-
Uganda yakanusha madai kuwa jeshi lake limeua magaidi 189 wa al-Shabaab
Jan 28, 2021 00:49Serikali ya Uganda imekadhibisha taarifa kuwa jeshi la nchi hiyo UPDF limeua wanachama 189 wa genge la al-Shabaab kusini magharibi mwa mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
-
Mahakama ya Uganda yaiamuru polisi imuondolee Bobi Wine kizuizi cha nyumbani
Jan 25, 2021 09:12Mahakama nchini Uganda imeamuru vikosi vya usalama vya nchi hiyo viondoe mzingiro vilioweka kwenye nyumba ya kiongozi wa upinzani Robert Kyagulanyi, maarufu kama Bobi Wine, ambaye yuko kwenye kizuizi cha nyumbani tangu ulipofanyika uchaguzi wa rais januari 14.
-
Jeshi la Uganda laua wanachama 189 wa al Shabab nchini Somalia
Jan 23, 2021 04:28Jeshi la Uganda UPDF limetangaza kuwa, wanajeshi wa nchi hiyo wameua wanachama 189 wa genge la al Shabab katika shambulizi la kushtukiza na la kasi kubwa nchini Somalia.
-
Uganda yaikosoa Marekani kwa kuingilia siasa zake za ndani
Jan 19, 2021 23:41Uganda imeikosoa vikali Marekani kwa kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
-
Bobi Wine ajitangaza mshindi wa uchaguzi wa rais Uganda; Museveni aongoza
Jan 15, 2021 11:21Licha ya matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais nchini Uganda kuonesha kuwa Rais Yoweri Museveni yupo kifua mbele, lakini mgombea mkuu wa upinzani, Bobi Wine tayari ameshajitangaza kuwa mshindi wa uchaguzi huo uliofanyika jana Alkhamisi.
-
Wananchi wa Uganda wapiga kura, wasubiri matokeo, wapinzani walalamika
Jan 14, 2021 10:06Mamilioni ya watu wa Uganda leo wamejitokeza na kushiriki kwenye zoezi la kupiga kura baada ya kampeni zilizogubikwa na ghasia.
-
Polisi ya Uganda 'yamkamata tena' Bobi Wine na timu yake ya kampeni
Dec 30, 2020 10:38Kwa mara nyingine tena, jeshi la polisi la Uganda limeripotiwa kumtia mbaroni Bobi Wine, kiongozi machachari wa upinzani nchini humo ambaye pia ni mgombea wa urais katika uchaguzi wa mapema mwakani.
-
Rais Rouhani: Iran iko tayari kuipatia Uganda uzoefu wake wa kielimu na kiufundi
Dec 15, 2020 08:13Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran iko tayari kuipatia Uganda uzoefu wake wa kielimu na kiufundi katika nyanja mbalimbali.
-
Vyombo binafsi vya habari Uganda vyakataa kurusha hotuba ya Rais Museveni
Nov 25, 2020 04:42Muungano wa Wamiliki wa Vyombo vya Habari nchini Uganda umekataa kurusha hewani hotuba ya Rais Yoweri Museveni wa nchi hiyo ukisisitiza kwamba kufanya hivyo ni kutoa upendeleo kwa mgombea mmoja dhidi ya wengine katika wakati huu wa kampeni za uchaguzi mkuu.
-
Vyombo vya dola vya Uganda vyamuachia huru Bobi Wine; waliouawa katika ghasia wapindukia 60+SAUTI
Nov 20, 2020 10:57Kiongozi wa chama cha upinzani cha National Unity Platform (NUP) ambaye pia na mgombea urais nchini Uganda, Robert Kyagulanyi, maarufu kwa jina la Bobi Wine ameachiwa huru kwa dhamana na mahakama moja ya nchi hiyo. Hii ni baada ya kushtadi maandamano ya ghasia yaliyopelekea makumi ya watu kuuawa kufuatia kukamatwa kwa mwanasiasa huyo chipukizi.