweko ushirikiano

    Oct 12, 2018 07:58

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza katika mazungumzo yake na wakuu wa mihimili mikuu mitatu ya dola kuhusiana na masuala ya uchumi kwamba, matatizo ya kiuchumi hapa nchini yanatokana na changamoto za ndani na muundo wa kiuchumi hapa nchini huku matatizo mengine yakisababishwa na vikwazo vya kidhulma vya Marekani.

  • Uzalishaji mafuta nchini Iran warejea katika kiwango cha kabla ya vikwazo

    Uzalishaji mafuta nchini Iran warejea katika kiwango cha kabla ya vikwazo

    Oct 18, 2016 03:09

    Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, baada ya kuanza utekelezaji wa makubaliano ya nyuklia baina ya Iran na kundi la 5+1 ambayo ni maarufu kwa jina la makubaliano ya JCPOA, uzalishaji wa mafuta wa Iran umekaribia kiwango cha kabla ya vikwazo, yaani mapipa milioni nne na laki mbili kwa siku.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS