-
Watu 55 wauawa katika mapigano magharibi mwa Uganda
Nov 28, 2016 00:55Idadi ya watu waliouawa katika mapigano yaliyozuka katika eneo moja magharibi mwa Uganda kati ya vikosi vya usalama na kundi moja lenye silaha inaripotiwa kufikia 55.
-
Polisi: Watu 14 wameuawa katika mapigano magharibi mwa Uganda
Nov 27, 2016 04:02Polisi ya Uganda imetangaza kuwa, watu wasiopungua 14 wameuawa magharibi mwa nchi hiyo, katika mapigano kati ya polisi na watu wenye silaha.
-
Uganda yateua timu mpya kuongoza Tume ya Uchaguzi
Nov 18, 2016 04:42Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameteua timu mpya ya makamishna wa Tume ya Uchaguzi nchini humo EC, huku muda wa kuhudumu kwa makamishna wa sasa ukimalizika jana Alkhamisi.
-
Africa Intelligence: Serikali ya Uganda imeshadidisha ukandamizaji dhidi ya wapinzani
Nov 13, 2016 01:10Vitendo vya ukandamizaji vinavyofanywa na serikali ya Uganda dhidi ya wapinzani wa kisiasa, vimekosolewa na taasisi ya kiusalama ya Africa Intelligence nchini humo.
-
Mgomo na maandamano ya wanafunzi nchini Uganda vyasimamisha masomo
Nov 08, 2016 12:12Maandamano na mgomo wa wanafunzi nchini Uganda vimesababisha shughuli za masomo kusimama nchini humo.
-
Rais Museveni aiunga mkono Afrika Kusini kujiondoa ICC
Oct 25, 2016 04:20Rais Yoweri Museveni wa Uganda amepongeza hatua ya Afrika Kusini kuanzisha mchakato wa kujiondoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.
-
Mwito wa Umoja wa Mataifa wa kutolewa misaada zaidi ya kimataifa kwa wakimbizi Afrika
Aug 31, 2016 03:28Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesisitiza kuwa, jamii ya kimataifa ina wajibu wa kusaidia kutatua mgogoro wa wakimbizi unaotokana na vita vya ndani nchini Sudan Kusini kwa uzito ule ule ambao wanakabiliana na wimbi la wakimbizi katika nchi za Ulaya.
-
Raia 70,000 wa Sudan Kusini wakimbilia Uganda
Aug 13, 2016 03:25Idadi ya wananchi wa Sudan Kusini waliokimbilia nchini Uganda imepindukia watu 70,000.
-
Besigye amtaka Mkuu wa Polisi Uganda ajiuzulu
Aug 11, 2016 10:00Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Dakta Kizza Besigye amemtaka Mkuu wa Polisi nchini humo ajiuzulu mara moja, kufuatia kesi ya jinai inayomkabili.
-
Uganda yaahidi kuisaidia DRC kupambana na waasi wa ADF
Aug 05, 2016 00:22Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameahidi kuwa serikali yake itaisaidia Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kukabiliana na kundi la waasi la ADF-Nalu ambalo limekuwa tishio la muda mrefu la nchi mbili hizo jirani.