Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Watu 55 wauawa katika mapigano magharibi mwa Uganda

    Watu 55 wauawa katika mapigano magharibi mwa Uganda

    Nov 28, 2016 00:55

    Idadi ya watu waliouawa katika mapigano yaliyozuka katika eneo moja magharibi mwa Uganda kati ya vikosi vya usalama na kundi moja lenye silaha inaripotiwa kufikia 55.

  • Polisi: Watu 14 wameuawa katika mapigano magharibi mwa Uganda

    Polisi: Watu 14 wameuawa katika mapigano magharibi mwa Uganda

    Nov 27, 2016 04:02

    Polisi ya Uganda imetangaza kuwa, watu wasiopungua 14 wameuawa magharibi mwa nchi hiyo, katika mapigano kati ya polisi na watu wenye silaha.

  • Uganda yateua timu mpya kuongoza Tume ya Uchaguzi

    Uganda yateua timu mpya kuongoza Tume ya Uchaguzi

    Nov 18, 2016 04:42

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameteua timu mpya ya makamishna wa Tume ya Uchaguzi nchini humo EC, huku muda wa kuhudumu kwa makamishna wa sasa ukimalizika jana Alkhamisi.

  • Africa Intelligence: Serikali ya Uganda imeshadidisha ukandamizaji dhidi ya wapinzani

    Africa Intelligence: Serikali ya Uganda imeshadidisha ukandamizaji dhidi ya wapinzani

    Nov 13, 2016 01:10

    Vitendo vya ukandamizaji vinavyofanywa na serikali ya Uganda dhidi ya wapinzani wa kisiasa, vimekosolewa na taasisi ya kiusalama ya Africa Intelligence nchini humo.

  • Mgomo na maandamano ya wanafunzi nchini Uganda vyasimamisha masomo

    Mgomo na maandamano ya wanafunzi nchini Uganda vyasimamisha masomo

    Nov 08, 2016 12:12

    Maandamano na mgomo wa wanafunzi nchini Uganda vimesababisha shughuli za masomo kusimama nchini humo.

  • Rais Museveni aiunga mkono Afrika Kusini kujiondoa ICC

    Rais Museveni aiunga mkono Afrika Kusini kujiondoa ICC

    Oct 25, 2016 04:20

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amepongeza hatua ya Afrika Kusini kuanzisha mchakato wa kujiondoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.

  • Mwito wa Umoja wa Mataifa wa kutolewa misaada zaidi ya kimataifa kwa wakimbizi Afrika

    Mwito wa Umoja wa Mataifa wa kutolewa misaada zaidi ya kimataifa kwa wakimbizi Afrika

    Aug 31, 2016 03:28

    Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesisitiza kuwa, jamii ya kimataifa ina wajibu wa kusaidia kutatua mgogoro wa wakimbizi unaotokana na vita vya ndani nchini Sudan Kusini kwa uzito ule ule ambao wanakabiliana na wimbi la wakimbizi katika nchi za Ulaya.

  • Raia 70,000 wa Sudan Kusini wakimbilia Uganda

    Raia 70,000 wa Sudan Kusini wakimbilia Uganda

    Aug 13, 2016 03:25

    Idadi ya wananchi wa Sudan Kusini waliokimbilia nchini Uganda imepindukia watu 70,000.

  • Besigye amtaka Mkuu wa Polisi Uganda ajiuzulu

    Besigye amtaka Mkuu wa Polisi Uganda ajiuzulu

    Aug 11, 2016 10:00

    Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Dakta Kizza Besigye amemtaka Mkuu wa Polisi nchini humo ajiuzulu mara moja, kufuatia kesi ya jinai inayomkabili.

  • Uganda yaahidi kuisaidia DRC kupambana na waasi wa ADF

    Uganda yaahidi kuisaidia DRC kupambana na waasi wa ADF

    Aug 05, 2016 00:22

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameahidi kuwa serikali yake itaisaidia Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kukabiliana na kundi la waasi la ADF-Nalu ambalo limekuwa tishio la muda mrefu la nchi mbili hizo jirani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS