-
Kukosolewa vikali madai ya kuwepo uhuru wa kujieleza nchini Ufaransa
Nov 15, 2020 23:03Mwenendo wa chuki na kukejeliwa itikadi za Waislamu nchini Ufaransa umeshika kasi katika miaka ya karibuni, na katika uwanja huo kuchapishwa tena na jarida la Charlie Hebdo, vikatuni vinamvyodhalilisha Mtume Mtukufu wa Uislamu (saw) kumewakasirisha sana Waislamu.
-
Amnesty: Kwa undumakuwili ilionao, Ufaransa haiwezi kudai inaunga mkono uhuru wa kutoa maoni
Nov 15, 2020 00:32Shirika la Msamaha Duniani, Amnesty International limekosoa mtazamo wa kiundumakuwili wa serikali ya Ufaransa na kusisitiza kuwa, serikali hiyo haiwezi kudai kwamba inaunga mkono uhuru wa kutoa maoni.
-
Kiongozi wa ngazi za juu wa al-Qaeda auawa kaskazini mwa Mali
Nov 14, 2020 04:06Kiongozi wa operesheni za kijeshi wa tawi la kundi la al-Qaida kanda ya Afrika Kaskazini ameuawa katika operesheni ya jeshi la Ufaransa nchini Mali.
-
Kansela wa Ujerumani akwepa kulaani vitendo vya kuvunjia heshima matukufu ya Uislamu
Nov 11, 2020 11:13Kansela Angela Merkel wa Ujerumani amekwepa kulaani hatua na vitendo vya kuvunjia heshima thamani na matukufu ya Uislamu.
-
Juhudi za Ufaransa za kujaribu kupunguza hasira ya Waislamu duniani
Nov 09, 2020 23:09Uadui wa viongozi wa Ufaransa dhidi ya Uislamu, umeamsha hasira ya Waislamu katika pembe zote za dunia kadiri kwamba nchi nyingi za Kiislamu zimelaani msimamo huo wa Wafaransa, bali zimeanzisha harakati za kususia bidhaa zinazotengenezwa Ufaransa ili kuonyesha kuchukizwa kwao na uadui huo wa viongozi wa Paris.
-
Vijana Waislamu wa Ufaransa wajitolea kulinda makanisa ya nchi hiyo
Nov 07, 2020 23:07Licha ya hatua na matamshi ya kiuadui na ya chuki yaliyotolewa na viongozi wa Ufaransa dhidi ya Uislamu, kundi moja la vijana Waislamu Wafaransa wamejitolea kulinda usalama wa makanisa ya nchi hiyo.
-
Putin akosoa dini kuvunjiwa heshima kwa kisingizio cha uhuru wa kujieleza
Nov 06, 2020 22:59Kuongezeka vitendo vya kuvunjiwa heshima Mtume Mtukufu (saw) nchini Ufaransa na kuungwa mkono vitendo hivyo na Rais Emmanuel Macron wa nchi hiyo kwa kisingizio cha kutetea uhuru wa kusema na kujieleza, ni jambo ambalo limeamsha hasira kubwa ya ulimwengu wa Kiislamu.
-
Wanafikra dunia wataka kuwekwa sheria zinazozuia kuvunjiwa heshima dini za mbinguni
Nov 05, 2020 04:52Wanafikra na viongozi wa dini duniani wametoa wito wa kutungwa sheria zinazozuia kuvunjiwa heshima Mitume wa Mwenyezi Mungu, dini za mbinguni na wafuasi wake.
-
Wanafikra dunia wataka kuwekwa sheria unayozuia kuvunjiwa heshima dini za mbinguni
Nov 05, 2020 04:52Wanafikra na viongozi wa dini duniani wametoa wito wa kutungwa sheria zinazozuia kuvunjiwa heshima Mitume wa Mwenyezi Mungu, dini za mbinguni na wafuasi wake.
-
Wahadhiri wa vyuo vikuu wa Iran walaani kuvunjiwa heshima Mtume (saw)
Nov 04, 2020 03:35Wahadhiri wa vyuo vikuu nchini Iran wametoa taarifa wakilaani vikali hatua ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ya kumvujia heshima Mtume Muhammad (saw).