-
Waziri: Migomo itatatiza usafiri wa umma kote nchini Ufaransa
Jan 30, 2023 02:46Waziri wa Uchukuzi wa Ufaransa amesema migomo ya wafanyakazi wa sekta hiyo kuanzia kesho Jumanne inatazamiwa kulemaza usafiri wa umma katika pembe zote za nchi hiyo ya Ulaya.
-
Kutangaza al-Azhar kususia bidhaa za Sweden na Uholanzi; ulazima wa kuchukua hatua kali dhidi ya kuvunjiwa heshima Qur'ani
Jan 26, 2023 04:03Jumatano ya jana tarehe 25 Januari Chuo cha Kiislamu cha al-Azhar cha nchini Misri kilitoa mwito kwa wananchi wa mataifa ya Kiarabu na Kiislamu kususia bidhaa za Uholanzi na Sweden kama moja ya njia za kuunga mkono Qur'ani Tukufu baada ya kushuhudiwa matukio mawili tofauti katika mataifa hayo ya kuchomwa moto Qu'ani Tukufu.
-
Ufaransa yatakiwa iondoe jeshi lake Burkina Faso haraka iwezekavyo
Jan 22, 2023 07:57Serikali ya kijeshi inayotawala Burkina Faso imeitaka Ufaransa iwaondoe wanajeshi wake katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi katika kipindi kifupi kijacho.
-
Wananchi wa Burkina Faso waandamana dhidi ya Ufaransa
Jan 21, 2023 10:18Mamia ya wananchi wa Burkina Faso wamejitokeza mabarabarani katika mji mkuu Ouagadougou kushiriki maandamano dhidi ya Ufaransa, hatua inayoonesha jinsi ushawishi wa Paris katika nchi za bara la Afrika unavyoendelea kupungua.
-
Afisa wa Ufaransa atahadharisha kuhusu hatari ya ujasusi wa Marekani barani Ulaya
Jan 16, 2023 03:10Mkuu wa Kamandi ya Ulinzi wa Kimtandao wa Ufaransa ametahadharisha kuhusu hatari ya ujasusi wa Marekani kwa bara Ulaya.
-
Polisi Ufaransa yashambulia waandamanaji wa 'Vizibao vya Njano'
Jan 09, 2023 04:08Askari polisi nchini Ufaransa wamewashambulia vibaya maelfu ya watu walioshiriki maandamano ya Vizibao vya Njano, kulalamikia sera za Rais Emmanuel Macron wa nchi hiyo na hususan mageuzi tata ya pensheni yanayotazamiwa kuanza kutekelezwa mwaka huu wa 2023.
-
Waislamu wa Nigeria wakosoa uchochezi wa jarida la Kifaransa
Jan 07, 2023 10:25Waislamu nchini Nigeria wamelaani kitendo cha dharau, kejeli na udhalilishaji cha jarida la Ufaransa la Charlie Hebdo cha kuchapisha vibonzo vya kumvunjia heshima Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Kurudi nyuma kwa serikali ya Macron dhidi ya upinzani
Jan 06, 2023 02:20Serikali ya Ufaransa Jumanne wiki hii ilidokeza uwezekano wa kutazamwa umpya mpango tata wa Rais Emmanuel Macron wa kubadilisha sheria za pensheni. Hatua hiyo inaonekana kuwa ni kusalimu amri mbele ya wapinzani wa mpango huo.
-
Iran yamuita balozi wa Ufaransa kulalamikia uafriti wa 'Charlie Hebdo'
Jan 05, 2023 03:31Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imemuita balozi wa Ufaransa mjini Tehran, Nicolas Roche kulalamikia vikali kitendo cha jarida la Kifaransa cha kutukana na kuvunjia heshima matukufu ya Kiislamu na thamani za kitaifa na kidini za Jamhuri ya Kiislamu.
-
Kutimuliwa balozi wa Ufaransa Burkina Faso; pigo jengine kwa Paris
Jan 04, 2023 09:02Msemaji wa serikali ya Burkina Faso Jean-Emmanuel Ouedraogo ametangaza kuwa balozi wa Ufaransa Luc Hallade ametakiwa aondoke nchini humo kufuatia kushadidi mgogoro kati ya nchi hizo mbili.