Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Hatua mpya ya Wamagharibi ya kuchochea moto wa vita vya Ukraine

    Hatua mpya ya Wamagharibi ya kuchochea moto wa vita vya Ukraine

    Nov 18, 2024 11:13

    Rais wa Marekani, Joe Biden ameripotiwa kuidhinisha Ukraine kutumia makombora ya masafa marefu ya Kimarekani kulenga shabaha ndani ya mipaka ya Russia ya kabla ya 2014. Hayo ni kwa mujibu wa ripoti ya jana Jumapili iliyotolewa na gazeti la New York Times likiwanukuu maafisa wa Marekani ambao hawakutaka kutajwa majina yao.

  • Russia yaitahadharisha Ufaransa kuhusu kutuma makombora Ukraine

    Russia yaitahadharisha Ufaransa kuhusu kutuma makombora Ukraine

    Nov 15, 2024 03:54

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia ametahadharisha kuhusu Ufaransa kutuma makombora nchini Ukraine.

  • Ufaransa yamkamata mwanaharakati anayepinga ukoloni Afrika

    Ufaransa yamkamata mwanaharakati anayepinga ukoloni Afrika

    Oct 16, 2024 07:09

    Mwanaharakati na mwanamajimui mashuhuri wa kupinga ukoloni mamboleo barani Afrika, Stellio Gilles Robert Capo Chichi, maarufu kama Kemi Seba, amekamatwa nchini Ufaransa.

  • Waziri Mkuu wa zamani wa Ufaransa: Hali ya mambo ya Gaza ni kashfa kubwa zaidi ya kihistoria

    Waziri Mkuu wa zamani wa Ufaransa: Hali ya mambo ya Gaza ni kashfa kubwa zaidi ya kihistoria

    Sep 14, 2024 04:38

    Waziri Mkuu wa zamani wa Ufaransa ametaja hali ya mambo huko Gaza kuwa ni "kashfa kubwa zaidi ya kihistoria" na kukosoa msimamo wa Ufaransa kuhusu vita vinavyoendelea katika eneo hilo.

  • Mali yaendelea 'kuviadhibu' vyombo vya habari vya Ufaransa

    Mali yaendelea 'kuviadhibu' vyombo vya habari vya Ufaransa

    Sep 12, 2024 11:37

    Serikali ya kijeshi ya Mali imepiga marufuku kanali nyingine ya televisheni ya Ufaransa kurusha matangazo yake kwa kukiuka Sheria ya Kudhibiti Vyombo vya Habari katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi.

  • Mali yasimamisha matangazo ya televisheni ya LCI ya Ufaransa kwa upotoshaji

    Mali yasimamisha matangazo ya televisheni ya LCI ya Ufaransa kwa upotoshaji

    Aug 25, 2024 14:59

    Serikali ya kijeshi ya Mali imepiga marufuku kanali ya televisheni ya Ufaransa ya LCI kurusha matangazo yake kwa muda wa miezi miwili kutokana na kile kilichotajwa kuwa upotoshaji kuhusu hali ya usalama wa nchi hiyo ya Afrika Magharibi.

  • Rais Pezeshkian aonya: Matokeo hasi 'mazito' yanaingojea Israel ikijaribu kuishambulia Lebanon

    Rais Pezeshkian aonya: Matokeo hasi 'mazito' yanaingojea Israel ikijaribu kuishambulia Lebanon

    Jul 30, 2024 03:17

    Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameonya kuwa matokeo hasi 'mazito' utayapata utawala wa Kizayuni wa Israel ikiwa utafanya kosa kubwa la kushambulia kijeshi Lebanon.

  • Uturuki: Netanyahu mfanya mauaji ya kimbari atakuwa na mwisho kama wa Hitler

    Uturuki: Netanyahu mfanya mauaji ya kimbari atakuwa na mwisho kama wa Hitler

    Jul 29, 2024 06:02

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki imesema: "kama ulivyokuwa mwisho wa mfanya mauaji ya kimbari Hitler, ndivyo pia utakavyokuwa mwisho wa mfanya mauaji ya kimbari Netanyahu."

  • Rais wa DRC amkosoa mwenzake wa Kenya kwa 'kuushughulikia vibaya' Mchakato wa Nairobi

    Rais wa DRC amkosoa mwenzake wa Kenya kwa 'kuushughulikia vibaya' Mchakato wa Nairobi

    Jul 27, 2024 11:34

    Rais Félix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) amemkosoa mwenzake wa Kenya William Ruto kwa alichokiita kushughulikia vibaya Mchakato wa Nairobi, ambao ulibuniwa kuanzisha mazungumzo na makundi yenye silaha mashariki mwa DRC. Tshisekedi amemshutumu Ruto kuwa anaegemea upande wa Rwanda, msimamo anaoamini umekwamisha mpango huo.

  • Onyo la UN kuhusu ongezeko la vyama vya mrengo wa kulia barani Ulaya

    Onyo la UN kuhusu ongezeko la vyama vya mrengo wa kulia barani Ulaya

    Jul 06, 2024 02:36

    Volker Turk, Kamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa, alionya Jumatano wiki hii kuhusu kuibuka kwa vyama vya mrengo wa kulia vyenye misimamo ya kufurutu mipaka barani Ulaya na kuhatarishwa haki za wahamiaji na wakimbizi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS