Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Afrika CDC: Mripuko wa Ebola Uganda unaweza kudhibitiwa

    Afrika CDC: Mripuko wa Ebola Uganda unaweza kudhibitiwa

    Oct 21, 2022 00:43

    Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Afrika (Africa CDC) kimesema kuna hatari ya mripuko wa Ebola unaoshuhudiwa nchini Uganda kusambaa katika nchi nyingine, lakini msambao huo unaweza kudhibitiwa hivi sasa.

  • Idadi ya wahanga wa Ebola yazidi kuongezeka Uganda

    Idadi ya wahanga wa Ebola yazidi kuongezeka Uganda

    Oct 19, 2022 04:33

    Wizara ya Afya ya Uganda imetangaza kuhusu kuongezeka idadi ya watu wanaoga dunia kwa ugonjwa wa Ebola nchini humo.

  • Uganda yafunga wilaya 2 ili kudhibiti msambao wa Ebola

    Uganda yafunga wilaya 2 ili kudhibiti msambao wa Ebola

    Oct 16, 2022 07:49

    Serikali ya Uganda imetangaza habari ya kuziweka wilaya mbili za nchi hiyo katika karantini, kwa lengo la kudhibiti mripuko wa virusi vya Ebola unaoshuhudia katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo ya Afrika Mashariki kwa wiki kadhaa sasa.

  • NGOs zakosoa mradi wa mafuta wa Uganda

    NGOs zakosoa mradi wa mafuta wa Uganda

    Oct 06, 2022 10:13

    Ripoti iliyotolewa na taasisi mbili za kulinda mazingira zisizo za kiserikali imetahadharisha kuhusu uwezekano wa kujitokeza uharibifu na taathira za kimazingira kutokana na mradi wenye utata unaohusisha kampuni kubwa ya mafuta ya Ufaransa ya TotalEnergies na Shirika la Kitaifa la Mafuta la Offshore la China (CNOOC).

  • Wanamgambo wa ADF waua watu 10 karibu na Uganda

    Wanamgambo wa ADF waua watu 10 karibu na Uganda

    Oct 05, 2022 23:53

    Kwa akali watu 10 wameuawa katika shambulizi jipya la waasi wa kundi la Allied Democratic Forces (ADF) katika mkoa wa Kivu Kaskazini, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, karibu na mpaka wa Uganda.

  • Daktari Mtanzania aaga dunia kwa Ebola nchini Uganda

    Daktari Mtanzania aaga dunia kwa Ebola nchini Uganda

    Oct 01, 2022 08:44

    Daktari mmoja raia wa Tanzania aliyekuwa akifanya kazi nchini Uganda ameaga dunia kutoka na ugonjwa wa Ebola.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran aonana na mawaziri wenzake wa Uganda, Eritrea na Imarati

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran aonana na mawaziri wenzake wa Uganda, Eritrea na Imarati

    Sep 25, 2022 03:18

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jana alionana kwa nyakati tofauti na mawaziri wenzake wa mambo ya nje wa Uganda, Eritrea na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) na kubadilishana nao mawazo kuhusu masuala ya kieneo na kimataifa. Mazungumzo ya mawaziri hao yamefanyika mjini New York, Marekani.

  • Uganda yapiga marufuku tamasha la muziki 'lisilo la maadili' linalohusishwa na ngono na dawa za kulevya

    Uganda yapiga marufuku tamasha la muziki 'lisilo la maadili' linalohusishwa na ngono na dawa za kulevya

    Sep 07, 2022 03:32

    Uganda jana ilipiga marufuku tamasha la muziki la kielektroniki lisilo la maadili ambalo linaathiri maadili na tabia za watoto katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Uganda yalisimamisha shirika linalotetea vitendo vya ufuska

    Uganda yalisimamisha shirika linalotetea vitendo vya ufuska

    Aug 06, 2022 06:23

    Serikali ya Uganda imesimamisha shughuli za shirika moja lisilo la kiserikali linalotetea eti haki na maslahi ya mabaradhuli na walioko kwenye mahusiano ya watu wenye jinsia moja.

  • Museveni: Russia imekuwa rafiki mkubwa wa Afrika kwa zaidi ya karne

    Museveni: Russia imekuwa rafiki mkubwa wa Afrika kwa zaidi ya karne

    Jul 27, 2022 08:45

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema Russia ni rafiki mkubwa wa Afrika na imekuwa ikiunga mkono harakati za kupambana na ukoloni za mataifa ya bara hilo kwa zaidi ya miaka mia moja.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS