Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • UN yakosoa hatua ya Ufaransa ya kupiga marufuku burqa

    UN yakosoa hatua ya Ufaransa ya kupiga marufuku burqa

    Oct 23, 2018 10:03

    Kamati ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imeijia juu serikali ya Ufaransa kwa kupiga marufuku vazi la stara la burqa linalovaliwa na baadhi ya wanawake Waislamu nchini humo.

  • Uingereza, Ujerumani na Ufaransa zatoa taarifa ya pamoja kulaani mauaji ya Khashoggi

    Uingereza, Ujerumani na Ufaransa zatoa taarifa ya pamoja kulaani mauaji ya Khashoggi

    Oct 22, 2018 04:09

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza, Ujerumani na Ufaransa wametoa taarifa ya pamoja na kulaani kuuliwa mwandishi habari mkosoaji wa utawala wa Saudi Arabia.

  • Ufaransa yafanya njama za kujipenyeza zaidi bara la Afrika

    Ufaransa yafanya njama za kujipenyeza zaidi bara la Afrika

    Oct 20, 2018 23:05

    Ufaransa na katika fremu ya kupenyeza zaidi ndani ya bara la Afrika imetangaza utayarifu wake kwa ajili ya kupambana na kile kilichosemwa kuwa ni ugaidi.

  • AI yailaumu Ufaransa kwa kuiuzia silaha serikali ya Misri

    AI yailaumu Ufaransa kwa kuiuzia silaha serikali ya Misri

    Oct 17, 2018 03:48

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty international limeikosoa vikali Ufaransa na nchi nyingine kadhaa za Ulaya kwa kuendelea kuiuzia silaha serikali ya Misri na kusema kwamba, zimekiuka maamuzi ya Umoja wa Ulaya ya kupiga marufuku kuiuzia silaha serikali ya Cairo.

  • Uingereza, Ufaransa na Ujerumani zataka ufanyike

    Uingereza, Ufaransa na Ujerumani zataka ufanyike "uchunguzi wa kuaminika" kuhusu mauaji ya Khashoggi

    Oct 15, 2018 00:17

    Mawaziri wa mambo ya nje wa Uingereza, Ufaransa na Ujerumani wametoa taarifa ya pamoja wakiitaka Saudi Arabia na Uturuki zifanye "uchunguzi wa kuaminika" kuhusu kutoweka kwa mwandishi wa habari mkosoaji wa utawala wa Aal Saud.

  • JCPOA, fursa kwa ajili ya kujitegemea kifedha Ulaya

    JCPOA, fursa kwa ajili ya kujitegemea kifedha Ulaya

    Oct 06, 2018 22:56

    Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akikosoa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ambayo yalifikiwa kati ya Iran na kundi la 5+1 ikiwemo na Marekani yenyewe na kuyatataja makubaliano hayo kuwa ndiyo mabaya zaidi kuwahi kufikiwa.

  • Ufaransa: Marekani haina haki ya kuchukua maamuzi kwa niaba ya Ulaya

    Ufaransa: Marekani haina haki ya kuchukua maamuzi kwa niaba ya Ulaya

    Oct 06, 2018 03:46

    Waziri wa Fedha wa Ufaransa amesema kuwa, Marekani haiwezi kuchukua maamuzi kuhusiana na ushirikiano wa kibiashara wa nchi za Ulaya na Iran na kuongeza kuwa, vikwazo vya serikali ya Washington dhidi ya Iran ni fursa kwa Ulaya kwa ajili ya kuanzisha taasisi zinazojitegemea za kifedha.

  • Polisi wa Ufaransa wavamia kituo cha Kiislamu cha Zahraa (as) mjini Paris

    Polisi wa Ufaransa wavamia kituo cha Kiislamu cha Zahraa (as) mjini Paris

    Oct 02, 2018 23:11

    Polisi ya Ufaransa imevamia ofisi ya jumuiya ya Waislamu ya Zahraa (as) na nyumba za wanachama wa jumuiya hiyo na kuwatia mbaroni watu 11.

  • Kamanda wa polisi wa Saudia anashikiliwa Ufaransa kwa tuhuma za unyanyasaji wa kingono

    Kamanda wa polisi wa Saudia anashikiliwa Ufaransa kwa tuhuma za unyanyasaji wa kingono

    Oct 02, 2018 12:09

    Vyombo vya mahakama nchini Ufaransa vinafuatilia mashtaka dhidi ya afisa mmoja wa ngazi ya juu wa jeshi la polisi la Saudia kwa tuhuma za unyanyasaji wa kingono dhidi ya mwanamke mmoja wa nchi hiyo.

  • Venezuela yaikosoa Ufaransa kwa kupanga njama za kutaka kufanya mabadiliko ya serikali

    Venezuela yaikosoa Ufaransa kwa kupanga njama za kutaka kufanya mabadiliko ya serikali

    Oct 01, 2018 04:35

    Serikali ya Venezuela imekosoa njama za Ufaransa za kutaka kufanya mabadiliko ya serikali ya Caracas na kadhalika uingiliaji wa Paris katika masuala ya ndani ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS