-
Dada yake Bin Salman kufikishwa katika mahakama ya jinai Ufaransa
Jun 13, 2019 21:56Dada yake Mohammad Bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia anatazamiwa kupandishwa kizimbani mwezi ujao wa Julai katika mahakama ya jinai nchini Ufaransa, akiandamwa na shitaka la kumuagiza mlinzi wake kumpiga mfanyakazi wa kiume mjini Paris.
-
Iran yakosoa matamshi ya Rais wa Ufaransa alipokutana na Trump
Jun 07, 2019 02:58Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu matamshi ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa alipokutana na mwenzake wa Marekani mjini Paris na kusema matamshi ya Macron hayasaidii katika kulindwa mapatano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Ripoti: Mitandao ya kijamii ya Facebook, Instagram na WhatsApp inachochea ufuska na unyanyasaji wa kijinsia
Jun 06, 2019 09:27Utafiti uliofanywa katika nchi 35 na kundi la Fondation Scelles la nchini Ufaransa umeitaja mitandao ya kijamii ya Facebook, Snapchat, WhatsApp, Instagram na Tinder kuwa inachochea ufuska na unyanyasaji wa kijinsia.
-
Mauzo ya silaha za Ufaransa kwa Saudia yaongezeka kwa 50%
Jun 04, 2019 23:26Ripoti mpya inaonesha kuwa mauzo ya silaha za Ufaransa kwa Saudi Arabia yaliongezeka kwa asilimia 50 mwaka uliopita wa 2018.
-
Ufaransa na Uingereza zailaani Israel kwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni
Jun 04, 2019 01:56Ufaransa na Uingereza zimelaani jinai za Israel za kuendelea kujenga vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi inazowapora Wapalestina na kusema kuwa kitendo hicho kinakwenda kinyume na sheria za kimataifa.
-
Ufaransa yafanya njama za kuhalalisha siasa zake zilizofeli barani Afrika
May 29, 2019 06:39Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa amesema kuwa, nchi za eneo la Sahel Africa zisikae muda wote kusubiri msaada wa wanajeshi wa Ufaransa.
-
Bahram Qassemi: Silaha za nyuklia hazimo kabisa katika ajenda ya ulinzi ya Iran
May 28, 2019 03:34Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Paris Ufaransa amesema kuwa, silaha za nyuklia kamwe hazijawahi kuwemo kenye ajenda ya kiulinzi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Sisitizo la viongozi wa Russia, Ujerumani na Ufaransa la kulindwa mapatano ya JCPOA
May 22, 2019 05:18Mapatano ya nyuklia yanayojulikana kwa jina la JCPOA yalifikiwa mwezi Julai 2015 mjini Vienna Austria baina ya Iran na kundi la 5+1 lililojumuisha nchi za Marekani, Uingereza, Ufaransa, Russia, China pamoja na Ujerumani na Umoja wa Ulaya. Mapatano hayo yalianza kutekelezwa mwezi Januari 2016.
-
Russia, Ujerumani na Ufaransa zasisitiza kuwa JCPOA lazima ilindwe
May 22, 2019 03:46Viongozi wa Russia, Ujerumani na Ufaransa wamesisitizia haja ya kubakishwa hai na kulindwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, huku wakibainisha kuwa nchi zao zinafanya kila linalowezekana kuimarisha uhusiano wao wa kibiashara na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, licha ya Marekani kuchukua hatua ya upande mmoja ya kujiondoa kwenye mapatano hayo ya kimataifa.
-
Uingereza, Ujerumani: Ulaya inafanya juhudi za kutekeleza mfumo wa INSTEX
May 11, 2019 03:26Uingereza, Ufaransa na Ujerumani zimesema zinafanya juu chini kuhakikisha kuwa mfumo maalumu wa kifedha wa Ulaya na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (INSTEX) unaanza kufanya kazi.