Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Djibouti imegeuzwa

    Djibouti imegeuzwa "kambi kuu ya kijeshi ya dunia"

    Mar 27, 2018 22:11

    Gazeti la Le Figaro linalochapishwa nchini Ufaransa limeandika kuwa kuwepo utitiri wa wanajeshi wa madola ajinabi nchini Djibouti kumeigeuza nchi hiyo kuwa "kambi kuu ya kijeshi ya dunia".

  • Watu 3 wauawa Ufaransa katika mashambulizi ya Daesh

    Watu 3 wauawa Ufaransa katika mashambulizi ya Daesh

    Mar 23, 2018 09:51

    Watu watatu wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya mtu aliyekuwa na silaha kushambulia duka moja kubwa na kuwafyatulia risasi polisi huko kusini magharibi mwa Ufaransa.

  • Sisitizo la viongozi wa Uingereza, Ujerumani na Ufaransa la kufungamana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Sisitizo la viongozi wa Uingereza, Ujerumani na Ufaransa la kufungamana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Mar 23, 2018 03:27

    Viongozi wa Uingereza, Ujerumani na Ufaransa walikutana jana Alkhamisi pambizoni mwa mkutano wa viongozi wa Umoja wa Ulaya mjini Brussels Ubelgiji ambapo pamoja na mambo mengine walizungumzia suala la makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • Ufaransa yapewa miezi miwili isitishe uuzaji wa silaha kwa Saudia

    Ufaransa yapewa miezi miwili isitishe uuzaji wa silaha kwa Saudia

    Mar 23, 2018 02:46

    Mashirika mawili ya kutetea haki za binadamu yameipa Ufaransa makataa ya miezi miwili iache kuuuzia silaha utawala wa kifalme wa Saudi Arabia, vinginevyo yataichukulia hatua za kisheria.

  • Zimwi la Gaddafi lamuandama Sarkozy wa Ufaransa; azuiliwa

    Zimwi la Gaddafi lamuandama Sarkozy wa Ufaransa; azuiliwa

    Mar 20, 2018 12:26

    Rais wa zamani wa Ufaransa Nicolas Sarkozy, anazuiliwa na polisi ya mjini Paris, kwa ajili ya kusailiwa kuhusu tuhuma za kufadhiliwa na Libya katika uchaguzi wa mwaka 2007.

  • Umashuhuri wa Rais na Waziri Mkuu wa Ufaransa wazidi kuporomoka

    Umashuhuri wa Rais na Waziri Mkuu wa Ufaransa wazidi kuporomoka

    Mar 18, 2018 04:37

    Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa Ufaransa yanaonyesha kupungua uungaji mkono wa wananchi kwa Rais na Waziri Mkuu wa nchi hiyo.

  • Iran haifanyi mazungumzo tena kuhusu mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Iran haifanyi mazungumzo tena kuhusu mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Mar 16, 2018 03:20

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitiza kuwa katu haitakubali kufanyika mazungumzo mapya kuhusu mapatano ya nyuklia baina yake na mdola sita makubwa duniani.

  • Jeshi la Misri laanzisha maneva ya pamoja na jeshi la Ufaransa katika Bahari Nyekundu

    Jeshi la Misri laanzisha maneva ya pamoja na jeshi la Ufaransa katika Bahari Nyekundu

    Mar 14, 2018 03:58

    Jeshi la Misri limeanzisha maneva ya kijeshi kwa kushirikiana na jeshi la Ufaransa katika maji ya Bahari Nyekundu, chini ya ushirikiano wa kijeshi wa nchi mbili.

  • Ufaransa yataka kusimamishwa mpango wa makombora wa Iran

    Ufaransa yataka kusimamishwa mpango wa makombora wa Iran

    Mar 08, 2018 12:29

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema anachukua hatua kadhaa kwa lengo la kuhakikisha mpango wa makombora ya balisitiki wa Iran unasimamishwa.

  • Rais wa Ufaransa ampinga Trump, ataka Beitul-Muqaddas itambuliwe kuwa mji mkuu wa Palestina

    Rais wa Ufaransa ampinga Trump, ataka Beitul-Muqaddas itambuliwe kuwa mji mkuu wa Palestina

    Mar 08, 2018 01:03

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema kuwa, umewadia wakati sasa wa Beitul-Muqaddas kutambuliwa kuwa mji mkuu wa Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS