-
Assad ataka Waislamu waungane dhidi ya ugaidi
Mar 21, 2016 11:43Rais Bashar al Assad wa Syria amewataka Waislamu wote duniani kuwa kitu kimoja na kuendesha mapambano dhidi ya ugaidi unaotishia eneo na ulimwengu mzima kwa ujumla. Rais Assad ameyatamka hayo katika mkutano wa wanachama wa sekretariati kuu ya Kiarabu na Jukwaa la Kiislamu kwa ajili ya kuunga mkono muqawama uliofanyika mjini Damascus Syria.
-
Nchi za Kiislamu zatakiwa kukabiliana na ugaidi wa kimitandao
Mar 06, 2016 11:59Washiriki wa kongamano la kimataifa lililopewa jina la 'Nafasi ya Vyombo vya Habari katika Kupambana na Ugaidi' lililofanyika nchini Misri, wamesisitiza juu ya udharura wa kuwepo ushirikiano wa asasi za nchi za Kiislamu kwa lengo la kukabiliana na ugaidi wa kimtandao.
-
Makumi wauawa katika miripuko ya mabomu Syria
Feb 21, 2016 12:43Kwa akali watu 30 wamethibitishwa kuuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika wimbi la miripuko ya mabomu lililotikisa viunga vya mji mkuu Damascus na Homs nchini Syria.
-
Jela ya wenye misimamo mikali kujengwa Kenya
Feb 17, 2016 11:41Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema njia pekee ya kupunguza kuenea athari mbaya za ugaidi na madudu yake ni kupitia kuundwa jela ya aina yake itakayotumiwa kuwafungia watu wenye misimamo mikali.
-
Usalama kwa mtazamo wa Zarif katika Mkutano wa Munich
Feb 13, 2016 22:28Malumbano ya kimadhehebu na misimamo mikali ni tishio kuu kwa eneo na ulimwengu mzima.