Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Rais Emmanuel Macron: Shirika la kijeshi la NATO limekufa ubongo

    Rais Emmanuel Macron: Shirika la kijeshi la NATO limekufa ubongo

    Nov 08, 2019 04:48

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa sambamba na kuonyesha wasi wasi wake kuhusiana na iwapo Marekani itaendeleza ahadi zake katika Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi NATO amesema kuwa, shirika hilo limekumbwa na kifo cha ubongo.

  • Waislamu wa Ufaransa ni wahanga wa ubaguzi wa kidini

    Waislamu wa Ufaransa ni wahanga wa ubaguzi wa kidini

    Nov 07, 2019 09:13

    Karibu nusu ya Waislamu wanaoishi nchini Ufaransa, ni wahanga wa vitendo vya ubaguzi.

  • Kinara wa magaidi wakufurishaji auawa nchini Mali

    Kinara wa magaidi wakufurishaji auawa nchini Mali

    Nov 06, 2019 04:17

    Kinara wa magaidi wakufurishaji wanaofungamana na mtandao wa Al Qaeda ameuawa nchini Mali katika oparesheni ya vikosi vya usalama.

  • Rais wa Ufaransa atuhumiwa kueneza chuki dhidi ya Waislamu

    Rais wa Ufaransa atuhumiwa kueneza chuki dhidi ya Waislamu

    Nov 04, 2019 23:01

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ametuhumiwa kuhusika na kueneza chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu katika nchi hiyo ya Ulaya.

  • Mripuko wa bomu waua askari wa Ufaransa nchini Mali

    Mripuko wa bomu waua askari wa Ufaransa nchini Mali

    Nov 03, 2019 04:25

    Mwanajeshi wa Ufaransa ameuawa katika mripuko wa bomu la kutegwa kando ya barabara karibu na eneo la Menaka mashariki mwa Mali.

  • Uturuki: Ufaransa na Israel zilitaka kuunda 'dola la kigaidi' Syria

    Uturuki: Ufaransa na Israel zilitaka kuunda 'dola la kigaidi' Syria

    Nov 02, 2019 09:07

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki amesema Ufaransa na utawala wa Kizayuni wa Israel zilikuwa na hamu kubwa ya kuunda dola la kigaidi ndani ya ardhi ya Syria.

  • Wanawake wanaovaa hijabu Ufaransa wapigwa marufuku kuandamana na watoto wao katika safari za kishule

    Wanawake wanaovaa hijabu Ufaransa wapigwa marufuku kuandamana na watoto wao katika safari za kishule

    Oct 31, 2019 04:12

    Baraza la Seneti la Ufaransa limepasisha muswada ambao unawapiga marufuku akina mama wanaovaa hijabu kuandamana na watoto wao katika safari za kishule.

  • Shambulizi dhidi ya msikiti Ufaransa; watu wawili wapigwa risasi

    Shambulizi dhidi ya msikiti Ufaransa; watu wawili wapigwa risasi

    Oct 29, 2019 00:11

    Watu wawili wamejeruhiwa vibaya baada ya kupigwa risasi nje ya msikiti mmoja katika mji wa Bayonne, kusini magharibi mwa Ufaransa.

  • Miji mbalimbali ya Ufaransa yashuhudia mikusanyiko ya kulalamikia chuki dhidi ya Uislamu

    Miji mbalimbali ya Ufaransa yashuhudia mikusanyiko ya kulalamikia chuki dhidi ya Uislamu

    Oct 28, 2019 08:32

    Miji mbalimbali ya Ufaransa imeshuhudia mikusanyiko mikubwa ya kulalamikia chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu katika nchi hiyo ya bara Ulaya.

  • Baruapepe zafichua siri ya namna Ufaransa ilivyohusika katika mauaji ya Gaddafi

    Baruapepe zafichua siri ya namna Ufaransa ilivyohusika katika mauaji ya Gaddafi

    Oct 20, 2019 23:09

    Baruapepe elfu tatu zilizotumwa kwa siri kwa aliyekuwa waziri wa mambo ya nje wa Marekani zimefichua namna Ufaransa ilivyohusika katika mauaji ya kiongozi wa zamani wa Libya Muammar Gaddafi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS