-
Djibouti imegeuzwa "kambi kuu ya kijeshi ya dunia"
Mar 27, 2018 22:11Gazeti la Le Figaro linalochapishwa nchini Ufaransa limeandika kuwa kuwepo utitiri wa wanajeshi wa madola ajinabi nchini Djibouti kumeigeuza nchi hiyo kuwa "kambi kuu ya kijeshi ya dunia".
-
Watu 3 wauawa Ufaransa katika mashambulizi ya Daesh
Mar 23, 2018 09:51Watu watatu wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya mtu aliyekuwa na silaha kushambulia duka moja kubwa na kuwafyatulia risasi polisi huko kusini magharibi mwa Ufaransa.
-
Sisitizo la viongozi wa Uingereza, Ujerumani na Ufaransa la kufungamana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA
Mar 23, 2018 03:27Viongozi wa Uingereza, Ujerumani na Ufaransa walikutana jana Alkhamisi pambizoni mwa mkutano wa viongozi wa Umoja wa Ulaya mjini Brussels Ubelgiji ambapo pamoja na mambo mengine walizungumzia suala la makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).
-
Ufaransa yapewa miezi miwili isitishe uuzaji wa silaha kwa Saudia
Mar 23, 2018 02:46Mashirika mawili ya kutetea haki za binadamu yameipa Ufaransa makataa ya miezi miwili iache kuuuzia silaha utawala wa kifalme wa Saudi Arabia, vinginevyo yataichukulia hatua za kisheria.
-
Zimwi la Gaddafi lamuandama Sarkozy wa Ufaransa; azuiliwa
Mar 20, 2018 12:26Rais wa zamani wa Ufaransa Nicolas Sarkozy, anazuiliwa na polisi ya mjini Paris, kwa ajili ya kusailiwa kuhusu tuhuma za kufadhiliwa na Libya katika uchaguzi wa mwaka 2007.
-
Umashuhuri wa Rais na Waziri Mkuu wa Ufaransa wazidi kuporomoka
Mar 18, 2018 04:37Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa Ufaransa yanaonyesha kupungua uungaji mkono wa wananchi kwa Rais na Waziri Mkuu wa nchi hiyo.
-
Iran haifanyi mazungumzo tena kuhusu mapatano ya nyuklia ya JCPOA
Mar 16, 2018 03:20Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitiza kuwa katu haitakubali kufanyika mazungumzo mapya kuhusu mapatano ya nyuklia baina yake na mdola sita makubwa duniani.
-
Jeshi la Misri laanzisha maneva ya pamoja na jeshi la Ufaransa katika Bahari Nyekundu
Mar 14, 2018 03:58Jeshi la Misri limeanzisha maneva ya kijeshi kwa kushirikiana na jeshi la Ufaransa katika maji ya Bahari Nyekundu, chini ya ushirikiano wa kijeshi wa nchi mbili.
-
Ufaransa yataka kusimamishwa mpango wa makombora wa Iran
Mar 08, 2018 12:29Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema anachukua hatua kadhaa kwa lengo la kuhakikisha mpango wa makombora ya balisitiki wa Iran unasimamishwa.
-
Rais wa Ufaransa ampinga Trump, ataka Beitul-Muqaddas itambuliwe kuwa mji mkuu wa Palestina
Mar 08, 2018 01:03Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema kuwa, umewadia wakati sasa wa Beitul-Muqaddas kutambuliwa kuwa mji mkuu wa Palestina.