-
Algeria: Ufaransa itaendelea milele kuwa adui wa taifa letu
Apr 10, 2021 23:07Waziri wa Kazi wa Algeria ametoa taarifa rasmi na huku akiashiria ripoti zilizofichua kwamba Ufaransa ilifanya majaribio ya nyuklia katika ardhi ya Algeria amesema, mkoloni huyo wa Ulaya ataendelea daima na milele kuwa adui wa taifa letu, kama ambavyo hivi sasa pia Ufaransa ni adui mkongwe na wa zamani sana wa Algeria.
-
Dunia yaendelea kukosoa azimio la Seneti ya Ufaransa kuhusu marufuku ya hijabu
Apr 10, 2021 23:06Watumiaji wa mitandao ya kijamii nchini Ufaransa na maeneo mengine ya dunia wameanzisha kampeni iliyopewa jina la Hands Off My Hijab (@handsoffmyhijab) wakieleza hasira zao dhidi ya azimio la Baraza la Seneti la Ufaransa la kuzidisha vizuizi na marufuku dhidi ya vazi la staha la mwanamke wa Kiislamu, Hijabu. Watu wengi wamesema kuwa azimio hilo linapiga vita Uislamu.
-
Hatua mpya ya Ufaransa ya kuwabana Waislamu wasivae Hijabu yalaaniwa vikali
Apr 09, 2021 23:06Uamuzi wa Baraza la Seneti la Ufaransa wa kupasisha mpango unaopiga marufuku wasichana wenye umri chini ya miaka 18 kuvaa Hijabu katika maeneo ya umma umelaaniwa na kukosolewa vikali ndani ya nchi hiyo na katika kila pembe ya dunia.
-
Kuendelea sera za ubaguzi wa rangi barani Ulaya na malalamiko ya wananchi
Apr 04, 2021 22:01Suala la Ubaguzi wa rangi limegeuka na kuwa tatizo kubwa kabisa kwa raia wa mataifa ya Ulaya.
-
Jumuiya ya Wasomi wa Kiislamu yalaani ombi la Ufaransa la misikiti kubariki ndoa za mashoga
Mar 27, 2021 22:46Jumuiya ya Kimataifa ya Wanazuoni wa Kiislamu imelaani wito wa serikali ya Ufaransa iliyowataka maimamu wa misikiti nchini humo kubariki na kuhalalisha ndoa baina ya mashoga na watu wenye jinsia moja, ikisisitiza kuwa wito huo unaonyesha msimamo wa kindumakuwili dhidi ya Uislamu.
-
Wanajeshi wa Ufaransa waua tena raia wengine kadhaa nchini Mali
Mar 27, 2021 07:13Kundi moja la wanamgambo wenye silaha limesema kuwa, jeshi la Ufaransa limeua raia watano wengine katika shambulio la anga kaskazini mwa Mali.
-
Safari ya mawaziri watatu wa mambo ya nje wa Ulaya nchini Libya
Mar 26, 2021 22:00Mawaziri wa mambo ya nje wa nchi za Ufaransa, Ujerumani na Italia Alkhamisi iliyopita walikwenda Tripoli mji mkuu wa Libya kwa shabaha ya kujadili mustakbali wa uhusiano wa nchi za Ulaya na Libya. Mawaziri hao pia wamesisitiza udharura wa kuondoka vikosi vya majeshi ya kigeni katika ardhi ya Libya.
-
Spishi mpya ya kirusi cha corona yagunduliwa nchini Ufaransa
Mar 16, 2021 08:52Idara Kuu ya Afya na Tiba ya Ufaransa imetangaza kugunduliwa spishi mpya ya kirusi cha corona nchini humo.
-
Ufaransa: Azimio dhidi ya Iran litapigiwa kura siku zijazo
Mar 03, 2021 04:28Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa amesema kuwa azimio la kuikosoa Iran limepangwa kupigiwa kura siku zijazo katika Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA).
-
Hatua mpya ya chuki dhidi ya Uislamu nchini Ufaransa
Feb 18, 2021 22:53Mwenendo wa chuki dhidi ya Uislamu na kushadidi mashinikizo dhidi ya Waislamu nchini Ufaransa unaonekana kushtadi na kuchukua mkondo mpana zaidi katika miaka ya hivi karibuni katika nchi hiyo ya bara Ulaya.