Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Uganda yaomba msaada wa kimataifa kukabiliana na wimbi la wakimbizi

    Uganda yaomba msaada wa kimataifa kukabiliana na wimbi la wakimbizi

    Feb 16, 2017 12:26

    Uganda imeomba kupewa msaada wa kimataifa kwa ajili ya kutatua mgogoro wa wakimbizi wamaomiminika nchini humo.

  • UN: Wakimbizi 52,000 wa Sudan Kusini wameingia Uganda mwezi jana

    UN: Wakimbizi 52,000 wa Sudan Kusini wameingia Uganda mwezi jana

    Feb 09, 2017 03:56

    Umoja wa Mataifa umesema wakimbizi 52,000 raia wa Sudan Kusini waliingia nchini Uganda mwezi uliopita pekee wa Januari, kutokana na kuendelea kushuhudiwa mauaji na machafuko katika nchi yao.

  • Mamia ya raia wa Sudan Kusini wakimbilia Uganda kila siku

    Mamia ya raia wa Sudan Kusini wakimbilia Uganda kila siku

    Feb 04, 2017 00:25

    Mamia ya raia wa Sudan Kusini wanakimbilia nchini Uganda kila siku kukimbia mapigano ya kikabila nchini mwao.

  • SAUTI: Wabunge Uganda: Wizara ya Afya ipewe bajeti kubwa, ili tupate jamii ya Waganda wenye afya watakaofanya kazi masaa mengi zaidi

    SAUTI: Wabunge Uganda: Wizara ya Afya ipewe bajeti kubwa, ili tupate jamii ya Waganda wenye afya watakaofanya kazi masaa mengi zaidi

    Jan 23, 2017 15:11

    Wabunge nchini Uganda wameitaka serikali ya nchi hiyo kuiongezea bajeti zaidi Wizara ya Afya kwani njia hiyo itaiwezesha wizara hiyo kutoa huduma bora kwa wananchi ambao ndio wafanyakazi wa serikali.

  • Waasi wa Uganda washambulia kijiji kaskazini mwa Kongo DR, wateka nyara raia

    Waasi wa Uganda washambulia kijiji kaskazini mwa Kongo DR, wateka nyara raia

    Jan 21, 2017 01:07

    Waasi wa Uganda wameshambulia wakazi wa kijiji kimoja kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kuteka nyara wakazi kadhaa wa kijiji hicho.

  • Iran na Uganda zasisitiza juu ya kustawisha zaidi ushirikiano baina yao

    Iran na Uganda zasisitiza juu ya kustawisha zaidi ushirikiano baina yao

    Jan 21, 2017 00:49

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uganda zimesisitiza juu ya kustawisha zaidi uhusiano wao katika nyanja mbalimbali.

  • SAUTI: Vijana wa Kiislamu watakiwa kuoa mapema ili kuepukana na uasherati na kufuata mila chafu

    SAUTI: Vijana wa Kiislamu watakiwa kuoa mapema ili kuepukana na uasherati na kufuata mila chafu

    Jan 14, 2017 13:31

    Jamii ya Waislamu imetakiwa kufuata mienendo Bwana Mtume Muhammad (saw) na kuachana na mila zilizo kinyume na mafundisho ya dini ya Kiislamu.

  • Mfamle Mumbere wa Uganda kizimbani, kujua hatima yake leo

    Mfamle Mumbere wa Uganda kizimbani, kujua hatima yake leo

    Jan 13, 2017 04:41

    Mfalme wa Rwenzururu eneo la Rwenzori nchini Uganda, Charles Wesley Mumbere, ambaye anazuiliwa na vyombo vya usalama kwa tuhuma za uhaini anatazamiwa kujua hatima yake leo atakapofikishwa mahakamani.

  • Rais Museveni amteua mwanawe kuwa mshauri mkuu; je anamtayarisha kuja kumrithi?

    Rais Museveni amteua mwanawe kuwa mshauri mkuu; je anamtayarisha kuja kumrithi?

    Jan 11, 2017 03:43

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amemteua mwanawe Meja Jenerali Muhoozi Kainerugaba, kuwa mshauri mkuu wa rais katika operesheni maalumu; hatua ambayo inatajwa na baadhi ya wachambuzi wa mambo kwamba, ni ya kumuandaa mwanawe huyo aje kuchukua uongozi wa juu nchini humo.

  • Raia milioni mbili wakimbia Sudan Kusini

    Raia milioni mbili wakimbia Sudan Kusini

    Jan 08, 2017 10:22

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa wakimbizi wa Sudan Kusini zaidi ya milioni mbili walikimbilia Uganda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mwaka jana kwa ajili ya kutafuta hifadhi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS