Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Russia na Ufaransa kuendelea kufungamana na JCPOA

    Russia na Ufaransa kuendelea kufungamana na JCPOA

    May 15, 2018 22:11

    Siku chache baada ya Rais Donald Trump kutangaza kuiondoa Marekani katika makubaliano ya nyuklia ya Iran yanayofahamika kama JCPOA, kwa mara nyingine tena marais wa Russia na Ufaransa wamesisitizia umuhimu wa pande zilizosalia kuendelea kufungamana na mapatano hayo ya kimataifa.

  • Erdogan: Shakhsia wanaoiponda Qur'ani Ufaransa hawana ufahamu nayo

    Erdogan: Shakhsia wanaoiponda Qur'ani Ufaransa hawana ufahamu nayo

    May 08, 2018 22:27

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amelitaja kundi la shakhsia 300 wa Ufaransa wanaotaka kuondolewa baadhi ya aya katika kitabu kitakatifu cha Qur'ani kwa madai kuwa ni za kichochezi na zilizopitwa na wakati kuwa ni genge lisilo la maana na linalopaswa kutwezwa.

  • Troika ya Ulaya: Tutalinda makubaliano ya JCPOA bila kujali uamuzi wa Trump

    Troika ya Ulaya: Tutalinda makubaliano ya JCPOA bila kujali uamuzi wa Trump

    May 07, 2018 20:54

    Nchi tatu za Ufaransa, Ujerumani na Uingereza zimetoa taarifa ya pamoja na kuutangazia ulimwengu kuwa zitaendelea kuheshimu mapatano ya nyuklia ya JCPOA bila ya kujali uamuzi wa Marekani.

  • Matamshi ya Trump yaamsha hasira za wananchi na viongozi wa Ufaransa na Uingereza

    Matamshi ya Trump yaamsha hasira za wananchi na viongozi wa Ufaransa na Uingereza

    May 06, 2018 12:07

    Matamshi ya Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu mashambulio ya kigaidi yaliyotokea Ufaransa na Uingereza yameamsha hasira za wananchi na viongozi wa nchi hizo.

  • Ufaransa: Kuihifadhi JCPOA ni kipaumbele chetu, kujitoa ni kutangaza vita

    Ufaransa: Kuihifadhi JCPOA ni kipaumbele chetu, kujitoa ni kutangaza vita

    May 05, 2018 03:23

    Mwakilishi wa kudumu wa Ufaransa katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, kuyalinda mapatano ya nyuklia ya Iran maarufu kwa jina la JCPOA ndicho kipaumbele cha nchi yake.

  • Viongozi wa Kiislamu Ufaransa wakosoa wito wa 'kufutwa' baadhi ya aya za Qurani

    Viongozi wa Kiislamu Ufaransa wakosoa wito wa 'kufutwa' baadhi ya aya za Qurani

    Apr 28, 2018 03:26

    Viongozi wa Kiislamu nchini Ufaransa wamekosoa vikali ombi lililowasilishwa na shakhsia 300 wa Ufaransa waliotaka kuondolewa baadhi ya aya katika kitabu kitakatifu cha Qur'ani kwa madai kuwa ni za kichochezi na zilizopitwa na wakati.

  • Kufichuliwa ushirikiano wa serikali ya Ufaransa na kundi la kigaidi la ISIS

    Kufichuliwa ushirikiano wa serikali ya Ufaransa na kundi la kigaidi la ISIS

    Apr 25, 2018 22:12

    Hivi karibuni kulisambaa ripoti kuhusu ushirikiano baina ya serikali ya Ufaransa na kundi la magaidi wakufurishaji wa ISIS (Daesh) ambapo mkurugenzi wa zamani wa Shirika la Lafarge la kutengeneza seruji alisema: "Tuliitaarifu serikali ya Ufaransa kuhusu malipo ya fedha kwa magaidi wa ISIS".

  • Darul Iftaa ya Misri yakosoa ombi la shakhsia 300 wa Ufaransa

    Darul Iftaa ya Misri yakosoa ombi la shakhsia 300 wa Ufaransa

    Apr 25, 2018 10:03

    Katibu wa Idara Kuu ya Misri inayohusika na Fatwa za Kiislamu (Darul Iftaa) amekosoa ombi lililowasilishwa na shakhsia 300 wa Ufaransa waliotaka kuondolewa baadhi ya aya katika kitabu kitakatifu cha Qur'ani.

  • Waislamu Ufaransa walaani makala iliyopotosha Qur'ani tukufu

    Waislamu Ufaransa walaani makala iliyopotosha Qur'ani tukufu

    Apr 24, 2018 11:59

    Waislamu nchini Ufaransa wamelaani vikali kitendo cha kuchapishwa makala iliyovunjia heshima na kupotosha kitabu kitakatifu cha Qur'ani nchini humo.

  • Iran: Marekani ikijitoa katika JCPOA, tutaanzisha tena shughuli za nyuklia kwa kiwango cha kisasa zaidi

    Iran: Marekani ikijitoa katika JCPOA, tutaanzisha tena shughuli za nyuklia kwa kiwango cha kisasa zaidi

    Apr 23, 2018 00:09

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, chaguo kuu la Iran endapo Marekani itajitoa katika makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA ni kuanzisha tena shughuli za nyuklia za taifa hili zenye malengo ya amani lakini kwa kiwango cha juu na cha kisasa zaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS