Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Malengo ya safari ya pamoja ya Mawaziri wa Ulinzi na Mambo ya Nje wa Ufaransa nchini Iraq

    Malengo ya safari ya pamoja ya Mawaziri wa Ulinzi na Mambo ya Nje wa Ufaransa nchini Iraq

    Aug 27, 2017 21:46

    Juzi Jumamosi tarehe 26 Agosti, Jean-Yves Le Drian na Florence Parly, Mawaziri wa Mambo ya Nje na Ulinzi wa Ufaransa, waliwasili Baghdad, mji mkuu wa Iraq wakiongoza ujumbe wa ngazi za juu wa nchi yao kwa ajili ya kufanya mazungumzo na viongozi wa Baghdad.

  • Ufaransa na mgogoro wa wakimbizi wa Calais

    Ufaransa na mgogoro wa wakimbizi wa Calais

    Aug 03, 2017 21:56

    Mamia ya wakimbizi walioko katika kambi ya Calais huko kaskazini mwa Ufaransa wanaendelea kusumbuliwa na hali mbaya kupita kiasi, na siasa na sera tofauti na zinazokinzana za viongozi wa Ufaransa zimezidisha hali mbaya ya wakimbizi hao.

  • Pirikapirika za Ufaransa za kuwa na nafasi katika nchi iliyogawanyika ya Libya

    Pirikapirika za Ufaransa za kuwa na nafasi katika nchi iliyogawanyika ya Libya

    Jul 27, 2017 07:25

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amekutana na kufanya mazungumzo mjini Paris na viongozi wa pande zinazovutania uongozi wa Libya uliogawanyika.

  • Viongozi hasimu wa Libya wakutana Paris, wakubali kusitisha vita

    Viongozi hasimu wa Libya wakutana Paris, wakubali kusitisha vita

    Jul 25, 2017 22:39

    Kamanda wa majeshi ya Libya mashariki mwa nchi hiyo, Jenerali Khalifa Haftar na Fayez al Sarraj, Waziri Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya nchi hiyo, magharibi mwa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika wamekubaliana kusitisha vita kwa masharti.

  • Qatar: Ugaidi wa kisiasa ndio kikwazo cha vita dhidi ya ugaidi

    Qatar: Ugaidi wa kisiasa ndio kikwazo cha vita dhidi ya ugaidi

    Jul 15, 2017 23:45

    Serikali ya Qatar imetangaza kuwa, ugaidi wa kisiasa na kifikra wa baadhi ya nchi za eneo la Mashariki ya Kati ndio kikwazo kikuu hii leo katika vita dhidi ya ugaidi.

  • Utendaji wa kibaguzi wa Rais wa Ufaransa kuhusiana na bara la Afrika

    Utendaji wa kibaguzi wa Rais wa Ufaransa kuhusiana na bara la Afrika

    Jul 13, 2017 22:22

    Matamshi ya Rais wa Ufaransa kuhusiana na changamoto ya ustaarabu barani Afrika yamekabiliwa na malalamiko na upinzani mkubwa na akthari ya watu wameyatathmini matamshi yake hayo kuwa ni ya kibaguzi.

  • Rais wa Algeria amtaka mkoloni Mfaransa aiombe radhi nchi yake

    Rais wa Algeria amtaka mkoloni Mfaransa aiombe radhi nchi yake

    Jul 06, 2017 03:11

    Rais Abdelaziz Bouteflika wa Algeria kwa mara nyingine amemtaka mkoloni mkongwe wa Ulaya yaan Ufaransa aiombe radhi rasmi nchi yake kutokana na jinai kubwa alizowafanyia wananchi wa Algeria.

  • Velayati: Mataifa ya eneo hili hayatasalimu amri mbele ya misimamo mikali

    Velayati: Mataifa ya eneo hili hayatasalimu amri mbele ya misimamo mikali

    Jul 03, 2017 23:15

    Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa Kistratejia cha Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran amesema kuwa, mataifa ya eneo hili hayatasalimu amri mbele ya matakwa ya mirengo yenye misimamo mikali na waungaji mkono wao.

  • Waislamu Ufaransa watahadharishwa kuhusu ongezeko la mashambulizi ya kigaidi

    Waislamu Ufaransa watahadharishwa kuhusu ongezeko la mashambulizi ya kigaidi

    Jul 03, 2017 08:25

    Viongozi wa makundi na jumuiya mbalimbali za Kiislamu nchini Ufaransa wamewatahadharisha wafuasi wa dini hiyo kuhusu uwezekano wa kuongezeka mashambulizi yanayowalenga Waislamu nchini humo.

  • Watu 8 wajeruhiwa katika hujuma msikitini Ufaransa

    Watu 8 wajeruhiwa katika hujuma msikitini Ufaransa

    Jul 03, 2017 03:30

    Watu 8 wamejeruhiwa baada ya kufyatuliwa risasi mbele ya mlango ya msikiti kusini mwa Ufaransa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS