Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Kutoridhishwa Ulaya na msimamo wa Trump ulio dhidi ya makubaliano ya JCPOA

    Kutoridhishwa Ulaya na msimamo wa Trump ulio dhidi ya makubaliano ya JCPOA

    Oct 15, 2017 04:45

    Viongozi wa nchi tatu kubwa za Ulaya yaani Theresa May Waziri Mkuu wa Uingereza, Angela Merkel Kansela wa Ujerumani na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa wameleeza wasiwasi wao kupitia taarifa ya pamoja waliyotoa kuhusu msimamo usiofaa wa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu JCPOA. Taarifa ya viongozi hao wa nchi tatu kubwa za Ulaya imetolewa kufuatia matamshi ya Rais wa Marekani kuhusiana na stratejia ya nchi hiyo mkabala na Iran.

  • Umasikini waongezeka katika jamii ya Ufaransa

    Umasikini waongezeka katika jamii ya Ufaransa

    Oct 14, 2017 23:26

    Takwimu zilizotangazwa na Asasi ya Kimataifa ya Kupambana na Umasikini nchini Ufaransa zinaonyesha kuwa, tatizo la kijamii la umasikini limeongezeka mjini katika nchi hiyo ya bara Ulaya katika kipindi cha miaka kumi ya hivi karibuni.

  • Radiamali ya viongozi wa Ulaya kuhusu mgogoro wa wakimbizi wa Kiafrika

    Radiamali ya viongozi wa Ulaya kuhusu mgogoro wa wakimbizi wa Kiafrika

    Oct 11, 2017 04:43

    Rais Emannuel Macron wa Ufaransa Jumamosi iliyopita aliarifu kuhusu kuasisiwa ofisi ya kuwapokea wakimbizi katika nchi mbili za Kiafrika. Alisema kuwa katika wiki zijazo kabla ya kumalizika mwezi huu wa Oktoba, ofisi hizo zitaasisiwa huko Chad na Niger kwa ajili ya kuwatambaua raia waliotimiza masharti ya kuwa wakimbizi.

  • Mashauriano ya wawakilishi wa Afrika na Ufaransa katika

    Mashauriano ya wawakilishi wa Afrika na Ufaransa katika "Kikao cha Afrika 2017"

    Oct 07, 2017 08:14

    Kikao cha siku mbili chini ya anuani "Afrika 2017" kimefanyika kwa lengo la kuimarisha uhusiano wa pande mbili za Afrika na Ufaransa.

  • Ufaransa yashangazwa na Trump kuzuia raia wa Chad kuingia Marekani

    Ufaransa yashangazwa na Trump kuzuia raia wa Chad kuingia Marekani

    Sep 27, 2017 22:58

    Serikali ya Ufaransa imekosoa vikali hatua ya Washington ya kuijumuisha Chad katika orodha ya nchi ambazo raia wake wamepigwa marufuku kuingia Marekani.

  • Rais wa Ufaransa, Mkuu wa Sera za Kigeni EU watetea mapatano ya nyuklia ya Iran

    Rais wa Ufaransa, Mkuu wa Sera za Kigeni EU watetea mapatano ya nyuklia ya Iran

    Sep 19, 2017 23:24

    Rais wa Ufaransa amesema nchi yake itatetea mapatano ya nyuklia baina ya Iran na madola sita duniani katika vikao vya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa linalokutana mjini New York.

  • Uchunguzi: Zaidi ya asilimia 30 ya Wafaransa wanaishi kwenye umasikini

    Uchunguzi: Zaidi ya asilimia 30 ya Wafaransa wanaishi kwenye umasikini

    Sep 15, 2017 03:23

    Uchunguzi uliofanywa nchini Ufaransa unaonyesha kuwa zaidi ya asilimia 30 ya raia wa nchi hiyo wanaishi kwenye umasikini.

  • Rais wa Ufaransa: Hakuna chaguo mbadala la makubaliano ya nyuklia na Iran

    Rais wa Ufaransa: Hakuna chaguo mbadala la makubaliano ya nyuklia na Iran

    Aug 29, 2017 22:43

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema nchi yake inayaunga mkono kikamilifu makubaliano ya nyuklia yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • Uhajiri; ajenda kuu ya mazungumzo ya viongozi wa nchi saba za Kiafrika na Ulaya mjini Paris

    Uhajiri; ajenda kuu ya mazungumzo ya viongozi wa nchi saba za Kiafrika na Ulaya mjini Paris

    Aug 29, 2017 07:22

    Jumatatu ya jana tarehe 28 Agosti, viongozi wa nchi saba za Kiafrika na Ulaya walikutana katika mji mkuu wa Ufaransa, Paris kwa mwaliko wa Rais Emmanuel Macron kwa ajili ya kuchunguza njia za kukabiliana na wimbi la wahajiri kutoka nchi za Afrika wanaoelekea barani Ulaya.

  • Viongozi wa nchi saba za Afrika na Ulaya wachunguza mwenendo wa uhajiri nchini Ufaransa

    Viongozi wa nchi saba za Afrika na Ulaya wachunguza mwenendo wa uhajiri nchini Ufaransa

    Aug 28, 2017 23:54

    Viongozi wa nchi saba za Kiafrika na Ulaya wamekutana nchini Ufaransa kwa ajili ya kuchunguza namna ya kupunguza wimbi la uhajiri kutoka nchi za Afrika kuelekea barani Ulaya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS