Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Uganda yakanusha madai kuwa jeshi lake limeua magaidi 189 wa al-Shabaab

    Uganda yakanusha madai kuwa jeshi lake limeua magaidi 189 wa al-Shabaab

    Jan 28, 2021 00:49

    Serikali ya Uganda imekadhibisha taarifa kuwa jeshi la nchi hiyo UPDF limeua wanachama 189 wa genge la al-Shabaab kusini magharibi mwa mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Mahakama ya Uganda yaiamuru polisi imuondolee Bobi Wine kizuizi cha nyumbani

    Mahakama ya Uganda yaiamuru polisi imuondolee Bobi Wine kizuizi cha nyumbani

    Jan 25, 2021 09:12

    Mahakama nchini Uganda imeamuru vikosi vya usalama vya nchi hiyo viondoe mzingiro vilioweka kwenye nyumba ya kiongozi wa upinzani Robert Kyagulanyi, maarufu kama Bobi Wine, ambaye yuko kwenye kizuizi cha nyumbani tangu ulipofanyika uchaguzi wa rais januari 14.

  • Jeshi la Uganda laua wanachama 189 wa al Shabab nchini  Somalia

    Jeshi la Uganda laua wanachama 189 wa al Shabab nchini Somalia

    Jan 23, 2021 04:28

    Jeshi la Uganda UPDF limetangaza kuwa, wanajeshi wa nchi hiyo wameua wanachama 189 wa genge la al Shabab katika shambulizi la kushtukiza na la kasi kubwa nchini Somalia.

  • Uganda yaikosoa Marekani kwa kuingilia siasa zake za ndani

    Uganda yaikosoa Marekani kwa kuingilia siasa zake za ndani

    Jan 19, 2021 23:41

    Uganda imeikosoa vikali Marekani kwa kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Bobi Wine ajitangaza mshindi wa uchaguzi wa rais Uganda; Museveni aongoza

    Bobi Wine ajitangaza mshindi wa uchaguzi wa rais Uganda; Museveni aongoza

    Jan 15, 2021 11:21

    Licha ya matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais nchini Uganda kuonesha kuwa Rais Yoweri Museveni yupo kifua mbele, lakini mgombea mkuu wa upinzani, Bobi Wine tayari ameshajitangaza kuwa mshindi wa uchaguzi huo uliofanyika jana Alkhamisi.

  • Wananchi wa Uganda wapiga kura, wasubiri matokeo, wapinzani walalamika

    Wananchi wa Uganda wapiga kura, wasubiri matokeo, wapinzani walalamika

    Jan 14, 2021 10:06

    Mamilioni ya watu wa Uganda leo wamejitokeza na kushiriki kwenye zoezi la kupiga kura baada ya kampeni zilizogubikwa na ghasia.

  • Polisi ya Uganda 'yamkamata tena' Bobi Wine na timu yake ya kampeni

    Polisi ya Uganda 'yamkamata tena' Bobi Wine na timu yake ya kampeni

    Dec 30, 2020 10:38

    Kwa mara nyingine tena, jeshi la polisi la Uganda limeripotiwa kumtia mbaroni Bobi Wine, kiongozi machachari wa upinzani nchini humo ambaye pia ni mgombea wa urais katika uchaguzi wa mapema mwakani.

  • Rais Rouhani: Iran iko tayari kuipatia Uganda uzoefu wake wa kielimu na kiufundi

    Rais Rouhani: Iran iko tayari kuipatia Uganda uzoefu wake wa kielimu na kiufundi

    Dec 15, 2020 08:13

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran iko tayari kuipatia Uganda uzoefu wake wa kielimu na kiufundi katika nyanja mbalimbali.

  • Vyombo binafsi vya habari Uganda vyakataa kurusha hotuba ya Rais Museveni

    Vyombo binafsi vya habari Uganda vyakataa kurusha hotuba ya Rais Museveni

    Nov 25, 2020 04:42

    Muungano wa Wamiliki wa Vyombo vya Habari nchini Uganda umekataa kurusha hewani hotuba ya Rais Yoweri Museveni wa nchi hiyo ukisisitiza kwamba kufanya hivyo ni kutoa upendeleo kwa mgombea mmoja dhidi ya wengine katika wakati huu wa kampeni za uchaguzi mkuu.

  • Vyombo vya dola vya Uganda vyamuachia huru Bobi Wine; waliouawa katika ghasia wapindukia 60+SAUTI

    Vyombo vya dola vya Uganda vyamuachia huru Bobi Wine; waliouawa katika ghasia wapindukia 60+SAUTI

    Nov 20, 2020 10:57

    Kiongozi wa chama cha upinzani cha National Unity Platform (NUP) ambaye pia na mgombea urais nchini Uganda, Robert Kyagulanyi, maarufu kwa jina la Bobi Wine ameachiwa huru kwa dhamana na mahakama moja ya nchi hiyo. Hii ni baada ya kushtadi maandamano ya ghasia yaliyopelekea makumi ya watu kuuawa kufuatia kukamatwa kwa mwanasiasa huyo chipukizi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS