-
Waziri Mkuu wa Pakistan apendekeza Ulimwengu wa Kiislamu uvunje uhusiano na Ufaransa
Dec 08, 2020 23:07Vyombo vya habari vya Pakistan vimetangaza kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Imran Khan ametoa pendekezo la kuvunjwa uhusiano wa nchi za Kiislamu na Ufaransa.
-
Rais wa Misri atupiwa lawama nyingine
Dec 08, 2020 03:58Mashirika mengi ya haki za binadamu yamemtupia lawama chungu nzima Rais Abdel Fattah el Sisi wa Misri wakati huu wa ziara yake mjini Paris, Ufaransa.
-
Polisi ya Ufaransa yatumia mkono wa chuma kukandamiza maandamano ya wananchi
Dec 06, 2020 08:21Maelfu ya waandamanaji nchini Ufaransa wamekabiliana na polisi kwenye mji mkuu wa nchi hiyo Paris, haya yakiwa ni maandamano mapya kupinga muswada wa sheria tata kuhusu usalama.
-
Yamkini Misikiti 76 ikafungwa Ufaransa katika kampeni dhidi ya Waislamu
Dec 04, 2020 08:34Serikali ya Ufaransa imetangaza mpango mkubwa na ambao haujawahi kushuhudiwa wa kufanya upekuzi katika misikiti ya nchi hiyo.
-
Serikali ya Ufaransa yafutilia mbali muswada wa marufuku ya kupigwa picha polisi
Dec 02, 2020 23:07Serikali ya Ufaransa imefutilia mbali muswada iliokuwa umeuwasilisha bungeni kwa ajili ya kupiga marufuku upigwaji picha maafisa wa polisi wanapokuwa wanatekeleza majukumu yao, na hilo limetokana na ukosolewaji mkali uliofanywa dhidi ya utendaji wa jeshi la polisi.
-
Maandamano makubwa ya kupinga vitendo vya polisi vya utumiaji mabavu na ubaguzi nchini Ufaransa
Nov 30, 2020 23:05Kufuatia kuongezeka migogoro ya kijamii na kisiasa nchini Ufaransa katika miezi ya hivi karibuni, kumeshuhudiwa ongezeko la vitendo vya polisi vya utumiiaji mabavu na ubaguzi wa rangi. Maovu hayo ya polisi ya Ufaransa yamepelekea kuibuka maandamano makubwa ya wananchi wanaolalamikia hali hiyo.
-
Viongozi wa Ufaransa waendelea kutoa madai ya chuki dhidi ya Uislamu
Nov 26, 2020 23:00Huku hasira za Waislamu kwa vitendo na matamshi ya chuki dhidi ya Uislamu nchini Ufaransa zikawa bado hazijapoa, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa nchi hiyo ya bara Ulaya Jean-Yves Le Drian amejitokeza na kudai kwamba, baadhi ya mataifa yanataka kuwadhibiti Waislamu wa Ufaransa.
-
Ufaransa yashiriki kwa kiwango kikubwa kuangamiza raia nchini Yemen
Nov 23, 2020 22:53Vyombo vya habari vya Ufaransa vimefichua kuwa, serikali ya nchi hiyo inashiriki vilivyo katika kutoa mafunzo kwa wanajeshi wa Saudi Arabia na kuwaua kwa umati wananchi wa Yemen.
-
Kuendelea chuki za rais wa Ufaransa dhidi ya Uislamu
Nov 22, 2020 21:34Ikiwa ni kuendeleza chuki zake dhidi ya Uislamu na Waislamu, rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, sasa ametoa muhula maalumu kwa viongozi wa makundi ya Kiislamu ya nchi hiyo kuhakikisha wanajivika utamaduni wa Magharibi hata katika mambo ambayo ni haramu kwa mujibu wa mafundisho ya dini tukufu ya Kiislamu.
-
Wapakistan: Hatutositisha maandamano mpaka balozi wa Ufaransa atimuliwe
Nov 16, 2020 03:41Maelfu ya waandamanaji nchini Pakistan waliofanya mgomo wa kuketi wametangaza kuwa wataendeleza mgomo wao huo mpaka balozi wa Ufaransa nchini humo atimuliwe.