-
Sisitizo la Ufaransa la kupinga Umoja wa Ulaya mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa ya Marekani dhidi ya Iran
Jan 30, 2020 22:52Rais Donald Trump wa Marekani sambamba na kupinga makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, Mei mwaka 2018 alichukua uamuzi wa kuiondoa nchi yake katika makubaliano hayo ya kimataifa, hatua ambayo ilikwenda sambamba na kuiwekea Iran mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa.
-
Rais Macron wa Ufaransa arushiana maneneo makali na polisi wa Israel mjini Quds
Jan 23, 2020 08:01Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ambaye yuko safarini katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu amerushuiana maneno makali na polisi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika mji wa Quds (Jerusalem).
-
Ukosoaji mkubwa wa kuendelea ukandamizaji dhidi ya harakati za 'Vizibao vya Njano' nchini Ufaransa
Jan 20, 2020 09:36Hatua za ukandamizaji wa polisi wa Ufaransa dhidi ya waandamanaji wanaopinga mfumo wa kibepari, zimekabiliwa na ukosoaji mkali.
-
Tehran yampa Rais wa Ufaransa somo la jiografia kuhusu "Ghuba ya Uajemi"
Jan 19, 2020 04:29Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amempa Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa somo la jiografia na kumkosoa kwa kupotosha historia.
-
Mamia ya magari yaliteketezwa moto nchini Ufaransa katika mkesha wa mwaka mpya
Jan 02, 2020 10:19Viongozi wa serikali ya Ufaransa wametangaza kwamba mkesha wa mwaka mpya 2020 uligubikwa na machafuko makubwa ambapo mamia ya magari yaliteketezwa moto.
-
Uamuzi wa nchi 8 za magharibi mwa Afrika wa kuacha kutumia sarafu ya Ufaransa
Dec 24, 2019 23:26Baada ya mashauriano yaliyodumu kwa muda mrefu, hatimaye nchi nane kati ya 15 wanachama wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) zimejitoa katika muungano wa sarafu ya pamoja ya Ufaransa (Franc) na kutangaza kwamba, kuanzia sasa zitaanza kufanya miamala yao yote kwa kutumia sarafu ya Eco ili zisalimike madhara ya kifedha yaliyokuwa yakisababishwa na sarafu ya Franc.
-
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron akiri, ukoloni umekufa
Dec 23, 2019 09:17Mienendo ya nchi za Magharibi kuhusiana na bara la Afrika daima uimekuwa ya kikoloni na kuwanyonya watu wa bara hilo na wakati huo huo kukandamiza harakati za wapigania uhuru.
-
Macron akiri ukoloni wa Ufaransa Afrika ulikuwa kosa kubwa, wapinzani wampinga
Dec 23, 2019 04:30Baada ya Rais Emmanuel Macron kukiri hadharani kuwa ukoloni wa Ufaransa barani Afrika ulikuwa kosa kubwa, kiongozi wa chama cha mrengo wa kulia chenye chuki za kikabila nchini Ufaransa amelalamikia msimamo huo wa Macron na kudai eti unatia doa historia ya Ufaransa.
-
Makumi ya askari wa Ufaransa wajiunga na makundi ya kigaidi Iraq na Syria
Dec 19, 2019 00:36Kituo cha Kuchunguza Ugaidi cha Ufaransa kimetangaza kuwa wanajeshi 30 wa nchi hiyo wamejiunga na makundi ya kigaidi katika nchi za Syria na Iraq.
-
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran yawataka Wairani wasifanye safari nchini Ufaransa kutokana na machafuko
Dec 10, 2019 21:43Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imewataka Wairani wasifanye safari nchini Ufaransa kutokana na ghasia na migomo inayoendelea kufanyika nchini humo.