-
Macron: Ufaransa haina mpango mwingine mbadala wa makubaliano ya JCPOA
Apr 22, 2018 23:32Rais wa Ufaransa ameashiria kuwa Paris haina mpango mwingine mbadala wa makubaliano ya JCPOA na kuitaka Marekani isalie katika makubaliano hayo ya pamoja na Iran.
-
Rais Assad arejesha nishani aliyopewa na 'Mtumwa wa Marekani'
Apr 20, 2018 02:54Rais Bashar al Assad wa Syria amerejesha nishani bora zaidi ya Ufaransa aliyotunukiwa na Rais Jacques Chirac mwaka 2001 na kusema hawezi kubakia na zawadi ya nchi ambayo ni mtumwa wa Marekani na ambayo imedondosha mabomu Syria.
-
Indhari ya Ufaransa juu ya kutokea vita vya ndani barani Ulaya
Apr 19, 2018 21:09Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amehutubia bunge la Ulaya na kutoa indhari juu ya kutokea vita vya ndani barani humo.
-
Watu 23 wameuawa na kujeruhiwa katika shambulio la silaha kaskazini mwa Mali
Apr 16, 2018 03:28Watu 16 wameuawa na wengine saba wamejeruhiwa katika shambulizi la genge moja lenye silaha kaskazini mwa Mali.
-
Wanasiasa wa Ufaransa walaani kushiriki Macron katika mashambulizi dhidi ya Syia
Apr 14, 2018 23:29Hatua ya Ufaransa ya kushiriki katika mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na Uingereza dhidi ya Syria imekabiliwa na wimbi la malalamiko kutoka kwa wanasiasa wa nchi hiyo.
-
Iran, Russia zatoa onyo kali baada ya US, UK na Ufaransa kuvurumisha makombora Syria
Apr 14, 2018 02:45Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia zimelaani vikali mashambulizi ya makombora ya Marekani, Uingereza na Ufaransa dhidi ya Syria huku zikitoa onyo kali juu ya matokeo mabaya ya hujuma hiyo ya kijeshi dhidi ya nchi huru.
-
Iran yaionya Ufaransa isikubali kulaghaiwa na Bin Salman kuhusiana na Syria
Apr 13, 2018 00:06Bahram Qassemi, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, viongozi wa serikali ya Ufaransa wanapaswa kuwa macho na wasikubali kurubuniwa na madai ya uongo na propaganda za Mohammad bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia ambaye ni mwanagenzi sana katika masuala ya siasa na vita.
-
Mrithi wa Ufalme wa Saudia kushtakiwa kutokana na jinai za Saudia dhidi ya Yemen
Apr 10, 2018 12:21Wakili mmoja wa haki za binadamu nchini Yemen, amewasilisha mashtaka katika mahakama ya Ufaransa akitaka mrithi wa ufalme wa Saudia Mohammad bin Salman apandishwe kizimbani kutokana na jinai zake dhidi ya watu wa Yemen.
-
Matamshi ya Rais wa Uturuki dhidi ya Ufaransa
Apr 08, 2018 22:03Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki, kwa mara nyingine tena ameishutumu Ufaransa kuwa inawachochea magaidi kufanya jinai.
-
Vikosi vya Mali na Ufaransa vyaua makumi ya magaidi
Apr 05, 2018 10:13Jeshi la Ufaransa limetangaza kuwa limeua wapiganaji 30 wa kundi moja la kigaidi nchini Mali kwa kushirikiana na wanajeshi wa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika, karibu na mpaka wa Niger.