-
Polisi ya Uganda yawaomba radhi Waislamu kwa kuhujumu msikiti
Jan 05, 2017 13:11Polisi nchini Uganda imeomba radhi kutokana na kitendo cha maafisa wake kufanya kuhujumu msikiti mmoja nchini humo mwishoni mwa mwezi uliopita. Disemba 27 mwaka uliomalizika wa 2016,
-
Wabunge wa Uganda watuma faili la mauaji ya Kasese ICC
Jan 05, 2017 12:40Kundi la wabunge wa Uganda limetuma ombi katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC, likiitaka ianzishe uchunguzi juu ya mauaji yanayodaiwa kufanywa na maafisa usalama katika mji wa Kasese, jimbo la Rwenzori mwishoni mwa mwaka uliopita 2016.
-
Besigye atoa masharti ya kufanya mazungumzo na Rais Museveni
Jan 04, 2017 04:00Kinara wa upinzani nchini Uganda ametoa masharti matano kwa serikali ya Rais Yoweri Museveni iwapo inataka kufanya mazungumzo ya kitaifa kuhusu mustakabali wa kisiasa wa nchi hiyo.
-
Polisi ya Uganda yafanya msako katika msikiti wa Nakasero
Dec 27, 2016 23:21Kikosi cha Kupambana na Ugaidi cha Jeshi la Polisi nchini Uganda (JATT) jana Jumanne asubuhi kilifanya msako mkali katika msikiti wa Nakasero ulioko katika barabara ya Snay bin Amin jijini Kampala na kukamata watu kadhaa wakiwemo walinzi wa msikiti huo.
-
20 wahofiwa kufa maji baada ya boti kuzama Ziwa Victoria, Uganda
Dec 24, 2016 04:04Makumi ya watu wanahofiwa kupoteza maisha baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuzama katika Ziwa Victoria nchini Uganda.
-
Rais Museveni apongeza uhusiano mzuri wa Uganda na Iran
Dec 14, 2016 10:41Rais Yoweri Museveni wa Uganda amepokea vitambulisho vya balozi mpya wa Iran nchini humo na kupongeza uhusiano mzuri uliopo baina ya Tehran na Kampala.
-
Kamanda wa LRA ya Uganda kizimbani ICC; akanusha mashitaka
Dec 06, 2016 12:16Kamanda wa zamani wa kundi la waasi wa kaskazini mwa Uganda wa Lord's Resistance Army (LRA) amekanusha mashtaka dhidi yake mbele ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.
-
Uganda yatakiwa kuchunguza mauaji ya Kasese na kumuachia huru mfalme
Nov 30, 2016 11:56Vyombo vya usalama nchini Uganda vimeendelea kushutumiwa kwa mauaji ya watu wa mji wa Kasese katika eneo la Rwenzori, huku vyama vya upinzani vikiitaka serikali ya Kampala kumuachia huru mfalme wa eneo la Rwenzururu ambaye anatuhumiwa kuwaongoza waasi katika makabiliano dhidi ya maafisa usalama.
-
Serikali ya Uganda yakanusha tuhuma za kutenda mauaji ya kiholela
Nov 29, 2016 23:48Serikali ya Uganda imekanusha tuhuza dhidi yake kwamba imefanya mauaji ya kiholela nchini humo.
-
Amnesty 'yashtushwa' na mauaji ya halaiki nchini Uganda
Nov 29, 2016 10:27Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limelaani kile lilichokitaja kuwa mauaji ya halaiki katika eneo la Rwenzori, kusini magharibi mwa Uganda.