Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

uchumi wa Iran

  • IMF: Uchumi wa Iran unastawi kwa kasi baada ya JCPOA

    IMF: Uchumi wa Iran unastawi kwa kasi baada ya JCPOA

    Oct 04, 2016 04:45

    Mfuko wa Fedha Duniani IMF umesema uchumi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran unakuwa kwa kasi kubwa kufuatia kutekelezwa kwa makubaliano ya nyuklia unaofahamika kama Mpango Kamili ya Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • Salehi: Uchumi wa Iran unategemea uwezo wa ndani na unaelekea kwenye kilele cha ustawi

    Salehi: Uchumi wa Iran unategemea uwezo wa ndani na unaelekea kwenye kilele cha ustawi

    Sep 30, 2016 04:28

    Makamu wa Rais wa Iran, ambaye pia ni Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki amesema uchumi wa taifa hili unategemea uwezo wa ndani na unaelekea kwenye kilele cha ustawi.

  • Velayati: Marekani na Saudia zinavunja sheria kwa kuingilia mambo ya ndani ya Syria

    Velayati: Marekani na Saudia zinavunja sheria kwa kuingilia mambo ya ndani ya Syria

    Aug 14, 2016 03:04

    Mkuu wa kituo cha utafiti wa kistratejia cha Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya mfumo wa Kiislamu wa Iran amesema kuwa, Marekani na Saudi Arabia zinaingilia mambo ya ndani ya Syria bila ya idhini ya serikali ya nchi hiyo na kwamba uwepo wa nchi hizo huko Syria ni kinyume cha sheria.

  • Iran: Dunia iungane katika vita dhidi ya ugaidi

    Iran: Dunia iungane katika vita dhidi ya ugaidi

    Apr 30, 2016 04:08

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeonya kuhusu kuenea ugaidi na misimamo mikali duniani na kusema jamii ya kimataifa inapasa kushirikiana kukabiliana na uovu huo.

  • Ali Tayyebnia: Mazingira yameandaliwa ya kustawishwa uhusiano kati ya Iran na Afrika Kusini

    Ali Tayyebnia: Mazingira yameandaliwa ya kustawishwa uhusiano kati ya Iran na Afrika Kusini

    Apr 23, 2016 16:10

    Waziri wa Uchumi na Hazina wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kumeandaliwa mazingira mazuri kwa ajili ya kustawishwa uhusiano kati ya Iran na Afrika Kusini katika nyanja mbalimbali.

  • Rais Rouhani asisitiza kutekelezwa sera za Uchumi wa Muqawama

    Rais Rouhani asisitiza kutekelezwa sera za Uchumi wa Muqawama

    Mar 22, 2016 03:37

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa serikali yake itatekeleza sera za Uchumi wa Muqawama.

  • Rouhani: Uchumi wa Iran kustawi kwa 5%

    Rouhani: Uchumi wa Iran kustawi kwa 5%

    Mar 20, 2016 15:46

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema nchi hii inalenga kuwa na ustawi wa kiuchumi wa asilimia tano katika mwaka mpya wa Kiirani ulioanza Machi 20.

  • Ugiriki: Iran ni taifa linaloimarisha amani na usalama Mashariki ya Kati

    Ugiriki: Iran ni taifa linaloimarisha amani na usalama Mashariki ya Kati

    Mar 18, 2016 08:07

    Waziri wa Mambo ya Ndani nchini Ugiriki amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni nchi muhimu ambayo inafanya juhudi kubwa za kuimarisha amani na usalama katika eneo la Mashariki ya kati.

  • Mchambuzi wa US: Saudia inaelekea kukumbwa na mgogoro wa kifedha

    Mchambuzi wa US: Saudia inaelekea kukumbwa na mgogoro wa kifedha

    Mar 09, 2016 08:02

    Mchambuzi mashuhuri wa masuala ya siasa wa Marekani amesema Saudi Arabia karibuni hivi itatumbukia katika mgogoro mkubwa wa kifedha.

  • Kiongozi alipongeza taifa la Iran kwa kushiriki kwa wingi katika chaguzi

    Kiongozi alipongeza taifa la Iran kwa kushiriki kwa wingi katika chaguzi

    Feb 29, 2016 02:33

    Kiongozi Muadhamu wa Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amelipongeza taifa la Iran kwa kushiriki kwa wingi katika chaguzi mbili za siku ya Ijumaa.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS