-
Bunge la Iran lapiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri wa Uchumi
Mar 02, 2025 12:46Wabunge katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) wamepiga kura ya kumuondoa katika wadhifa wake Waziri wa Masuala ya Uchumi na Fedha wa Jamhuri ya Kiislamu, Abdolnaser Hemmati wakati wa kikao cha kupiga kura ya kutokuwa na imani naye.
-
Iran: Ushindi wa Trump hautakuwa na athari yoyote kwa uchumi wetu
Nov 10, 2024 06:51Gavana wa Benki Kuu ya Iran (CBI), Mohammad-Reza Farzin amesema kuchaguliwa tena Donald Trump kuwa rais wa Marekani hakuna mfungamano wowote na ustawi wa uchumi wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Pezeshkian: Umoja ndio njia bora ya kukabiliana na matatizo ya kiuchumi
Sep 01, 2024 07:22Rais wa Iran Masoud Pezeshkian amesisitiza haja ya kulinda umoja wa kitaifa miongoni mwa mirengo na makundi mbalimbali ya kisiasa ili kuwatumikia vyema zaidi wananchi.
-
Waziri wa Uchumi: Iran imefikia hatua ya ukuaji endelevu wa kiuchumi
May 29, 2024 07:23Waziri wa Masuala ya Uchumi na Fedha wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Iran imefikia hatua ya ukuaji thabiti wa uchumi.
-
Iran na Saudia zimo kwenye mkondo wa kuimarisha uhusiano wa kiuchumi
May 13, 2023 10:22Waziri wa Uchumi wa Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu na Saudi Arabia hivi sasa zimo kwenye mkondo wa kuimarisha uhusiano wao wa kiuchumi na wameshafikia hatua nzuri.
-
Benki ya Dunia: Uchumi wa Iran ulistawi kwa asilimia 3.1 mwaka 2021
Jan 17, 2022 08:03Benki ya Dunia imesema uchumi wa Iran ulistawi kwa asilimia 3.1 mwaka 2021 na hivyo kupiga hatua zaidi ya utabiri wa benki hiyo ambayo ilikuwa imetabiri Juni mwaka jana kuwa ustawi huo ungekuwa kwa asilimia moja.
-
Rouhani: Uchumi wa Iran umeupiku wa Ujerumani wakati wa corona
Oct 04, 2020 03:22Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema uchumi wa Jamhuri ya Kiislamu katika kipindi hiki cha janga la corona umeupiku ule wa Ujerumani na kusisitiza kuwa, uchumi wa taifa hili utastawi zaidi kufikia Machi mwaka ujao 2021.
-
Bunge la 11 la Iran lafunguliwa kwa hotuba ya Kiongozi Muadhamu
May 27, 2020 08:02Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amelitaka Bunge la 11 la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran lililoanza shughuli zake leo Jumatano kuelekeza darubini na kujikita zaidi katika masuala ya uchumi wa kimuqawama na utamaduni.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; kupatiwa ufumbuzi matatizo ya kiuchumi kwa kuweko ushirikiano
Oct 12, 2018 07:58Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza katika mazungumzo yake na wakuu wa mihimili mikuu mitatu ya dola kuhusiana na masuala ya uchumi kwamba, matatizo ya kiuchumi hapa nchini yanatokana na changamoto za ndani na muundo wa kiuchumi hapa nchini huku matatizo mengine yakisababishwa na vikwazo vya kidhulma vya Marekani.
-
Uzalishaji mafuta nchini Iran warejea katika kiwango cha kabla ya vikwazo
Oct 18, 2016 03:09Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, baada ya kuanza utekelezaji wa makubaliano ya nyuklia baina ya Iran na kundi la 5+1 ambayo ni maarufu kwa jina la makubaliano ya JCPOA, uzalishaji wa mafuta wa Iran umekaribia kiwango cha kabla ya vikwazo, yaani mapipa milioni nne na laki mbili kwa siku.