-
Kutoridhishwa Ulaya na msimamo wa Trump ulio dhidi ya makubaliano ya JCPOA
Oct 15, 2017 04:45Viongozi wa nchi tatu kubwa za Ulaya yaani Theresa May Waziri Mkuu wa Uingereza, Angela Merkel Kansela wa Ujerumani na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa wameleeza wasiwasi wao kupitia taarifa ya pamoja waliyotoa kuhusu msimamo usiofaa wa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu JCPOA. Taarifa ya viongozi hao wa nchi tatu kubwa za Ulaya imetolewa kufuatia matamshi ya Rais wa Marekani kuhusiana na stratejia ya nchi hiyo mkabala na Iran.
-
Umasikini waongezeka katika jamii ya Ufaransa
Oct 14, 2017 23:26Takwimu zilizotangazwa na Asasi ya Kimataifa ya Kupambana na Umasikini nchini Ufaransa zinaonyesha kuwa, tatizo la kijamii la umasikini limeongezeka mjini katika nchi hiyo ya bara Ulaya katika kipindi cha miaka kumi ya hivi karibuni.
-
Radiamali ya viongozi wa Ulaya kuhusu mgogoro wa wakimbizi wa Kiafrika
Oct 11, 2017 04:43Rais Emannuel Macron wa Ufaransa Jumamosi iliyopita aliarifu kuhusu kuasisiwa ofisi ya kuwapokea wakimbizi katika nchi mbili za Kiafrika. Alisema kuwa katika wiki zijazo kabla ya kumalizika mwezi huu wa Oktoba, ofisi hizo zitaasisiwa huko Chad na Niger kwa ajili ya kuwatambaua raia waliotimiza masharti ya kuwa wakimbizi.
-
Mashauriano ya wawakilishi wa Afrika na Ufaransa katika "Kikao cha Afrika 2017"
Oct 07, 2017 08:14Kikao cha siku mbili chini ya anuani "Afrika 2017" kimefanyika kwa lengo la kuimarisha uhusiano wa pande mbili za Afrika na Ufaransa.
-
Ufaransa yashangazwa na Trump kuzuia raia wa Chad kuingia Marekani
Sep 27, 2017 22:58Serikali ya Ufaransa imekosoa vikali hatua ya Washington ya kuijumuisha Chad katika orodha ya nchi ambazo raia wake wamepigwa marufuku kuingia Marekani.
-
Rais wa Ufaransa, Mkuu wa Sera za Kigeni EU watetea mapatano ya nyuklia ya Iran
Sep 19, 2017 23:24Rais wa Ufaransa amesema nchi yake itatetea mapatano ya nyuklia baina ya Iran na madola sita duniani katika vikao vya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa linalokutana mjini New York.
-
Uchunguzi: Zaidi ya asilimia 30 ya Wafaransa wanaishi kwenye umasikini
Sep 15, 2017 03:23Uchunguzi uliofanywa nchini Ufaransa unaonyesha kuwa zaidi ya asilimia 30 ya raia wa nchi hiyo wanaishi kwenye umasikini.
-
Rais wa Ufaransa: Hakuna chaguo mbadala la makubaliano ya nyuklia na Iran
Aug 29, 2017 22:43Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema nchi yake inayaunga mkono kikamilifu makubaliano ya nyuklia yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).
-
Uhajiri; ajenda kuu ya mazungumzo ya viongozi wa nchi saba za Kiafrika na Ulaya mjini Paris
Aug 29, 2017 07:22Jumatatu ya jana tarehe 28 Agosti, viongozi wa nchi saba za Kiafrika na Ulaya walikutana katika mji mkuu wa Ufaransa, Paris kwa mwaliko wa Rais Emmanuel Macron kwa ajili ya kuchunguza njia za kukabiliana na wimbi la wahajiri kutoka nchi za Afrika wanaoelekea barani Ulaya.
-
Viongozi wa nchi saba za Afrika na Ulaya wachunguza mwenendo wa uhajiri nchini Ufaransa
Aug 28, 2017 23:54Viongozi wa nchi saba za Kiafrika na Ulaya wamekutana nchini Ufaransa kwa ajili ya kuchunguza namna ya kupunguza wimbi la uhajiri kutoka nchi za Afrika kuelekea barani Ulaya.